Kajifunze kuandika Hakuna neno "xaxa" la kiswahili na kama uko hivyo FOE hakuna usharobaro. Utachemsha.
Angepata mswaki angekuwa na division 3...mkuuameishakuambia kiswahili amepata "mswaki" unategemea angeacha kuandika "vyongo" kama hizo.?
follow your heart ndo utafanya vizuri zaidi,umesoma unataka kwenda chuo,hivyo nenda chuo.usiende advance kwa kusukumwa na mtu utafeli wewe.udsm utafika tu hata kwa kutokea dit ama mbeya.hivyo basi nenda tech college
asante kwa ushauri wako
mimi nimemaliza kidato cha nne mwaka jana na kufanikiwa kupata 2 ya point 21 nikiwa na c kwa kila somo isipokuwa hist na kisw .ndoto yangu hapo baadae ni kuja kuwa civil engineer na katika fomu niliweka first selection technical college ambapo nilichagua civil engineering ktk vyuo vya d.i.t au m.u.s.t (zaman m.i.s.t) xaxa kuna baadh ya watu wananiambia ni heri nikasome advance na nachotaka kuuliza ni kwamb je nikisoma advance egm kuna uwezekano wa kusoma civil engineering?
nawasilisha...