Mchawi wa cv joint ni
Boot rubber kupasuka na kumwaga grease, kisha vumbi liingingie na maji...maji yanaingia kwa urahisi kwa sababu tunaosha magari na kupita kwenye madimbwi.
Fundi alipoweka rubber mpya, aliweka na grease mpya pia...hiyo grease ndiyo ilisaidia isilie kwa siku hizo mbili kisha mlio ukarudi pale pale kwa sababu tayari gololi za cv joint zilishasaga zile njia zake.
Nadhani tatizo bado ni hiyo cv joint kwa 90%...
Eneo la kwanza kucheck liwe hapo, fundi akijiridhisha kuwa haijafa, basi kagua suspension parts...