Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Hiyo ndiyo oil recommended na manufacturer?Nina wasiwasi mkubwa kuwa hutumii oil ambayo ni recommended na manufacturer,nimefuatilia oil ambayo ni recommended kwa Nissan dualis lakini sijaona yenye viscosity hiyo.Nakushauri rudia kuangalia manufacturer anarecommend oil ipi kwa Nissani dualis!Nissan 5w30
Hiyo ndiyo oil recommended na manufacturer?Nina wasiwasi mkubwa kuwa hutumii oil ambayo ni recommended na manufacturer,nimefuatilia oil ambayo ni recommended kwa Nissan dualis lakini sijaona yenye viscosity hiyo.Nakushauri rudia kuangalia manufacturer anarecommend oil ipi kwa Nissani dualis!
View attachment 1770033View attachment 1770036View attachment 1770038
Poapoa mkuu
Na me nakazia hapo kwenye CVT joint.Anyway kila mtu anashauri lake..
Kama mwanzo boot rubber ilikuwa imekati, nina uhakika zaidi ya 90% cv joint imeshakufa...
Endpo ukikata kona ukasika mlio wa kha kha kha kha khaa khaa....hapo cv joint imeshakufa..badilisha.
Kuna watu wamesema bearing...bearing ikifa dalili za mwanzo ungesikia sauti ya kuvuma haswa ukiwa kwenye lami na si rough road...bearing ikifa zaidi tairi linaweza kuwa na play..
Stablizer link zikifa angesikia kelele za kugonga kwenye nyia ya mashimo mashimo au vimawe mawe...na hiyo kugonga ukiwa makini utahisi impact yake mpake kwenye usukani..
Hapo jombaa kabadili tu cv joint.
Mmh may be...[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Anasema inagonga akiwa anakata kona sio kwamba inatoa huo mlio wa kha kha kha
Nakazia hapo kwenye cv jointMchawi wa cv joint ni
Boot rubber kupasuka na kumwaga grease, kisha vumbi liingingie na maji...maji yanaingia kwa urahisi kwa sababu tunaosha magari na kupita kwenye madimbwi.
Fundi alipoweka rubber mpya, aliweka na grease mpya pia...hiyo grease ndiyo ilisaidia isilie kwa siku hizo mbili kisha mlio ukarudi pale pale kwa sababu tayari gololi za cv joint zilishasaga zile njia zake.
Nadhani tatizo bado ni hiyo cv joint kwa 90%...
Eneo la kwanza kucheck liwe hapo, fundi akijiridhisha kuwa haijafa, basi kagua suspension parts...
Mimi nina gari ya Nissan station wagon ya miaka hiyo ya zamani ambayo ilitengenezwa kwa ajili ya matumizi ya Ulaya, ukikata kona kuzidi angle fulani inatoa mlio bila kuwa na ubovu wa kitu cho chote.Nakazia hapo kwenye cv joint
Nakubaliana na wewe hata kwenye nissan navara na hardbord hua zinatoa mlio huo ukikata kona kuzidi angle hata hivyo arudi tu kwa fundi amchekia hiyo CV joint maana kwa hizo gari za nissan mara nyingi rubber boot ikipasuka huwa CV joint zake zinaharibika mpaka uweke nyingine mpya hata fundi akisafisha na kuwekea greese haichukui muda imenitokea sana kwa nissan navaraMimi nina gari ya Nissan station wagon ya miaka hiyo ya zamani ambayo ilitengenezwa kwa ajili ya matumizi ya Ulaya, ukikata kona kuzidi angle fulani inatoa mlio bila kuwa na ubovu wa kitu cho chote.
Anyway kila mtu anashauri lake..
Kama mwanzo boot rubber ilikuwa imekati, nina uhakika zaidi ya 90% cv joint imeshakufa...
Endpo ukikata kona ukasika mlio wa kha kha kha kha khaa khaa....hapo cv joint imeshakufa..badilisha.
Kuna watu wamesema bearing...bearing ikifa dalili za mwanzo ungesikia sauti ya kuvuma haswa ukiwa kwenye lami na si rough road...bearing ikifa zaidi tairi linaweza kuwa na play..
Stablizer link zikifa angesikia kelele za kugonga kwenye nyia ya mashimo mashimo au vimawe mawe...na hiyo kugonga ukiwa makini utahisi impact yake mpake kwenye usukani..
Hapo jombaa kabadili tu cv joint.
Genuine sijui itakuwa bei gani ila hizi za kawaida wanaazia 30k na kuendelea kulingana na aina na ukunwa gari..Stablizer link za Rav4 Miss TZ zinaweza kuwa bei gani? maana umetaja dalili hapa naona kabisa sina links
Umeongea sahihi kabisa.Anyway kila mtu anashauri lake..
Kama mwanzo boot rubber ilikuwa imekati, nina uhakika zaidi ya 90% cv joint imeshakufa...
Endpo ukikata kona ukasika mlio wa kha kha kha kha khaa khaa....hapo cv joint imeshakufa..badilisha.
Kuna watu wamesema bearing...bearing ikifa dalili za mwanzo ungesikia sauti ya kuvuma haswa ukiwa kwenye lami na si rough road...bearing ikifa zaidi tairi linaweza kuwa na play..
Stablizer link zikifa angesikia kelele za kugonga kwenye nyia ya mashimo mashimo au vimawe mawe...na hiyo kugonga ukiwa makini utahisi impact yake mpake kwenye usukani..
Hapo jombaa kabadili tu cv joint.
Tunashukuru na kukupongeza kwa mrejesho...MREJESHO
Nilifanikiwa kwenda kucheki na tatizo lilikuwa ni CV joint, baada ya kubadilisha tatizo likaisha.
Nawashukuru sana wote kwa mawazo yenu, yamesaidia sana.
Kabisa mwenyekiti wetu wa Nissan ngazi ya taifa.Tunashukuru na kukupongeza kwa mrejesho...
Hiki ndicho kitu kinachotakiwa na kitasaidia wengi.
Kuna watu wakishapewa ushauri, wakifanikiwa au wasipofanikiwa, hawaleti mrehesho..
Hawajui kuwa haya mawazo na mrejesho ni reference kwa watu wengine watakaokutana na changamoto kama hizo..
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Kabisa mwenyekiti wetu wa Nissan ngazi ya taifa.
@Extrovert nimeshazungumza nae. Tatizo anaogopa sana gharama sasa nimeshamwambia kuwa sisi huku team Nissan, VW, Audi, BMW na Mercedes Benz huwa tuna connections nyingi sana. Hatuwezi kumtazama member mwenzetu anakosa pesa ya services tutamtupia muamala bila shida.[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Kuna bwana anaitwa Extrovert yule anatakiwa awe mwenyekiti wa Toyota ngazi ya taifa..
Naam, nipo hapa natumaini amefaidika na mchango wangu pia maana moja kwa moja ilikuwa ni CV joint[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Kuna bwana anaitwa Extrovert yule anatakiwa awe mwenyekiti wa Toyota ngazi ya taifa..
Hahahaaa.[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]Naam, nipo hapa natumaini amefaidika na mchango wangu pia maana moja kwa moja ilikuwa ni CV joint
Kuna siku atakaribia tu kwenye brands nyingine..[emoji16][emoji16]@Extrovert nimeshazungumza nae. Tatizo anaogopa sana gharama sasa nimeshamwambia kuwa sisi huku team Nissan, VW, Audi, BMW na Mercedes Benz huwa tuna connections nyingi sana. Hatuwezi kumtazama member mwenzetu anakosa pesa ya services tutamtupia muamala bila shida.
Ni swala la muda tu atahama atakuja tulipo.