Kenned elisante
Member
- May 23, 2018
- 70
- 19
Mmh hapana utapata L/C iliyochoka nduguBei kubwa sana. Kwa bei hiyo unaweza kupata hata Landcruiser,!
Daaa mkuu wewe upo nchi gani?Bei kubwa sana. Kwa bei hiyo unaweza kupata hata Landcruiser,!
Subiri umalize shule ndo utajua bei halisi za magari. Hapa unajiaibisha bila sababuBei kubwa sana. Kwa bei hiyo unaweza kupata hata Landcruiser,!
Hajui bei za gari huyu anakurupuka tuDaaa mkuu wewe upo nchi gani?
Tuanzie hapo.
Bei kubwa sana. Kwa bei hiyo unaweza kupata hata Landcruiser,!
futa haraka hii pumba hapaBei kubwa sana. Kwa bei hiyo unaweza kupata hata Landcruiser,!
Nifute hiyo pumba uliyoandika?futa haraka hii pumba hapa
Nifute hiyo pumba uliyoandika?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli wewe malyenge [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukianza kuona vzr utavielewa vituBei kubwa sana. Kwa bei hiyo unaweza kupata hata Landcruiser,!
Bro are u serious?!Bei kubwa sana. Kwa bei hiyo unaweza kupata hata Landcruiser,!
Very serious! Milioni 15 ni hela nyingi sana. Unapata gari nzuri na kubwa kuliko hako.Bro are u serious?!
Unaweza kupata gari kubwa na zuri lakini sio Toyota Land Cruiser hata kama ni toleo la miaka zaidi ya 15 iliyopitaVery serious! Milioni 15 ni hela nyingi sana. Unapata gari nzuri na kubwa kuliko hako.
Hata hiyo Nissan Murano ni ya mwaka 2004. Ina miaka 14! Sasa gari ya miaka 14 iliyopita ndio inauzwa milioni 15? This is not true......Unaweza kupata gari kubwa na zuri lakini sio Toyota Land Cruiser hata kama ni toleo la miaka zaidi ya 15 iliyopita
Huyu malyenge akiona ki PAJERO MINI anadhan land cruiser mumusmehe tuUnaweza kupata gari kubwa na zuri lakini sio Toyota Land Cruiser hata kama ni toleo la miaka zaidi ya 15 iliyopita
Kwa Nissan Murano hiyo bei ni nzuri tu lakini sio kwa Land Cruiser kama ulivyosema. Embu ipe heshima yake mkuuHata hiyo Nissan Murano ni ya mwaka 2004. Ina miaka 14! Sasa gari ya miaka 14 iliyopita ndio inauzwa milioni 15? This is not true......
Hapana. Milioni 15 ni bei ya kununua Landcruiser kabisa. Hilo halija ubishi....Kwa Nissan Murano hiyo bei ni nzuri tu lakini sio kwa Land Cruiser kama ulivyosema. Embu ipe heshima yake mkuu