Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Mwaka huu Liverpool inaenda kubeba UEFA nimeona kwanini na Mimi nisifurahie hii UEFA maana Kuna dalili za kufa kabla ya arsenal haijabeba uefa sababu timu yangu ya arsenal ni maumivu Kila mwaka rasmi nimeongeza timu ya kushangilia na sababu iliyonifanya niongeze ni rangi na uchezaji wake povu ruksa jumapili nitasapoti Liverpool ikiwapiga goli 5 nyumbu fc