mpo katikati ya usingizi midnight unamuamsha unamsemaaa halafu mnalala tena[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Aisee Kumuelewa Msichana ni Jambo gumuu Sana...! Ningemjua mumeo ningemuibia hii sirii yanii Kilaa siku ni kukugombezaa tuuu....Asubuhi anakugombeza...Usiku mnapolala anakugombezaa...Ukutee hiyo inakusaidia hata kukiona kilele mapemaaaa
Ni kawaida kwenu,coz tucipofanya ivoo mtatafuta nje wa kuwagombeza.Soo Upo sahihi bidada ucijaryKwenye mahusiano lazima mnakuwa mnagombana na muda mwingine mnafurahia baada ugomvi kuisha
Jamani kwangu mimi, nikiwa kwenye mahusiano na mwanaume halafu tukaishi kwa muda mrefu na kama binadamu kuna sehemu huwa ninakosea lakini mpenzi hanigombezi au haniulizi makosa niliyofanya,huwa nahisi sipendwi
Mwanaume anapokuwa ananigombeza hadi najikuta nalia,najikuta nahisi kupendwa na mwanaume huyo,na huamini kuwa mwanaume huyo ananipenda
Asiponigombeza huwa nahisi kuna mwanamke mwingine anayempenda tofauti na mimi
Naombeni mnisaidie,ni kwangu tu au kuna wengine hali hiyo huwa inawatokea
kwamba utarusha ngumi??Kwanza sikupi hiyo nafasi.
Allah is good alwaysDuuh nimeptia comment na Siku zote nashindwa kumwelewa Mwanamke ni Binadamu wa namna gani ana mambo mengi,nikiwaonaga ni kama Mtoto anayehitaji malezi na uangalifu wa hali ya juu na nimejifunza kitu ni bora uwe mkweli kwa Mwanamke na sio siri hawajulikani huwa wanataka nn sio mavazi(wana mavazi aina nyingi hatari),,tabia zao,Mwenendo kiukweli Mwanamke ni kitabu usichokijua na Ndo Maana kuna Umuhimu ukiwa unataka kuoa Mungu awewa Kwanza kukuchagulia maana hali hiii sio kawaida
"Na Ishi na Mwanamke kwa akili"nimeamini Neno la Mungu lina maanisha,
hahaa.Basi wewe ungekuwa wa kwangu ungefaidi sana maana mimi kugomba ndio ugonjwa wangu..
Hahaa...JF bwanaKumbe Mimi na wew tunaweza kuishi pamoja
Ule usemi kuwa wanawake hawajui wanachotaka ni kweli kbsa
Kuja hapa nimekutafuta muda mrefu sana..!Kwenye mahusiano lazima mnakuwa mnagombana na muda mwingine mnafurahia baada ugomvi kuisha
Jamani kwangu mimi, nikiwa kwenye mahusiano na mwanaume halafu tukaishi kwa muda mrefu na kama binadamu kuna sehemu huwa ninakosea lakini mpenzi hanigombezi au haniulizi makosa niliyofanya,huwa nahisi sipendwi
Mwanaume anapokuwa ananigombeza hadi najikuta nalia,najikuta nahisi kupendwa na mwanaume huyo,na huamini kuwa mwanaume huyo ananipenda
Asiponigombeza huwa nahisi kuna mwanamke mwingine anayempenda tofauti na mimi
Naombeni mnisaidie,ni kwangu tu au kuna wengine hali hiyo huwa inawatokea
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mimi spendi kugombezwa lakini huwa inafika wakati natamani tukwaruzane tu kidogo yani nibembelezwe yani hata ninune bila sababu bebe anipakate anibembeleze aniambie maneno mataam ani kiss utam kabisa yani ni kama kudeka hivi kwa mr wangu. daah asikwambie mtu kupendwa raha jamani
π³π³π³π³π³π³π³Kwenye mahusiano lazima mnakuwa mnagombana na muda mwingine mnafurahia baada ugomvi kuisha
Jamani kwangu mimi, nikiwa kwenye mahusiano na mwanaume halafu tukaishi kwa muda mrefu na kama binadamu kuna sehemu huwa ninakosea lakini mpenzi hanigombezi au haniulizi makosa niliyofanya,huwa nahisi sipendwi
Mwanaume anapokuwa ananigombeza hadi najikuta nalia,najikuta nahisi kupendwa na mwanaume huyo,na huamini kuwa mwanaume huyo ananipenda
Asiponigombeza huwa nahisi kuna mwanamke mwingine anayempenda tofauti na mimi
Naombeni mnisaidie,ni kwangu tu au kuna wengine hali hiyo huwa inawatokea
Kwanza sikupi hiyo nafasi.
naondoka. hasira zikiisha narudi. kwanza sikumbuki kuwa chanzo cha kugombana na mwanaume mpaka kufikia hatua ya kurushiana maneno.Unafanyaje kwa mfano, maana usiposema chochote ndo utapandisha hasira mpaka hata vibao vya bahati mbaya utapata.
Aisee usiondoke ni hatari zaidi. Chukulia mfano, mtoto wako ama mdogo wako amefanya kitu ndivyo sivyo uanze kumgombeza halafu aondoke zake, kuwa mkweli, hasira zako zitaishia hapo?naondoka. hasira zikiisha narudi. kwanza sikumbuki kuwa chanzo cha kugombana na mwanaume mpaka kufikia hatua ya kurushiana maneno.
Huu muda wa kufanya yote haya mnapata wapi?Mimi spendi kugombezwa lakini huwa inafika wakati natamani tukwaruzane tu kidogo yani nibembelezwe yani hata ninune bila sababu bebe anipakate anibembeleze aniambie maneno mataam ani kiss utam kabisa yani ni kama kudeka hivi kwa mr wangu. daah asikwambie mtu kupendwa raha jamani