Nisher haijui sexual orientation yake?

Status
Not open for further replies.
Watu mnavituko jamani,

Mmh kwa hiyo mtoto wa 'Nabii' wana m......
Allah atujaalie na vizazi vyetu,
Aaamin.
 
Ngoja nikutafutie thread fulani za kitambo zifufue uone uchafu wa huyu mwanamke. Ni msagaji mkubwa wa kinondoni huko
Hahahahah......uwiiiiii.
Hebu zifufue tuzione.
Napenda vitu kwa ushahidi mimi
 
U-superstar raha sana.
Mara hii mada ishageuka ya Madame B....chezea
Mjini sihani kabisa kwa kiki hii.
 
Kachambwa insta kuwa asiwadanganye watoto wa kike kuwa anafanya kazi huko Ulaya ndio maana ana maisha mazuri....kumbe muuza sukari tu.
kachambwa sana
Ana kazi gani huyo wakati conversation zake zilivuja anachat na jamaa wa dubai wanaelewana bei ya uchi na terms za kwenda huko
 
Ana kazi gani huyo wakati conversation zake zilivuja anachat na jamaa wa dubai wanaelewana bei ya uchi na terms za kwenda huko
Niliion japo alikanusha kuwa sio yake.
ila hawa watu wana tafuta balaa tu.
Sasa watz wamehamia kwa tekno....anachambwa insta huko jamani.
Ila sie wala hatuna dogo
 
Yaani madame B inauma sana. Ninavyo vitatu very HB natamani vingekua videm tu bora.
Waombee, jitahidi malezi wawe na Hofu Ya Mungu, wafanye rafiki zako sana au mama yao wawe wanaweza kushare siri zao kwenu wazazi, usimuamini mtu kwenye malezi ya watoto wako hata kama ni ndugu sijui wajomba sijui kina nani wanakuja home usiwalaze na watoto wako, I don't prefer boarding schools for boys (mie lakini), wajengee ile hali ya kujiamini wasiwe wanaonewa onewa wawe wanaweza kufight back kukomaa kiume...... Sahivi kulea mtoto wa kiume ni kazi kuliko binti
 
Mpendwa kulea mtoto Wa kiume sio kazi kama wakike, sema nyie mnakoseaga sana.. Usimlee "ki mama mama".. Usimchanganye na madada zake..

Hujui mbwa afundishwi kubweka!?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…