Nissan hardbody: Jeneza linalotembea.

Nissan hardbody: Jeneza linalotembea.

Suala la usalama ni muhimu hasa ukizingatia kwamba mtumiaji wa barabara si wewe peke yako. Hivyo hata kama utajitahidi kuendesha gari vizuri kwa tahadhari bado unaweza ukapitiwa na mtumiaji mwingine wa barabara na yakawa majanga kama kawaida.

Bado gari lenye score ya 5 linakuwa na uwezo mkubwa wa kulinda Occupants kuliko gari lenye Score ya 0.

Hizo gari hazifanani kwenye usalama.
Ime score 0 haina tofauti na Tata nano ambayo ni world cheapest car
Screenshot_20210622-160619.jpg
 
Hizo ni gari za kazi, hata polisi wenyewe wanazipenda
Wenzetu Kenya sheria inawabana kuagiza gari lenye umri zaidi ya miaka 8
Lakini Polisi ni idara ya serikali, serikali ina utaratibu wa kuagiza magari mapya, sasa inakuwaje hapo?
 
Gari zote ni majeneza yanayotembea mkuu! hata ukiwa na benz ukipata ukonzi wa haja lazima ukate ringi.
Kuna askari wa traffic alinisimamisha kipindi cha nyuma na akaniambia " unajua hili ni jeneza" nikamwambia "hapana askari hii ni gari na sio jeneza", na nikamwambia nayafuta maneno yako kwa damu ya Yesu.

Unachokikiri huwa kinakuwa kweli.
 
My dream car! Nikilipata hili tu sitanunua Gari lolote in life! Help me God!
 
Mtoa hoja umetoa hoja bila kuchimbua kwa undani...

Hiyo Nissan Hardboard NP 300 nyeupe ni Toleo maalumu kwa nchi masikini za Africa..

hiyo nyeusi ni toleo la ulaya...

Umasikini wetu wa kiafrika na kupenda vya kunyonga ndiyo unaofanya tuletewe vitu vyenye ubora wa chini..

Kampuni ya Nissan hapo hawana kosa, kosa ni umasikini wenu...

Hao Nissan nao ni wafanga biashara, wakisema watutengenezee kwa standard za Europe, waafrica mtakimbia.....

Ni sawa na Tecno,Itel au Infinix....huu uchafu umewahi kuuona soko la Ulaya, America au Canada..?....Hizi ni smartphone maalumu kwa kundi masikini la Africa.

Kabka hujaandika, angalia kwanza unaishi pande zipi za dunia...NP 300 unazoziona huku, haziuzwi soko la Ulaya wala America....
Naomba MUNGU nisitumie hizo simu aisee na sidhani Kama nitakuja kutumia
 
Mtoa hoja umetoa hoja bila kuchimbua kwa undani...

Hiyo Nissan Hardboard NP 300 nyeupe ni Toleo maalumu kwa nchi masikini za Africa..

hiyo nyeusi ni toleo la ulaya...

Umasikini wetu wa kiafrika na kupenda vya kunyonga ndiyo unaofanya tuletewe vitu vyenye ubora wa chini..

Kampuni ya Nissan hapo hawana kosa, kosa ni umasikini wenu...

Hao Nissan nao ni wafanga biashara, wakisema watutengenezee kwa standard za Europe, waafrica mtakimbia.....

Ni sawa na Tecno,Itel au Infinix....huu uchafu umewahi kuuona soko la Ulaya, America au Canada..?....Hizi ni smartphone maalumu kwa kundi masikini la Africa.

Kabka hujaandika, angalia kwanza unaishi pande zipi za dunia...NP 300 unazoziona huku, haziuzwi soko la Ulaya wala America....
Umeongea Ukweli mkubwa....tena hata hiyo np300 wayayomudu kuinunua ni wa kuhesabu
 
Jana nimeona mtu kasagwa nje kidogo ya Dodoma ukielekea Singida dah. Yaani yule jamaa katambulika kwa wenyeji waliomuona akivuka but zimebaki chips tu pale.
Hicho kipande hakuna Dereva anaendesha chini ya speed 100...
Madereva wanajiachia vibaya mno alafu vibao vya speed 50 viko mbali
 
Jana nimeona mtu kasagwa nje kidogo ya Dodoma ukielekea Singida dah. Yaani yule jamaa katambulika kwa wenyeji waliomuona akivuka but zimebaki chips tu pale.
Kagongwa na gari au kafanya nini..
 

Majeneza haya, hili ni South Africa model for Africa by Ford
 
Back
Top Bottom