Ime score 0 haina tofauti na Tata nano ambayo ni world cheapest carSuala la usalama ni muhimu hasa ukizingatia kwamba mtumiaji wa barabara si wewe peke yako. Hivyo hata kama utajitahidi kuendesha gari vizuri kwa tahadhari bado unaweza ukapitiwa na mtumiaji mwingine wa barabara na yakawa majanga kama kawaida.
Bado gari lenye score ya 5 linakuwa na uwezo mkubwa wa kulinda Occupants kuliko gari lenye Score ya 0.
Hizo gari hazifanani kwenye usalama.
Hizo ni gari za kazi, hata polisi wenyewe wanazipendaHivi sheria za uagizaji wa magari Tz bado zinaruhusu kuleta magari kama haya?
Kuna askari wa traffic alinisimamisha kipindi cha nyuma na akaniambia " unajua hili ni jeneza" nikamwambia "hapana askari hii ni gari na sio jeneza", na nikamwambia nayafuta maneno yako kwa damu ya Yesu.Gari zote ni majeneza yanayotembea mkuu! hata ukiwa na benz ukipata ukonzi wa haja lazima ukate ringi.
Naomba MUNGU nisitumie hizo simu aisee na sidhani Kama nitakuja kutumiaMtoa hoja umetoa hoja bila kuchimbua kwa undani...
Hiyo Nissan Hardboard NP 300 nyeupe ni Toleo maalumu kwa nchi masikini za Africa..
hiyo nyeusi ni toleo la ulaya...
Umasikini wetu wa kiafrika na kupenda vya kunyonga ndiyo unaofanya tuletewe vitu vyenye ubora wa chini..
Kampuni ya Nissan hapo hawana kosa, kosa ni umasikini wenu...
Hao Nissan nao ni wafanga biashara, wakisema watutengenezee kwa standard za Europe, waafrica mtakimbia.....
Ni sawa na Tecno,Itel au Infinix....huu uchafu umewahi kuuona soko la Ulaya, America au Canada..?....Hizi ni smartphone maalumu kwa kundi masikini la Africa.
Kabka hujaandika, angalia kwanza unaishi pande zipi za dunia...NP 300 unazoziona huku, haziuzwi soko la Ulaya wala America....
Wengi hatuzikwepi...inaibiwa saa mbili, saa nne unanunua nyingine..Naomba MUNGU nisitumie hizo simu aisee na sidhani Kama nitakuja kutumia
Itakuwa chapati kuanzia mbele Hadi nyumaSipati picha hii gari ikipata ajali ikiwa Kwenye speed 120....
AJali inatisha aisee
Nimetumia gari kama hiyo kwa miaka minne. Its a very very gud car. 4get about to crash. U dont buy a car to crash it...
Hakuna gari iliyosalama endapo hautakua muangalifu...
Umeongea Ukweli mkubwa....tena hata hiyo np300 wayayomudu kuinunua ni wa kuhesabuMtoa hoja umetoa hoja bila kuchimbua kwa undani...
Hiyo Nissan Hardboard NP 300 nyeupe ni Toleo maalumu kwa nchi masikini za Africa..
hiyo nyeusi ni toleo la ulaya...
Umasikini wetu wa kiafrika na kupenda vya kunyonga ndiyo unaofanya tuletewe vitu vyenye ubora wa chini..
Kampuni ya Nissan hapo hawana kosa, kosa ni umasikini wenu...
Hao Nissan nao ni wafanga biashara, wakisema watutengenezee kwa standard za Europe, waafrica mtakimbia.....
Ni sawa na Tecno,Itel au Infinix....huu uchafu umewahi kuuona soko la Ulaya, America au Canada..?....Hizi ni smartphone maalumu kwa kundi masikini la Africa.
Kabka hujaandika, angalia kwanza unaishi pande zipi za dunia...NP 300 unazoziona huku, haziuzwi soko la Ulaya wala America....
Jana nimeona mtu kasagwa nje kidogo ya Dodoma ukielekea Singida dah. Yaani yule jamaa katambulika kwa wenyeji waliomuona akivuka but zimebaki chips tu pale.Sipati picha hii gari ikipata ajali ikiwa Kwenye speed 120....
AJali inatisha aisee
Hicho kipande hakuna Dereva anaendesha chini ya speed 100...Jana nimeona mtu kasagwa nje kidogo ya Dodoma ukielekea Singida dah. Yaani yule jamaa katambulika kwa wenyeji waliomuona akivuka but zimebaki chips tu pale.
Sio kila ajali unakufa unaweza ukateguka mpaka nywele au ukawa vegetable..., Kufa haufi ila chamoto unakiona...Kufa kufa tu na ni lazima sio ombi
Kagongwa na gari au kafanya nini..Jana nimeona mtu kasagwa nje kidogo ya Dodoma ukielekea Singida dah. Yaani yule jamaa katambulika kwa wenyeji waliomuona akivuka but zimebaki chips tu pale.