Sang'udi
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 9,138
- 22,236
Basi usioe, au jiandae kabisa kisaikolojia.hapana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi usioe, au jiandae kabisa kisaikolojia.hapana
labda wameshasaliti chamaWale wa kataa ndoa siwaoni
😂😂😂😂 mkuu hiyo solution mbona ni ngumu sana kama txt wote kwenye simu zangu walishazifuma lakini awakomi tena wanajifanya kama awaoni vileSolution ni simple ingawa umezngua
Gonganisha hayo magari matatu kwa pamoja then litakalobakia tembea nalo!
Wote ni watu wa dini na wanasali😔Uzuri ni ubatili bali mwanamke atakayemcha Bwana ndiye atakayesifiwa...
Hapa nimepapendayani huyo dem anatako sio mchezo
Kama ni hivyo bac hii mada iishe siowi tenaBasi usioe, au jiandae kabisa kisaikolojia.
Umeliwa hapa pole mkuuNote:huyu ambae nipo nae home ni binti wa miaka 20 but ni single mother wa watoto mapacha
Kuna mwanamke unayempendea Uzuri ndio maana nimekwambia ni ubatili, tabia zake ulizosema hazionekani kama anahofu na Mungu.Wote ni watu wa dini na wanasali😔
Yeah ni kweli na yule nisipokuwa na hela lazima ataniacha tuKuna mwanamke unayempendea Uzuri ndio maana nimekwambia ni ubatili, tabia zake ulizosema hazionekani kama anahofu na Mungu.
Unamaanisha nini mkuuUmeliwa hapa pole mkuu
SawaNi shida mkuu na huyu wa kwanza pia aliwahi jifungua mtoto akafiriki ila alijifungua kwa upasuaji ana miaka 26 now huyu msomi na mpenda pesa ndio hana mtoto na ana miaka 23
Bro huyo dem mzigo anao c mchezo mpaka sometime naonaga jau kuongozana naeHapa nimepapenda
Vyovyote tu mkuu but ushauri wako ni muhimu zaidi ya vyoteNakuita mshamba wa wanawake sijui niseme limbukeni
Kila la kheri
Single maza toa kabisa akilini jadili amnao hawajazaa kijana unaoaje single mazaWakuu sisi wanaume sometime tunajitwika mizigo mizito kichwani ipo hivi.
Nilianza kudate na mdada fulani sio mzr sana mweusi kifupi anasura ya baba ila kabarikiwa shundu la kwenda yani huyo dem anatako sio mchezo na hicho ndicho nilichokipenda kwake. Japo sio mwanamke ambae nina future nae. Ana mapenzi ya dhati aombi hela ovyo pia hana dharau.
Nikaja nikatongoza mwengine huyu sasa ndio moyo wangu upo ni mzuri sana pisi ya kwenda tatzo lake ni mtu mwenye kiburi, anapenda maisha ghari kiufupi sio wife material tatzo ndio moyo wangu upo.
Sasa kuna huyu wa tatu ni wife material kabisa aombi hela, mtulivu sana kuliko hata wa kwanza anapenda kuolewa akija home ni mtu wa kufanya usafi kama kunifulia na vitu vingine japo sura yake sio nzuri sana ila ni mzr kuliko wa kwanza. Kila siku ananitumia meseji kuniuliza kama kweli nitamuowa na mbaya zaidi yupo mtaani kwangu kabisa kiac kwamba imekuwa ngumu hata kuleta mwanamke mwingine.
So hapa ndugu zangu nashindwa nimchague yupi sababu kila mmoja ana sifa zake na kusema niwaowe wote siwezi. Coz pia nahitaji kutimiza ndoto zangu so nikishawaweka hawa wote hapo nitakuwa nimejichimbia kaburi la umaskini kuna muda naweza kusema namuacha fulani akinicheki tu kwa simu tayari nabadilisha maamuzi.
Kama jana niliapa ile pisi kali lazima niibwage kisha nichague mmoja kati ya hawa wife material lakini toka asubuh nilikosa amani kabisa imefika asubuhi ya leo dem c akapiga videocall akaanza kunionyesha chuchu zake aisee ile nguvu ya kumuacha ikaondoka pale pale. Mpaka sasa hivi nipo sielewi cha kufanya yani nomekuwa kama fala
Note:huyu ambae nipo nae home ni binti wa miaka 20 but ni single mother wa watoto mapacha
Sawa mkuuSingle maza toa kabisa akilini jadili amnao hawajazaa kijana unaoaje single maza