Car4Sale Nissan Patrol Bei Poa

Car4Sale Nissan Patrol Bei Poa

CCM inakukera kweli, mpaka huku jukwaa la matangazo umeshindwa kujizuwia? Amma kweli CCM si mchezo.

Njoo jukwaa la siasa wawache watu wafanye biashara zao huku, au kama una pesa nunuwa hilo shangingi likakusaidie kwenye kampeni, la huna limezee mate tu kimya kimya.

Punguani wahed.

Daaaaaaaaaah...
Ilikuwa na ulazima kweli hiyo?
 
Nissan patrol, Manual Gear, Diesel, TD - F intercooler, engine RD 28 Model. Year 1999

Leather seats, very good condition.

Bei 23M Only.

Very Good Condition. Haijatumika Tanzania.

Call Mzee Abdul 0756803528.

Must Go. Bei Poa Kabisa.

View attachment 269660View attachment 269661View attachment 269662View attachment 269663View attachment 269664View attachment 269707View attachment 269708View attachment 269709View attachment 269710

Kama vp tuvunje na brevis rangi ya maroon namba dcj
 
Kama vp tuvunje na brevis rangi ya maroon namba dcj

Kuvunja ndio nini? jamani taratibu hizi lugha maana mimi ki kawaida si muuzaji wa magari. Naomba nifafanulie tafadhali.
 
Nissan patrol, Manual Gear, Diesel, TD - F intercooler, engine RD 28 Model. Year 1999

Leather seats, very good condition.

Bei 23M Only.

Very Good Condition. Haijatumika Tanzania.

Call Mzee Abdul 0756803528.

Achaga urongo!! kwani hapo ilipo imeshushwa kwa ndege? tena kuna mdau kasema ni Buguruni kabisa!
 
Duh! Mbona huwa mnaheshimiana sana na Zainab Tamim !!!

Usijali. Huyo Bi Zainab, mimi na yeye ni dam dam.

She is an amazing woman ana amazing product, umeiona? She is a very hard working woman, she has all my respect and I love he so much.

Bi Zainab ni mfano wa kuigwa kwa akina mama, kwa age yake na jinsi anavyojituma, she is simply amazing.
 
Achaga urongo!! kwani hapo ilipo imeshushwa kwa ndege? tena kuna mdau kasema ni Buguruni kabisa!

Kwa hiyo ikiwa Buguruni imepigwa picha ime park ndiyo imetumika Tanzania?

For your information, nimeuliza waliipiga wapi, hapo si Buguruni.

Hajashushwa na ndege, imekuja kwa meli na kama kuitoa bandarini na kuifikisha destination yake wewe ndio unachukulia kuwa imetumika basi umeshinda. Mimi nilimaanisha vingine kabisa kwa kusema haijatumika Tanzania naona wapo waliponielewa.

Pole sana kama niliku mislead na nisamehe sana kama unahisi nimesema uongo si kawaida yangu.
 
Kwa hiyo ikiwa Buguruni imepigwa picha ime park ndiyo imetumika Tanzania?

For your information, nimeuliza waliipiga wapi, hapo si Buguruni.

Hajashushwa na ndege, imekuja kwa meli na kama kuitoa bandarini na kuifikisha destination yake wewe ndio unachukulia kuwa imetumika basi umeshinda. Mimi nilimaanisha vingine kabisa kwa kusema haijatumika Tanzania naona wapo waliponielewa.

Pole sana kama niliku mislead na nisamehe sana kama unahisi nimesema uongo si kawaida yangu.

Nimekupenda bure kwa jinsi ulivyojibu kiustaarabu, sema natumia simu ila ningekugongea like!! Hongera kwa busara! nilitaka upanic kidogo kama bibi F*
 
Back
Top Bottom