Nishaurini nichague yupi kati ya hawa. Niko njia panda

Nishaurini nichague yupi kati ya hawa. Niko njia panda

Wakuu sisi wanaume sometime tunajitwika mizigo mizito kichwani ipo hivi.

Nilianza kudate na mdada fulani sio mzr sana mweusi kifupi anasura ya baba ila kabarikiwa shundu la kwenda yani huyo dem anatako sio mchezo na hicho ndicho nilichokipenda kwake. Japo sio mwanamke ambae nina future nae. Ana mapenzi ya dhati aombi hela ovyo pia hana dharau.

Nikaja nikatongoza mwengine huyu sasa ndio moyo wangu upo ni mzuri sana pisi ya kwenda tatzo lake ni mtu mwenye kiburi, anapenda maisha ghari kiufupi sio wife material tatzo ndio moyo wangu upo.

Sasa kuna huyu wa tatu ni wife material kabisa aombi hela, mtulivu sana kuliko hata wa kwanza anapenda kuolewa akija home ni mtu wa kufanya usafi kama kunifulia na vitu vingine japo sura yake sio nzuri sana ila ni mzr kuliko wa kwanza. Kila siku ananitumia meseji kuniuliza kama kweli nitamuowa na mbaya zaidi yupo mtaani kwangu kabisa kiac kwamba imekuwa ngumu hata kuleta mwanamke mwingine.

So hapa ndugu zangu nashindwa nimchague yupi sababu kila mmoja ana sifa zake na kusema niwaowe wote siwezi. Coz pia nahitaji kutimiza ndoto zangu so nikishawaweka hawa wote hapo nitakuwa nimejichimbia kaburi la umaskini kuna muda naweza kusema namuacha fulani akinicheki tu kwa simu tayari nabadilisha maamuzi.

Kama jana niliapa ile pisi kali lazima niibwage kisha nichague mmoja kati ya hawa wife material lakini toka asubuh nilikosa amani kabisa imefika asubuhi ya leo dem c akapiga videocall akaanza kunionyesha chuchu zake aisee ile nguvu ya kumuacha ikaondoka pale pale. Mpaka sasa hivi nipo sielewi cha kufanya yani nomekuwa kama fala

Note:huyu ambae nipo nae home ni binti wa miaka 20 but ni single mother wa watoto mapacha
Achana na hiyo chain Mkuu.
Cha pili huyo mwenye dharau usitegemee atakuja kubadilika never!! Bora amekuonesha mapema.
Mwisho....Ulizia historia zao tangu utotoni, Oa aliyepitia maisha magumu.
 
Ushauri wangu.
1.Dini muwe mnaendana.
2.Elimu hata mkizungumza kitu kuna sehemu mnakutana.
3.Tabia njema .
4.Upendo huu unakuja mwishoo.Ukimpenda mtu hata madhaifu yake utamfichia ila usipolipenda jitu hata likikufanyia jambo zuri tu.Unaona kama anakuletea miyeyusho tu.
Mwenye hivyo kati ya hao watatu vigezo tia ndani tajiri na usichelewe sana kupata mtoto au watoto .Hizo ndio alama zetu muhimu tutaacha hapa duniani
Huu ni mtizamo wangu binafsi.
 
zingatia

Screenshot_20250111-234233_Instagram Lite.jpg
 
Achana na hiyo chain Mkuu.
Cha pili huyo mwenye dharau usitegemee atakuja kubadilika never!! Bora amekuonesha mapema.
Mwisho....Ulizia historia zao tangu utotoni, Oa aliyepitia maisha magumu.
Shukran mkuu nitafanya hivyo
 
Ushauri wangu.
1.Dini muwe mnaendana.
2.Elimu hata mkizungumza kitu kuna sehemu mnakutana.
3.Tabia njema .
4.Upendo huu unakuja mwishoo.Ukimpenda mtu hata madhaifu yake utamfichia ila usipolipenda jitu hata likikufanyia jambo zuri tu.Unaona kama anakuletea miyeyusho tu.
Mwenye hivyo kati ya hao watatu vigezo tia ndani tajiri na usichelewe sana kupata mtoto au watoto .Hizo ndio alama zetu muhimu tutaacha hapa duniani
Huu ni mtizamo wangu binafsi.
Sawa mkuu nimekuelewa shukran kwa ushauri
 
  • Thanks
Reactions: EEX
Leejay49 naomba unishauri jambo japo ni privacy kidogo ukiwa kama mwanamke mwenye akili nyingi na madini ya kutosha naamini utanipa ushauri mzr
 
Wakuu sisi wanaume sometime tunajitwika mizigo mizito kichwani ipo hivi.

Nilianza kudate na mdada fulani sio mzr sana mweusi kifupi anasura ya baba ila kabarikiwa shundu la kwenda yani huyo dem anatako sio mchezo na hicho ndicho nilichokipenda kwake. Japo sio mwanamke ambae nina future nae. Ana mapenzi ya dhati aombi hela ovyo pia hana dharau.

Nikaja nikatongoza mwengine huyu sasa ndio moyo wangu upo ni mzuri sana pisi ya kwenda tatzo lake ni mtu mwenye kiburi, anapenda maisha ghari kiufupi sio wife material tatzo ndio moyo wangu upo.

Sasa kuna huyu wa tatu ni wife material kabisa aombi hela, mtulivu sana kuliko hata wa kwanza anapenda kuolewa akija home ni mtu wa kufanya usafi kama kunifulia na vitu vingine japo sura yake sio nzuri sana ila ni mzr kuliko wa kwanza. Kila siku ananitumia meseji kuniuliza kama kweli nitamuowa na mbaya zaidi yupo mtaani kwangu kabisa kiac kwamba imekuwa ngumu hata kuleta mwanamke mwingine.

So hapa ndugu zangu nashindwa nimchague yupi sababu kila mmoja ana sifa zake na kusema niwaowe wote siwezi. Coz pia nahitaji kutimiza ndoto zangu so nikishawaweka hawa wote hapo nitakuwa nimejichimbia kaburi la umaskini kuna muda naweza kusema namuacha fulani akinicheki tu kwa simu tayari nabadilisha maamuzi.

Kama jana niliapa ile pisi kali lazima niibwage kisha nichague mmoja kati ya hawa wife material lakini toka asubuh nilikosa amani kabisa imefika asubuhi ya leo dem c akapiga videocall akaanza kunionyesha chuchu zake aisee ile nguvu ya kumuacha ikaondoka pale pale. Mpaka sasa hivi nipo sielewi cha kufanya yani nomekuwa kama fala

Note:huyu ambae nipo nae home ni binti wa miaka 20 but ni single mother wa watoto mapacha
20 years alf single maza,damnnn .
 
Back
Top Bottom