Nishaurini nichague yupi kati ya hawa. Niko njia panda

Anza na huyu...

"...huyu sasa ndio moyo wangu upo ni mzuri sana pisi ya kwenda tatzo lake ni mtu mwenye kiburi, anapenda maisha ghari kiufupi sio wife material tatzo ndio moyo wangu upo."
 
Anza na huyu...

"...huyu sasa ndio moyo wangu upo ni mzuri sana pisi ya kwenda tatzo lake ni mtu mwenye kiburi, anapenda maisha ghari kiufupi sio wife material tatzo ndio moyo wangu upo."
Yes nampenda huyo dem coz pia ajawahi kuzaa tatzo ni mtu wa gharama sana nikisema nisetle nae nitashndwa kupiga hatua kimaisha
 
Hakuna taarifa kamili za hao candidates, ni ngumu kukupa ushauri, hapo nimeshindwa kupata ODDS
 
Kweli mkuu na kwanini uniambie nimchukue huyu anaependa pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…