kilAlafu Kingine Wajapan Wanaweza toa model za Gari ata 8 au zaidi Engine ni aina moja. Wanaweka tofauti kidogo sana! Sisi huku ni Jalala Tunaletewa tu no quality no Support
unatakaAiseee sasa kama gari inaweza kuwaka yenyewe si balaa hii mkuu!!!!
Yani maredio ya hovyo ,bahati tu magari mnafunga vioo,vinginevyo ingekuwa mikelele tu barabarani,binafsi huwa sipendi mamziki makubwa kwenye gari,i just love the engine sound.Pia ukiweka mziki mkubwa unaweza hata kugogwa na usihisiChanzo ni haya ya kuweka maredio mtaani
Unatakiwa uvunje kioo kwa kichwa chap usiungue kizembeHuenda mafundi wetu hawaelewi mifumo yake ya umeme wanaifojifoji hivyo kupelekea hilo tatizo. Just sayn.
Jamaa ana bahati maana milango ingekuwa locked na ikagoma fu guka ndo basi tena
Unavunja kwa kutumia egemea la kichwa lililo kwenye seat ndio kazi yake.Unatakiwa uvunje kioo kwa kichwa chap usiungue kizembe
Sawa kabisa, ukipanic ndo shidaUnavunja kwa kutumia egemea la kichwa lililo kwenye seat ndio kazi yake.
Mimi napenda zile zile speaker za gari bila kuongeza chochote zaidi ya kuweka leather seats sitaki kingine.Yani maredio ya hovyo ,bahati tu magari mnafunga vioo,vinginevyo ingekuwa mikelele tu barabarani,binafsi huwa sipendi mamziki makubwa kwenye gari,i just love the engine sound.Pia ukiweka mziki mkubwa unaweza hata kugogwa na usihisi
Mkuu wqpi wqnaweka leather seqts nzuri?Mimi napenda zile zile speaker za gari bila kuongeza chochote zaidi ya kuweka leather seats sitaki kingine.
Maeneo ya mbezi beach tangi bovu, Nissan Dualis imekutwa inawaka moto yan imelipuka. Mimi binafsi hii ni dualis ya 4 kupata taarifa imewaka moto. Hizi gari zina shida gani? Halafu hizi ndo sababu nyingine zinazochangia hata bei yake kushuka.
Huu ni uongo mkuu, hebu lete tena feedback maana zishakuwa nyingi.Hapo hata mafundi hawahusiki, magari tu yenyewe yana shida, mm nimeshuhudia mtu kalinunua kalitumia mwezi tu, likaungua lote hapa hapa dar wiki hyo hyo nikaona kwenye mitandao nyingine tena inaungua kimara....kwa hizo gari hiyo changamoto ni yakawaida sana, pamoja na gearbox yake haina shukran kabisa hata uijali vipi....ukienda safar ndefu gearbox inapata moto nakupelekea gari kupungua nguvu