Nissan 2021 Vs Toyota 2021 Jamaa wamefikia Tamati katika Ubunifu

Nissan 2021 Vs Toyota 2021 Jamaa wamefikia Tamati katika Ubunifu

mtoa mada unatakiwa ujue kuna kitu kinaitwa Rebranding au Twin cars

Kumbuka kuja na engineering design mpya ya gari sio swala rahis ni uwekezaji unaohitaji fedha na muda inaweza kuchukua hadi 5 yrs

maana unategema kila kitu kuanzia. ukaaji wa taa, had ukaaji wa engine. sababu vyote vina athar kwenye perfomance nzima ya gari.

so mara nyingi kama kampun haijawa tayar na design mpya ya gari ( labda design bado iko maabara) wanachofanya ni kuangalia design gan mpya iko sokon.. ili kuendelea kulinda jina lao sokon wanaongea na brand ingine ambayo wanaona washatoa design mpya na inaonekana itauza.. wanainunua hiyo design kwa zone.. yaan unaweza ukakuta. hapo labda toyota kainunua hiyo design kwa nissan akabadilishia kdg muundo wa taa na nyuma. then anaipa jina lake ila ataiuza labda Asia tu ama amerika tu.

na wakat mwingine ni body tu ila engine na spare zitatumika za original brand designer au anauziwa hiyo brand anauza kote ulimwengun kwa mda flan labda maxmamu 3 yrs

so mfanano wa design usikushangaze. kawaida ishatokea miaka ya nyuma.. nenda kaandali gari zofuatazo...

VW Sharan vs Ford Galaxy - same car diff brand

toyota Voltz vs Poantic vibe ya GM motors

Citroen C1 and Pegeout 107

subaru BRZ and Toyota GT86

Aston Martin Cygnet vs Toyota IQ

wakat mwingine badala ya kunumua design kutoka kwa brand ingine kampun inaweza ikaamua ikachukua design ya zaman na kuipa jina jipya pengine wakifanya tu facial uplift basi staili hiyo wanaita re badging

mfano

toyota corrola vs toyota sprinter.. same
car diff name

honda accord vs honda vigor se
car diff name

Nissan cedric vs Nissan Gloria

mwisho jua pia hiz kampun zinaingilian kiutendaj sababu zinamilikiana wao kwa wao ndo maana nirahs kufanya hivyo

View attachment 1806931
 
Ila Mimi naona Toyota model hazina Sura za kuvutia yaani angalau Nissan wako vizuri Kwenye design ya Magari....hapa Tanzania kuna Toyota BB, Porte na wills haya Magari nashindwa kuelewa Toyota waliwaza nini
Hujui magari wewe. Kwa taarifa Nissan husubiri Toyota watoe design mpya ndipo Nissan wacopy kitu watoe yao
 
Kwenye hizo picha za Nissan patrol na Toyota LC hapo alizoweka mtoa mada, ni kampuni ipi ilianza kutoa gari lake..?

Sent from my itel P51 using JamiiForums mobile app
Unaulizaje swali ulilo na majibu yake. Unataka nitoe jibu ili uanze kuleta ubishi. Sema Mimi ninavyojua ni kuwa design ya sasa ya Nissan mpya imetolewa kabla ya ya Toyota lc ndivyo watu wanavojadili humu. Haya sema wewe unavojua ni design ipi imeanza kutoka, ya Toyota au ya land cruiser
 
Unaulizaje swali ulilo na majibu yake. Unataka nitoe jibu ili uanze kuleta ubishi. Sema Mimi ninavyojua ni kuwa design ya sasa ya Nissan mpya imetolewa kabla ya ya Toyota lc ndivyo watu wanavojadili humu. Haya sema wewe unavojua ni design ipi imeanza kutoka, ya Toyota au ya land cruiser
Sasa kama Nissan mpya ilianza kutoka kabla ya hiyo Toyota, sasa unasemaje kwamba Nissan wanasubiri Toyota watoe design ndiyo Nissan waige..?
 
Hujui magari wewe. Kwa taarifa Nissan husubiri Toyota watoe design mpya ndipo Nissan wacopy kitu watoe yao
Ni matoleo gani ya Nissan walikopi Kwa Toyota baada ya Toyota kutoa?
Pia ni teknologia IPi Nissan alikopi kutoka Toyota hasa Kwenye upande wa engine?

Chukulia mfano wa nissan Fuga hii ni bonge moja ya ndinga hata hao akina athletes wanasubiri miaka 100...nenda kaangalie hiyo ndinga ilivyosimama unaweza kuifananisha na toleo lipi la Toyota?
 
Sasa kama Nissan mpya ilianza kutoka kabla ya hiyo Toyota, sasa unasemaje kwamba Nissan wanasubiri Toyota watoe design ndiyo Nissan waige..?
Hujaelewa nilichosema broo. Nimesema aje huyo mwenye post kabla ya ya kwangu aseme 'kwa mfano'. Aseme hivi 'mimi ninaamini kuwa design ya sasa ya Nissan mpya imetolewa kabla ya ya Toyota lc'. Nikasema hivyo ndivyo watu wanavojadili humu. Sikusema kuwa Nissan y62 ndio imedesigniwa kabla ya toyota inayokuja. Elewa usikariri.
 
Ni matoleo gani ya Nissan walikopi Kwa Toyota baada ya Toyota kutoa?
Pia ni teknologia IPi Nissan alikopi kutoka Toyota hasa Kwenye upande wa engine?

Chukulia mfano wa nissan Fuga hii ni bonge moja ya ndinga hata hao akina athletes wanasubiri miaka 100...nenda kaangalie hiyo ndinga ilivyosimama unaweza kuifananisha na toleo lipi la Toyota?
Nissan hukopi matoleo karibu yote. In fact hapa wewe mwenyewe unathibitisha kuwa Toyota hutangulia. Baada ya Toyota kutoa mfano athlete Nissan kaja na fuga kwa kuongeza vionjo unavyofikiri Toyota watachukua miaka 100 kuvifikia. Toyota watakuja kivingine. Halafu hapa mjadala wa sasa ni wa Nissan patrol na Toyota LC. Nimesema usikariri
 
Hujui magari wewe. Kwa taarifa Nissan husubiri Toyota watoe design mpya ndipo Nissan wacopy kitu watoe yao
Nissan hukopi matoleo karibu yote. In fact hapa wewe mwenyewe unathibitisha kuwa Toyota hutangulia. Baada ya Toyota kutoa mfano athlete Nissan kaja na fuga kwa kuongeza vionjo unavyofikiri Toyota watachukua miaka 100 kuvifikia. Toyota watakuja kivingine. Halafu hapa mjadala wa sasa ni wa Nissan patrol na Toyota LC. Nimesema usikariri
Soma vizuri comment yako ya kwanza..

Uwe na jioni njema mkuu...

Sent from my itel P51 using JamiiForums mobile app
 
Sasa mkuu sisi tunaozimiliki tunaziita ndege za ardhini
Hii ndo ndege yA chini 😁😁😁

800px-2008_Scion_xB.jpg
 
Mi napenda BMW X6 ....

Asee hilo ndinga naomba Mungu bariki after 3 yrs from now niwe nimeimiliki hata kama imepitwa na wakati[emoji848]

Kuna raia wa nje hapa job ( mswedish) analimiliki mpyaa, sasa tukawa marafiki, ( nilikuwa namfundisha kuzijua barabara za kibongo ) Kuna siku nikamuomba anipe nidrive nipate baraka ya kulimiki! Akaniazima siku ya jumapili asubuhi ila asubuhi j3 ofisini chap nihakikishe nimelipaki atalikuta[emoji122][emoji122][emoji122]

(Wazungu sijui gari wanaona kitu gani yaan just normal sio kama wabongo)


Asee Twin, sijawahi kupata raha kama niliyoipata siku hiyo, yaan niliona kama napaa mbinguni[emoji1787][emoji1787]
Lile gari ni tamu jamani afuu, muziki wake sasa mamaaaa nilihisi malaika kanibeba ananipaisha mbinguni bila kuonja kifoo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]


So twin niombee niubebe huu mndinga[emoji120][emoji120]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Naona wiki hii ni zamu ya BMW x6 kutamba humu JF.
 
Tukiachana na unazi wa kushabikia Toyota Ila Kwa kifupi Magari Yao mengi Yana design mbaya Sana kuanzia exterior na interior design.....hawa jamaa tunawakibali Kwenye engine na gear box.

Nissan Tu ndiyo wako vizuri Kwa kila kitu Kwa Magari ya japan
Nakubali mkuu Nissan wako vzr kwa kila kitu,Hahah.
Screenshot_20210604-002202.jpg
Screenshot_20210604-002054.jpg
Screenshot_20210604-002001.jpg
Screenshot_20210604-001922.jpg
Screenshot_20210604-001809.jpg
Screenshot_20210604-001711.jpg
Screenshot_20210604-001611.jpg
Screenshot_20210604-001517.jpg
Screenshot_20210604-002322.jpg
 
Back
Top Bottom