Nissan Fuga: Naomba kujua ubora wake

Nissan Fuga: Naomba kujua ubora wake

duh..imepanda...hiyo ni ya mwaka gani?
coz za kuanzia 2009 zipo juu sana
Hii hapa Mkuu
Screenshot_2018-04-23-21-48-53.jpg
 
Kutumia milion 20 kwa ajili private car si bora ninunue toyota hiace kwa siku iniingizie 60,000.
 
Yale si ni ma 2.0 - 2.5 inline six. Engine kubwa zinabwia huwezi linganisha na 1.5 inline four.
Hapana, Nissan Fuga zote ni V configuration kuna V6(2500cc, 3500cc) na baba lao V8(4500).

Unywaji wa mafuta ni relative na kipato chako, aina ya safari zako na aina ya uendeshaji. Its a very luxurious but powerful car. Ukitaka kucruise pole pole mtaani freshy, ukitaka speed ya ndege inatema si kitoto.

Fuga 2500cc ina economy nzuri sana wakuu....... 8-10km/L mjini, ila inagonga mpk 14km/L kwenye highway. Kwa ushauri kama unataka used ikiwa na mileage chini ya 150,000km ni bomba. The only expensive repair huwa ni kubadili timing chain baada ya 150,00km cause unashusha engine yote inaweza cost mpk 3M. Zaid ya hapo itadepend na maintenance record yake, ni gari inahitaji uipende. Service on time, mafuta masafi etc nayo itakupenda haswa cuz haizingui.

Spare zake yes sio bei za kifara fara na hakuna fake ila ukifunga ni mkataba. Ni gari imara na ngumu sana. Ukimaintain vzuri hata km 300,000 unagonga bila kufanya any major repair.

Yangu inachezea 180,000km na ipo bomba kma mpya. Ni gari imenyooka sana huwa nkiamka asubuhi nachungulia dirishan kuadmire namna inavopendeza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana, Nissan Fuga zote ni V configuration kuna V6(2500cc, 3500cc) na baba lao V8(4500).

Unywaji wa mafuta ni relative na kipato chako, aina ya safari zako na aina ya uendeshaji. Its a very luxurious but powerful car. Ukitaka kucruise pole pole mtaani freshy, ukitaka speed ya ndege inatema si kitoto.

Fuga 2500cc ina economy nzuri sana wakuu....... 8-10km/L mjini, ila inagonga mpk 14km/L kwenye highway. Kwa ushauri kama unataka used ikiwa na mileage chini ya 150,000km ni bomba. The only expensive repair huwa ni kubadili timing chain baada ya 150,00km cause unashusha engine yote inaweza cost mpk 3M. Zaid ya hapo itadepend na maintenance record yake, ni gari inahitaji uipende. Service on time, mafuta masafi etc nayo itakupenda haswa cuz haizingui.

Spare zake yes sio bei za kifara fara na hakuna fake ila ukifunga ni mkataba. Ni gari imara na ngumu sana. Ukimaintain vzuri hata km 300,000 unagonga bila kufanya any major repair.

Yangu inachezea 180,000km na ipo bomba kma mpya. Ni gari imenyooka sana huwa nkiamka asubuhi nachungulia dirishan kuadmire namna inavopendeza.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23]ukiamka unachungulia dirishani kufanyaje...??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23]ukiamka unachungulia dirishani kufanyaje...??

Sent using Jamii Forums mobile app
Ah ah dah kwa jamaa alivyoisifia nashindwa elewa kwanini wabongo wanaogopa German machine kama bmw,audi ,mercedes am sure kwa bei aliyonunulia unampata mwanamke classic kwa half the stress ka ni case ya BMW
 
Wheel bearinga ni usd 750 za upande wa mbele tu

Shockuup ya mguu moja ni 550,000 inamaana miguu 4 ni 2200000

Taa ikipasuka moja andaaa 700000

Mafuta inachagua ukiweka super andaa kuondoa miss

Kumbuka mafundi wanaogopa kufungua injini yake

Bush zinaanzia 240,000 kuendelea

Kumbuka uliweka spea feki au zilizochini ya kiwango kila mwezi utakua unabadili

Kama huna pesa za strec Fuga ni gari nzuri sana ni stable luxiurious comfotable na nzuri ya kuopolea watoto wazuri. Wenyewe wanasema its more comfotable to be heartbroken inside the might fuga than an altezza

Mafuta nisiongelee sana kama unatoka mwenge hadi tegeta anadaa 20000

Kama una strec na hela za kibubu tafuta starlet au premio hata allex sio mbaya ukishindwa sana basi IST ama Passo
Daa...hizo bei za shock up ...bearing hahahaaaa..this car spare zake expensive

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wheel bearinga ni usd 750 za upande wa mbele tu

Shockuup ya mguu moja ni 550,000 inamaana miguu 4 ni 2200000

Taa ikipasuka moja andaaa 700000

Mafuta inachagua ukiweka super andaa kuondoa miss

Kumbuka mafundi wanaogopa kufungua injini yake

Bush zinaanzia 240,000 kuendelea

Kumbuka uliweka spea feki au zilizochini ya kiwango kila mwezi utakua unabadili

Kama huna pesa za strec Fuga ni gari nzuri sana ni stable luxiurious comfotable na nzuri ya kuopolea watoto wazuri. Wenyewe wanasema its more comfotable to be heartbroken inside the might fuga than an altezza

Mafuta nisiongelee sana kama unatoka mwenge hadi tegeta anadaa 20000

Kama una strec na hela za kibubu tafuta starlet au premio hata allex sio mbaya ukishindwa sana basi IST ama Passo
Hv hii gari kweli kuambayo CC inaweza kuwa chini ya 3000

Sent using Jamii Forums mobile app
 
No research no right to speak....
Nina nissan note ya mwaka 2005 cc 1500..mwaka wa 4 huu....sijawahi kujuta kuhusu mafuta..

Kuna watu wenye hizo IST wala hatucheknibkwenye ulji wa mafuta tunatofautiana kidogo sana na bado hii nissan ina nguvu sana.

Hivyo tusipende ku.. generalised mambo kwama Nissan zinabugia mafuta.....hii nissan November 2017 nilisafiri nayo Dar to Arusha mafuta ya 100,000/- na nilipofika arusha mafuta hayo hayo nilienda nayo kazini siku tatu

Kuhusu spea hakuna spea iliyosumbia nikaikosa dukani na nipo Arusha, sembuse kwa Dar.

Nissan hazitak hela za mawazo na zinahitaji nidhamu ya utunzaji na service zenye ubora,,ukizingatia hayo Nissan utaipenda na hutojuta ..

More over ni gazi nzito na zina balance ya kutosha barabarani..
Hii Nissan note inatumia lita ngp kwa km1? Na mafuta lita yalikuwa sh ngapi mpaka utumie mafuta ya laki moja(100,000) Dar mpk Ars kwny umbali wa zaidi ya km600 mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahah nikukumbushe tu hio gari ni V6 ya 2.5L ambayo unatakiwa uwe na walau kipato cha 70,000 ya kuchezea kila siku ndio utaiinjoy maana nissan zinabubuja wese kuliko Toyota ma piston yake makubwa zaidi.

Kinyume na hapo hutachukua mwezi utarudi kuanzisha uzi wa kutaka ku swap engine uulize wadau kama engine ya IST au Passo ipi itafaa kufungwa kwenye Fuga.

Nissan ni gari imara sana ila ukiacha Bluebird sylphy na March hamna ambayo inaendesheka kirahisi. Hio Xtrail tu ingawa sio 6 ila walionazo wanakoma.
Kweli tupu. Nilinunua Nissan Skyline 3.0m kwa mtu sasa hv najuta
 
Ah ah dah kwa jamaa alivyoisifia nashindwa elewa kwanini wabongo wanaogopa German machine kama bmw,audi ,mercedes am sure kwa bei aliyonunulia unampata mwanamke classic kwa half the stress ka ni case ya BMW
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tucheke tuongeze siku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii Nissan note inatumia lita ngp kwa km1? Na mafuta lita yalikuwa sh ngapi mpaka utumie mafuta ya laki moja(100,000) Dar mpk Ars kwny umbali wa zaidi ya km600 mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
wakati huo nilinunua lita moja sh 2240 kwmq sijakosea...
high way IU naenda mpaka 14 km kwa lita.
nadhan Dar to Arusha kuna zaidi ya 640 km

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom