Mtoa hoja umetoa hoja bila kuchimbua kwa undani...
Hiyo Nissan Hardboard NP 300 nyeupe ni Toleo maalumu kwa nchi masikini za Africa..
hiyo nyeusi ni toleo la ulaya...
Umasikini wetu wa kiafrika na kupenda vya kunyonga ndiyo unaofanya tuletewe vitu vyenye ubora wa chini..
Kampuni ya Nissan hapo hawana kosa, kosa ni umasikini wenu...
Hao Nissan nao ni wafanga biashara, wakisema watutengenezee kwa standard za Europe, waafrica mtakimbia.....
Ni sawa na Tecno,Itel au Infinix....huu uchafu umewahi kuuona soko la Ulaya, America au Canada..?....Hizi ni smartphone maalumu kwa kundi masikini la Africa.
Kabka hujaandika, angalia kwanza unaishi pande zipi za dunia...NP 300 unazoziona huku, haziuzwi soko la Ulaya wala America....