Nisome mtambo gani kati ya TOWER CRANE au MOBILE CRANE wakuu?.

Nisome mtambo gani kati ya TOWER CRANE au MOBILE CRANE wakuu?.

Mropoka Hovyo

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2023
Posts
446
Reaction score
1,253
Wakuu nimemaliza chuo kikuu mwaka Jana, Nimepambana kwenye kazi za ujenzi za Mtaani nimeweza kupata pesa kiasi cha laki nane[800,000 Tsh] tu.

Sasa nimekuja hapa mnipe ushauri nikasomee mtambo gani kati ya TOWER CRANE au MOBILE CRANE na upi kati hiyo kupata kazi inaweza kuwa rahisi au ina uwanda mpana kutokana na miradi mingi inayoendela hapa bongo.

Wakubwa nipo confused sana na hii ni kwasababu ya kiasi cha pesa nilichonacho.
 
ishu ni ajira mkubwa,, nilisomea excavator na motor grader.. hata field sijawahi kupata nikabadili kozi,, sa hivi ni mkemia,,
 
ishu ni ajira mkubwa,, nilisomea excavator na motor grader.. hata field sijawahi kupata nikabadili kozi,, sa hivi ni mkemia,,
Ni kupambana tu mkuu japo mambo hajawahi kuwa rahisi.
 
Komaa mwanangu kuna kampuni hapa bongo ina jina kubwa sana ni hawa estim construction tatizo ni ya wahindi opareta analipwa elfu 20 kwa siku ila vifaa vyote wanavyo tena vya kisasa kabsa
 
Komaa mwanangu kuna kampuni hapa bongo ina jina kubwa sana ni hawa estim construction tatizo ni ya wahindi opareta analipwa elfu 20 kwa siku ila vifaa vyote wanavyo tena vya kisasa kabsa
Kwasababu nitakuwa natafuta uzoefu, hicho kiasi naweza kuchukua kwasababu nitakuwa mpya kazini.

Mkuu ushauri wako ni upi nisome Tower au Mobile crane?.
 
Shukrani mkuu, Kazi za kusaidia fundi zinachosha sana imebidi nijiongeze tu.
Umefanya uamuzi sahihi. Pamoja na kuwa na elimu lakini suala la Ujuzi ni la msingi Sana Ili usilale njaa.

Tunapoelekea Ninaona graduates wengi wataweka vyeti pembeni na kutafuta Ujuzi angalau kuweza kuyamudu maisha. Hali ni tete sana
 
Back
Top Bottom