Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hahahaha kigari kibaya kutoka Nissan 😅😅😅 juke ina sura ya chura kabisaDaah no wonder Juke kwa ki-israeli ni Mende.
Gari Ina sura mbaya ile.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha kigari kibaya kutoka Nissan 😅😅😅 juke ina sura ya chura kabisaDaah no wonder Juke kwa ki-israeli ni Mende.
Gari Ina sura mbaya ile.
Mkuu haya Magari umeyatoa wapi???
Eeeehh tena iyo new model iyo mpaka airbag ya kukufunika mwili mzima ipo humo[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Weee kweli?Naona wiki hii ni zamu ya BMW x6 kutamba humu JF.
Rumion iko vizuri Sana mkuu, huwezi kufaninisha na Porte.....ebu check Kwanza hiyo ndinga ilivyotulia
View attachment 1805921
😄😄😄😄 Mambo ya Nissan hayo boss.Mkuu haya Magari umeyatoa wapi???
Aisee hata jinsi ya kutoa hoja nimeshindwa... hahahaha 😂😂😆 hii ni hatari
Aisee nimecheka Sana maana nimekutana na nissan moja hapa ni hiyo ambayo umetupia picha yake ina rangi ya cream...Kumbe hizi gari zipo hapa dar😄😄😄😄 Mambo ya Nissan hayo boss.
Hiyo raha isije ikatukolea na sisi..[emoji23][emoji23]
Hahaa...kila kampuni ina gari zake ambazo ni vituko...View attachment 1808758View attachment 1808759
Kumbe na wewe una simu special kwa ajili ya social networks?Haaa haaahaaa...we fala njoo uone simu namiliki, achana na haya hii tecno spesho kwa ajili ya upuuzi wa humu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ndio mkuuKumbe na wewe una simu special kwa ajili ya social networks?
Ni magari ya zamani hayo mkuu matoleo mapya wa magari mazuri mno ni vile tumebanwa na kodi ndio maana na hayo yapo kwenye macho yetu na bajeti yetu..Ila Mimi naona Toyota model hazina Sura za kuvutia yaani angalau Nissan wako vizuri Kwenye design ya Magari....hapa Tanzania kuna Toyota BB, Porte na wills haya Magari nashindwa kuelewa Toyota waliwaza nini
Kazi ipo kwa kweli...This is Tanzania...This is Africa...
Ulitaka waweke feature gani kwenye hiyo gari ambayo nchini mwako utaanza kuitumia 2031..