Nissan 2021 Vs Toyota 2021 Jamaa wamefikia Tamati katika Ubunifu

Nissan 2021 Vs Toyota 2021 Jamaa wamefikia Tamati katika Ubunifu

Yes. ninaelewa hayo yete mkuu ila linapokuja suala la gari kuwa na dashboard katikati mithili ya tractor au pikipiki, mimi naishiwa hamu kabisaa...

Magari yafuatayo siyaapendi hata kidogo kisa tu yana dash katikati..
IST, Vitz zote,Rumion,Sienta, Platz,Raumu,Prius na Nissan X Trail First generation..

Halafu toyota anaonekana ni legendary wa kuzalisha magari yenye dashboard kati kati...

Nachukia sijui kwa nini...
Ist ile mpya haina dashboard kati, ila hata mie nachukia sana dashboard kuwa kati, halafu sina sababu , i hate rumion kwa sababu hizo hizo pia
 
Vijana wa mjini sasa wanavyozipenda hizo rumion, umkute kavaa na yale maviatu ya crocs na kaptula za kubana halafu akishuka anauninginiza ufunguo kwenye kaptula hapo anakuwa ameyaweza maisha kwa 100%
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Tukiachana na unazi wa kushabikia Toyota Ila Kwa kifupi Magari Yao mengi Yana design mbaya Sana kuanzia exterior na interior design.....hawa jamaa tunawakibali Kwenye engine na gear box.

Nissan Tu ndiyo wako vizuri Kwa kila kitu Kwa Magari ya japan
Very true...na Nissan haizingui kabisa kama unafata procedure zote za service

Toyota daily wanashinda garage[emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo wa wenye vigari vidogo mnadhani kila mwenye gari kubwa yupo kushindana.

Mtu ana ki ist anakwambia amempita lc200 kama kasimama.
[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]

Hivi vicastle vikikupita kwa speed basi dere anajioona...


Yaan wana bifu kali na wenye SUV, huwa nashangaa [emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Hahaa..[emoji23][emoji23]vile dash board inafanana na ndege..

kibongo bongo kwa sasa ndege ya ardhini kutoka Japan ni

Toyota crown na Nissan Fuga.

Ulaya ndege zipo nyingi sana..
Toyota crown ni balaa ndani

Ubaya wake ukiwa kwenye hilo gari ni kama unaburuzwa ardhini

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Twin unapenda gari gani?? mimi Sina hela tu ila nazipenda Fortuner sana!!!
Mi napenda BMW X6 ....

Asee hilo ndinga naomba Mungu bariki after 3 yrs from now niwe nimeimiliki hata kama imepitwa na wakati[emoji848]

Kuna raia wa nje hapa job ( mswedish) analimiliki mpyaa, sasa tukawa marafiki, ( nilikuwa namfundisha kuzijua barabara za kibongo ) Kuna siku nikamuomba anipe nidrive nipate baraka ya kulimiki! Akaniazima siku ya jumapili asubuhi ila asubuhi j3 ofisini chap nihakikishe nimelipaki atalikuta[emoji122][emoji122][emoji122]

(Wazungu sijui gari wanaona kitu gani yaan just normal sio kama wabongo)


Asee Twin, sijawahi kupata raha kama niliyoipata siku hiyo, yaan niliona kama napaa mbinguni[emoji1787][emoji1787]
Lile gari ni tamu jamani afuu, muziki wake sasa mamaaaa nilihisi malaika kanibeba ananipaisha mbinguni bila kuonja kifoo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]


So twin niombee niubebe huu mndinga[emoji120][emoji120]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Ila Mimi naona Toyota model hazina Sura za kuvutia yaani angalau Nissan wako vizuri Kwenye design ya Magari....hapa Tanzania kuna Toyota BB, Porte na wills haya Magari nashindwa kuelewa Toyota waliwaza nini
😆😆😆
 
Rumion iko vizuri Sana mkuu, huwezi kufaninisha na Porte.....ebu check Kwanza hiyo ndinga ilivyotulia

View attachment 1805921
Haina tofauti sana na bb

images (18).jpeg


images (17).jpeg
 
Mi napenda BMW X6 ....

Asee hilo ndinga naomba Mungu bariki after 3 yrs from now niwe nimeimiliki hata kama imepitwa na wakati[emoji848]

Kuna raia wa nje hapa job ( mswedish) analimiliki mpyaa, sasa tukawa marafiki, ( nilikuwa namfundisha kuzijua barabara za kibongo ) Kuna siku nikamuomba anipe nidrive nipate baraka ya kulimiki! Akaniazima siku ya jumapili asubuhi ila asubuhi j3 ofisini chap nihakikishe nimelipaki atalikuta[emoji122][emoji122][emoji122]

(Wazungu sijui gari wanaona kitu gani yaan just normal sio kama wabongo)


Asee Twin, sijawahi kupata raha kama niliyoipata siku hiyo, yaan niliona kama napaa mbinguni[emoji1787][emoji1787]
Lile gari ni tamu jamani afuu, muziki wake sasa mamaaaa nilihisi malaika kanibeba ananipaisha mbinguni bila kuonja kifoo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]


So twin niombee niubebe huu mndinga[emoji120][emoji120]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app

Twin wewe mtu mkubwa mimi miaka mitatu kila nikipiga hesabu sioni kabisa nikiiweka mkononi Fortuner[emoji23][emoji23][emoji23]


Sema BMW X6 tamu bwana tuache utani, ukinunua unipe lift nipate baraka kidogo[emoji1]
 
Ila Mimi naona Toyota model hazina Sura za kuvutia yaani angalau Nissan wako vizuri Kwenye design ya Magari....hapa Tanzania kuna Toyota BB, Porte na wills haya Magari nashindwa kuelewa Toyota waliwaza nini
Gari za Toyota zinazo kuja Huku si za Serikali na mashirika? Kama wapo wachache sana wanaoenda na Design za kisasa na kununua Gari mpya za Toyota.

Ukipitia website yao kwenye luxury car land cruiser ndio ipo sana huku Sababu ya mashirika ila nyingi hazipo

Prius, avalon, mirai, sequoia sijawahi kuziona.
 
Back
Top Bottom