Zainab Tamim
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 1,293
- 583
- Thread starter
- #21
Hahaaa haya Zai nimekuelewa...
Asante kaka kwa kunielewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaa haya Zai nimekuelewa...
Cc ni 4200 itakuwa,safari ipo sema dah,salio halitoshi!
Kitoto kidogo kwangu hicho chenye sura ya mbwa.
Labda kwako ndiyo ulikuwa utumboni kwa mamako.
Nimeuliza maana ya cc, hapana si 4200.
Nimeambiwa ni 3,000 regulated. Sijui maana yake nini.
Kitoto kidogo kwangu hicho chenye sura ya mbwa.
Labda kwako ndiyo ulikuwa utumboni kwa mamako.
Wewe nawe wacha kuwashobokea hao mapunguani wenzako.
CCM inakukera kweli, mpaka huku jukwaa la matangazo umeshindwa kujizuwia? Amma kweli CCM si mchezo.
Njoo jukwaa la siasa wawache watu wafanye biashara zao huku, au kama una pesa nunuwa hilo shangingi likakusaidie kwenye kampeni, la huna limezee mate tu kimya kimya.
Punguani wahed.
Duh! Mbona huwa mnaheshimiana sana na Zainab Tamim !!!
Nissan patrol, Manual Gear, Diesel, TD - F intercooler, engine RD 28 Model. Year 1999
Leather seats, very good condition.
Bei 23M Only.
Very Good Condition. Haijatumika Tanzania.
Call Mzee Abdul 0756803528.
Must Go. Bei Poa Kabisa.
View attachment 269660View attachment 269661View attachment 269662View attachment 269663View attachment 269664View attachment 269707View attachment 269708View attachment 269709View attachment 269710
Kama vp tuvunje na brevis rangi ya maroon namba dcj
Kuvunja ndio nini? jamani taratibu hizi lugha maana mimi ki kawaida si muuzaji wa magari. Naomba nifafanulie tafadhali.
Nissan patrol, Manual Gear, Diesel, TD - F intercooler, engine RD 28 Model. Year 1999
Leather seats, very good condition.
Bei 23M Only.
Very Good Condition. Haijatumika Tanzania.
Call Mzee Abdul 0756803528.
Duh! Mbona huwa mnaheshimiana sana na Zainab Tamim !!!
Achaga urongo!! kwani hapo ilipo imeshushwa kwa ndege? tena kuna mdau kasema ni Buguruni kabisa!
Kwa hiyo ikiwa Buguruni imepigwa picha ime park ndiyo imetumika Tanzania?
For your information, nimeuliza waliipiga wapi, hapo si Buguruni.
Hajashushwa na ndege, imekuja kwa meli na kama kuitoa bandarini na kuifikisha destination yake wewe ndio unachukulia kuwa imetumika basi umeshinda. Mimi nilimaanisha vingine kabisa kwa kusema haijatumika Tanzania naona wapo waliponielewa.
Pole sana kama niliku mislead na nisamehe sana kama unahisi nimesema uongo si kawaida yangu.
Roho ya ubinafsi inawasumbua sana CCM,
Hapo hujaridhika, ulitaka hadi ukaribishwe pre- advertising dinner & dance!
Msiishi kwa mazoea Tanzania inakwenda kubadilikia Oct!