du ,hebu lete mada yako kinyumbani ,kwangu kama inaingia inatoka!where have I mistaken so as to modify
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
du ,hebu lete mada yako kinyumbani ,kwangu kama inaingia inatoka!where have I mistaken so as to modify
labda niseme kitu kuhusiana na lugha ya English as far as applied linguistics is concerned.tatizo as watanzania tunapenda kukosoa wenzetu lakini ukweli ni kwamba asilimia kubwa sana ya watz hawajui English both written and oral,first ,judge yourself before judging your colligue.
Haa haa haa yaani we andybird314 umeona hapo tu. Suala la ushauri wa asomee nini ambalo ndo dhumuni kuu hujaliona?Hiyo colligue mmmmmh. Haya msomi
First of all I would thanks to god up to where am, second for those who have been blessed to pursue masters programs may you get me your assistance that am a last year student pursuing bachelor degree of arts.
Now I have thoughts to go on with master degree but problem is which program should I take to wide up the range as far as job opportunity is considered. please be honesty and calm.
I don't know what makes people think having a Masters degree will give them better job. Many companies hire people with experty and experience
First of all I would thanks to god up to where am, second for those who have been blessed to pursue masters programs may you get me your assistance that am a last year student pursuing bachelor degree of arts.
Now I have thoughts to go on with master degree but problem is which program should I take to wide up the range as far as job opportunity is considered. please be honesty and calm.
kijana anapenda ki english wakati ki english hakimpendi sijui kwanini anajitesa ivo anaacha kuongea lugha anayoijua
labda niseme kitu kuhusiana na lugha ya English as far as applied linguistics is concerned.tatizo as watanzania tunapenda kukosoa wenzetu lakini ukweli ni kwamba asilimia kubwa sana ya watz hawajui English both written and oral,first ,judge yourself before judging your colligue.
unasoma nini kwa sasa??????
degree progrm gani?????
Du!! Huyu jamaa ananikumbusha jamaa mmoja aliyepata nafasi ya kwenda kusoma nje shahada ya kwanza,huyo jamaa alikuwa mkweli tu kwamba mipango yote aliandaliwa na wazazi wake, yeye kaletewa tiketi ya ndege tu kwamba aende akasome ulaya,mambo ya kozi atajua huko huko, na ilikuwa hivyo kweli. Mambo kama hayo utakutana nayo kwa wingi sana katika nchi yetu hii ya kilimanjaro. Mungu ibariki Tanzania.Haya maswali huwa ya watoto wa A level na O level. Mtu anayetegemea kuhitimu shahada kuuliza hili swali hutendei haki elimu ya shahada kabisa. Yani uwezo wako wa kufikiri haufanani na hicho ambacho umekisoma. Samahani kwa kukukwaza lakini