Nisipogombezwa na mwanaume nahisi sipendwi

Nisipogombezwa na mwanaume nahisi sipendwi

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Aisee Kumuelewa Msichana ni Jambo gumuu Sana...! Ningemjua mumeo ningemuibia hii sirii yanii Kilaa siku ni kukugombezaa tuuu....Asubuhi anakugombeza...Usiku mnapolala anakugombezaa...Ukutee hiyo inakusaidia hata kukiona kilele mapemaaaa
mpo katikati ya usingizi midnight unamuamsha unamsemaaa halafu mnalala tena
 
Kwenye mahusiano lazima mnakuwa mnagombana na muda mwingine mnafurahia baada ugomvi kuisha

Jamani kwangu mimi, nikiwa kwenye mahusiano na mwanaume halafu tukaishi kwa muda mrefu na kama binadamu kuna sehemu huwa ninakosea lakini mpenzi hanigombezi au haniulizi makosa niliyofanya,huwa nahisi sipendwi

Mwanaume anapokuwa ananigombeza hadi najikuta nalia,najikuta nahisi kupendwa na mwanaume huyo,na huamini kuwa mwanaume huyo ananipenda

Asiponigombeza huwa nahisi kuna mwanamke mwingine anayempenda tofauti na mimi

Naombeni mnisaidie,ni kwangu tu au kuna wengine hali hiyo huwa inawatokea
Ni kawaida kwenu,coz tucipofanya ivoo mtatafuta nje wa kuwagombeza.Soo Upo sahihi bidada ucijary
 
Duuh nimeptia comment na Siku zote nashindwa kumwelewa Mwanamke ni Binadamu wa namna gani ana mambo mengi,nikiwaonaga ni kama Mtoto anayehitaji malezi na uangalifu wa hali ya juu na nimejifunza kitu ni bora uwe mkweli kwa Mwanamke na sio siri hawajulikani huwa wanataka nn sio mavazi(wana mavazi aina nyingi hatari),,tabia zao,Mwenendo kiukweli Mwanamke ni kitabu usichokijua na Ndo Maana kuna Umuhimu ukiwa unataka kuoa Mungu awewa Kwanza kukuchagulia maana hali hiii sio kawaida
"Na Ishi na Mwanamke kwa akili"nimeamini Neno la Mungu lina maanisha,
Allah is good always
 
Kabula hata sjasoma body ni komenti"AMA KWELI SJUI HAKI SAWA, SJUI UTETEZI WA HAKI ZA BINADAMU HAUKUPASWA KUWEPO AFRIKA. nikasome sasa.
 
Kwenye mahusiano lazima mnakuwa mnagombana na muda mwingine mnafurahia baada ugomvi kuisha

Jamani kwangu mimi, nikiwa kwenye mahusiano na mwanaume halafu tukaishi kwa muda mrefu na kama binadamu kuna sehemu huwa ninakosea lakini mpenzi hanigombezi au haniulizi makosa niliyofanya,huwa nahisi sipendwi

Mwanaume anapokuwa ananigombeza hadi najikuta nalia,najikuta nahisi kupendwa na mwanaume huyo,na huamini kuwa mwanaume huyo ananipenda

Asiponigombeza huwa nahisi kuna mwanamke mwingine anayempenda tofauti na mimi

Naombeni mnisaidie,ni kwangu tu au kuna wengine hali hiyo huwa inawatokea
Kuja hapa nimekutafuta muda mrefu sana..!
 
Mimi spendi kugombezwa lakini huwa inafika wakati natamani tukwaruzane tu kidogo yani nibembelezwe yani hata ninune bila sababu bebe anipakate anibembeleze aniambie maneno mataam ani kiss utam kabisa yani ni kama kudeka hivi kwa mr wangu. daah asikwambie mtu kupendwa raha jamani
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Baba mwenye nyumba wako niliekuhonga milion moja na nusu nipo hapa nimetulia!
 
Kwenye mahusiano lazima mnakuwa mnagombana na muda mwingine mnafurahia baada ugomvi kuisha

Jamani kwangu mimi, nikiwa kwenye mahusiano na mwanaume halafu tukaishi kwa muda mrefu na kama binadamu kuna sehemu huwa ninakosea lakini mpenzi hanigombezi au haniulizi makosa niliyofanya,huwa nahisi sipendwi

Mwanaume anapokuwa ananigombeza hadi najikuta nalia,najikuta nahisi kupendwa na mwanaume huyo,na huamini kuwa mwanaume huyo ananipenda

Asiponigombeza huwa nahisi kuna mwanamke mwingine anayempenda tofauti na mimi

Naombeni mnisaidie,ni kwangu tu au kuna wengine hali hiyo huwa inawatokea
😳😳😳😳😳😳😳
Ama kweli nyie watu hamtabiliki kabisaaaaaa
 
Unafanyaje kwa mfano, maana usiposema chochote ndo utapandisha hasira mpaka hata vibao vya bahati mbaya utapata.
naondoka. hasira zikiisha narudi. kwanza sikumbuki kuwa chanzo cha kugombana na mwanaume mpaka kufikia hatua ya kurushiana maneno.
 
naondoka. hasira zikiisha narudi. kwanza sikumbuki kuwa chanzo cha kugombana na mwanaume mpaka kufikia hatua ya kurushiana maneno.
Aisee usiondoke ni hatari zaidi. Chukulia mfano, mtoto wako ama mdogo wako amefanya kitu ndivyo sivyo uanze kumgombeza halafu aondoke zake, kuwa mkweli, hasira zako zitaishia hapo?
 
Mimi spendi kugombezwa lakini huwa inafika wakati natamani tukwaruzane tu kidogo yani nibembelezwe yani hata ninune bila sababu bebe anipakate anibembeleze aniambie maneno mataam ani kiss utam kabisa yani ni kama kudeka hivi kwa mr wangu. daah asikwambie mtu kupendwa raha jamani
Huu muda wa kufanya yote haya mnapata wapi?
 
Victim..mnapendana drama mnadhani drama ndo mapenzi[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom