Nissan Dualis Imetembea Non Stop Dar to Musoma

Nissan Dualis Imetembea Non Stop Dar to Musoma

Mkuu sio kweli huwezi kutembea umbali huo non-stop au hamuelewe maana ya non-stop?


Non-stop maana yake hakuna kusimama sasa wewe kweli ulitembea bila kusimama?
 
Acheni kumtisha jaman. Non stop haiwezekani maaana humo njian LAZIMA alisimama kula, alisimama kuchimba dawa, alisimama kujaza mafuta, alisimama kwenye vizuizi vya askari nk point yake hakuzima gari kitu ambacho ni kawaida tu wala hakuna madhara. Acheni uswahili na stori za vijiweni. Injini ina mfumo wake wa Upozaji na kama inafanyakazi kiaswa sawa hata siku 3 masaa 72 chombo inatembea tuuuu. Gooogle hapo maximum hours ya Dualis Engine kufanyakazi non stop utapata jibu gani? Kusimama na gari kila baada ya 200km huwa ina lengo la check up ya magurudumu, dereva kujinyoosha nk nk lkn siyo kwamba upumzishe injini

Mi mwenyewe nawashaa hao washauri najiuliza hivi hawa ni drivers kweli au washindia vijiweni?
Pale kwenye dashboard kama hapajaku-alert cho chote utaipumzisha kisa nini na ni ngumu Dar - Musoma non stop!
 
Haina shida boss mie nmeshawahi kutoka nayo from mtwara to mwanza kupitia dar bila kuiIma vile vile sababu msukuma yule alikuwa anataka j3 awe kazini.

Gari ilitoboa na mpaka leo jamaa anaitumia sema tu tulipiga service ya maana almost 2m kasoro ilizama tyre mpya kila kitu kilikuwa kma gar imetoka japan

Ugonjwa wa hizo gari ni pale utakapoanza kuweka spear na service za kunjunga ndo hpo lazma uje kulia.

Pia issue ya pili hakikisha likitokea tatizo la wiring/umeme wa gari basi mpe fundi maalum wa nissan syo hawa mafundi wetu wa mtaani anaekata nywaya toka huko na kuja kuunga bila kujua nywaya hii ya wapi na usifanye matengenezo ya umeme bila kupima na diagnosis mashine.

Kwani ukifanya kuripua tu kwenye wiring kwa fund wa chini ya mti sku ikitokea loose kidogo tu utashngaa tu gar uko ndan kwako nje inaungua au hata kwenye foleni chombo limelipuka
Asante kaka kwa maelezo yako.
Hii Gari ni taam sana kwenye mkeka.
Imetulia vibaya mnoo.Na Dereva yuko so comfortable.
 
Manure ya hiyo gari inasomaje? Ikiruhusu hamna shida, unao wahoji na wanao toa ushauri sio ma-expert wa hiyo gari! Gari sio kama pikipiki trailer 90, eti saa 4 halafu uzime, hata 48hr haina shida iwapo tu ulitia oil bora!
 
Manure ya hiyo gari inasomaje? Ikiruhusu hamna shida, unao wahoji na wanao toa ushauri sio ma-expert wa hiyo gari! Gari sio kama pikipiki trailer 90, eti saa 4 halafu uzime, hata 48hr haina shida iwapo tu ulitia oil bora!
Manure= mbolea ya wanyama/samadi.
Nadhani ulimaanisha MANUAL....(kitabu cha maelekezo..)
 
Wakuu zangu nimetembea na Nissan Dualis Mpaka Musoma pasipo kupumzika na kuizima.

Je, vipi kuhusu Gearbox yake kwa Skendo za kufa? Kweli imenifurahisha na imetembea sana.
Kawaida tu. Ata Passo, Vitz, zote zinafika vizuri tu. Bila shida. Magari ya sikuhizi engine imeboreshwa sio maajabu hayo. Ila DUALIS sio gari bado kwa Tanzania. Ipo siku utajua.
 
Wakuu nimerudi salama kutoka Musoma.Gari imetulia na haina shida.Weekend hii nategemea kupeleka Service na kuendelea na maisha mengine.
 
Hakuna gari isiyotembea hata Passo ingefika huko... Ila umeifanya gari itembee kwa maumivu baada ya siku mbili tatu ikikuletea shida utambue ni huo ujinga wako wa kuitembeza Non-stop... Ulipaswa uipumzishe tena ikibidi kwa kuizima angalau dk15-20 kila baada ya kilometers 500... Mabasi na malori yanapumzika sembuse hiko Ki Dualis chako...
Wabongo hamjui kuzitumia na kuzitunza gari, zikianza kuharibika mnasingizia wazungu na wajapan bure kwamba gari zao mbovu...
Mimi pia sishauri gari yenye engine ndogo kutembea umbali mkubwa bila kuipumzisha,ingawa kitaalamu sio mjuzi sana...
 
Hii gari inasemwa vby Sana[emoji848]
Kuna uzi nilileta humu kuomba ushauri kuhusu hiyo gari.

Kuna watu walitoa shuhuda zao... na kuna ambao walisagia vibaya mno! [emoji23]

Mwisho wa siku nikavuta chuma.

Nilichogundua, comments nyingi kuhusu magari hapa JF ni maneno ya vijiweni na ushabiki tu!

Nissan Dualis ni gari nzuri sana!
 
Kuna uzi nilileta humu kuomba ushauri kuhusu hiyo gari.

Kuna watu walitoa shuhuda zao... na kuna ambao walisagia vibaya mno! [emoji23]

Mwisho wa siku nikavuta chuma.

Nilichogundua, comments nyingi kuhusu magari hapa JF ni maneno ya vijiweni na ushabiki tu!

Nissan Dualis ni gari nzuri sana!
Binafs Sijawahi hata kuzijaribu,
naziona tu barabarani zinatembea
 
Haina shida boss mie nmeshawahi kutoka nayo from mtwara to mwanza kupitia dar bila kuiIma vile vile sababu msukuma yule alikuwa anataka j3 awe kazini.

Gari ilitoboa na mpaka leo jamaa anaitumia sema tu tulipiga service ya maana almost 2m kasoro ilizama tyre mpya kila kitu kilikuwa kma gar imetoka japan

Ugonjwa wa hizo gari ni pale utakapoanza kuweka spear na service za kunjunga ndo hpo lazma uje kulia.

Pia issue ya pili hakikisha likitokea tatizo la wiring/umeme wa gari basi mpe fundi maalum wa nissan syo hawa mafundi wetu wa mtaani anaekata nywaya toka huko na kuja kuunga bila kujua nywaya hii ya wapi na usifanye matengenezo ya umeme bila kupima na diagnosis mashine.

Kwani ukifanya kuripua tu kwenye wiring kwa fund wa chini ya mti sku ikitokea loose kidogo tu utashngaa tu gar uko ndan kwako nje inaungua au hata kwenye foleni chombo limelipuka
Umetoa ushauri mzuri sana.

Lakini Kinachounguza hizo gari hakihusiani kabisa na wiring!
 
Mi mwenyewe nawashaa hao washauri najiuliza hivi hawa ni drivers kweli au washindia vijiweni?
Pale kwenye dashboard kama hapajaku-alert cho chote utaipumzisha kisa nini na ni ngumu Dar - Musoma non stop!
Tena kwa Dualis, Temperature iko pale ina display kidigitaly kabisa!
 
Kawaida tu. Ata Passo, Vitz, zote zinafika vizuri tu. Bila shida. Magari ya sikuhizi engine imeboreshwa sio maajabu hayo. Ila DUALIS sio gari bado kwa Tanzania. Ipo siku utajua.
Acha hizo...
Niko nayo huku mkoani, rough road 30km then lami 52km (kwenda na kurudi ni 60km rough na 102km lami) three times a week, na inakaribia mwaka sasa haisumbui chochote!

Hiyo gari ni ngumu tofauti hata na muonekano wake!
 
Kuna uzi nilileta humu kuomba ushauri kuhusu hiyo gari.

Kuna watu walitoa shuhuda zao... na kuna ambao walisagia vibaya mno! [emoji23]

Mwisho wa siku nikavuta chuma.

Nilichogundua, comments nyingi kuhusu magari hapa JF ni maneno ya vijiweni na ushabiki tu!

Nissan Dualis ni gari nzuri sana!
Nakubaliana na wewe mpaka asaivi na dunda nayo mtaani.
 
Back
Top Bottom