Car4Sale Nissan Patrol Bei Poa

Zainab Tamim

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2015
Posts
1,293
Reaction score
583
Nissan patrol, Manual Gear, Diesel, TD - F intercooler, engine RD 28 Model. Year 1999

Leather seats, very good condition.

Bei 23M Only.

Very Good Condition. Haijatumika Tanzania.

Call Mzee Abdul 0756803528.

Must Go. Bei Poa Kabisa.

 
Roho ya ubinafsi inawasumbua sana CCM,
Hapo hujaridhika, ulitaka hadi ukaribishwe pre- advertising dinner & dance!

Msiishi kwa mazoea Tanzania inakwenda kubadilikia Oct!

CCM inakukera kweli, mpaka huku jukwaa la matangazo umeshindwa kujizuwia? Amma kweli CCM si mchezo.

Njoo jukwaa la siasa wawache watu wafanye biashara zao huku, au kama una pesa nunuwa hilo shangingi likakusaidie kwenye kampeni, la huna limezee mate tu kimya kimya.

Punguani wahed.
 
Roho ya ubinafsi inawasumbua sana CCM,
Hapo hujaridhika, ulitaka hadi ukaribishwe pre- advertising dinner & dance!

Msiishi kwa mazoea Tanzania inakwenda kubadilikia Oct!

Hahaha umeona eeeh huyo bibi ana nongwa kama nini. Na nyinyi mpaka huku munamfata, jamani mtampa ugonjwa wa moyo huyu bibi wa watu.

FaizaFoxy
 

We bibi, mpaka huku wanakufata.
 
Haya bibi wewe, mbona hujanieleza kama una gari unauza?

Au umeona sifai kununuwa hilo shangingi?


Mnfssssss Hela ya ugoro inakushinda utanunua gari weye??

Acha kujitutumua fukara tu wewe....
 
Jamani nilisahau ina leather seats, safi kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…