Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Zipo chache ukilinganisha na L/Cruiser V8.Gari hio inavuta attention ya watu balaa hadi kero.
Ahaa, liko njema sana hata ile luxury version yake INFINIX alivimbaga nayo RC kwenye msiba wa hayati mzee mengi. Mashine yamoto sana.Hizi mashine zote zinatoka na injini ya Petrol hakuna zenye injini ya Diesel.
Hizi zipo chache ukilinganisha na Land Cruiser series 200 V8, mjini bado yanaoneka kwa wachache.
Ila mbona kuna mwanangu anatokaga Morogoro - Moshi in exact 6 hours. Kutoka ni saa 9 usiku huwa ananyooka na Brevis yake ila juzi alichomoka na 2008 Crown zile mayai zinazoitwa new model jiko ni 3GR!Utani huu, masaa 3 labda chopa ila sio gari kwa barabara hizi.
Unaweza vip kukimbia 180 kwa matuta yote hayo njian na vizuizi vya trafik?
Hizo gari zina chemsha sans
Mzee anayo dough,nimemuona jana rafiki yake Rostam ametoa bil 1 kuchangia Corona.Mzee Lowasa 2015 kwenye kampeni za uraisi alitumia hizi Nissan kama 10 zilikuwa zinamfata anakoenda.
Niliziona zinavyopita njia ya Sumbawanga kwenda Mpanda ile njia kabla haijawekwa lami, zina balaa tulipaki pembeni kuangalia zikipita kibabe.
Licha ya kupiga kazi nzito kipindi like kuna moja naiona anatumia mtoto wake na ikipita lazima watu mgeuke kuangalia mashine.
Kuna Toleo lake la infinit kama ile Bashite alikiwa anaringa nayo kwenye msafara wa msiba wa Mzee Mengi....Mzee Lowasa 2015 kwenye kampeni za uraisi alitumia hizi Nissan kama 10 zilikuwa zinamfata anakoenda.
Niliziona zinavyopita njia ya Sumbawanga kwenda Mpanda ile njia kabla haijawekwa lami, zina balaa tulipaki pembeni kuangalia zikipita kibabe.
Licha ya kupiga kazi nzito kipindi like kuna moja naiona anatumia mtoto wake na ikipita lazima watu mgeuke kuangalia mashine.
Yah..kelele kibao..SEMA IPO juu so unaingia madimbwi bila wasiHamna mwendo humo kelele nyingiii
Sasa hapo haya Suzuki Camry au Jimmy inatoboa..
Gari yeyote ikiwa nzima haiwez kukulaza..ikiwa kimeo ata hiyo nissan lazima ulaleNissan ni gari. Haiwezi kukulaza njiani
Sababu kubwa Ni ubovu na ufinyu wa barabara..Sauzi na maeneo mengine hayo Mambo ya ajali za ajabu ajabu Ni machache coz barabara ni Pana na Ni one way direction. Nakuna sehem wanakuandikia kabisa speed limit Ni 120kphYou are right..
Lakini imagine unasikia msela mwenye miaka 28 mfano alikuwa anaendesha passo 160 kph akaparamia uvungu wa fusso....
Hicho kifo ni cha kizembe..
Ahadi ya Mungu ni miaka 70 mapak 80
Takwimu za haraka haraka zinaonyesha kila private car 10 zinazopata ajali, 9 zinaendeshwa na vijana na kisababishi ni mwendokasi..
Anyway tumetoka nje ya mada lakini tunapeana tu ushauri.
Below 100 kph labda hunu mjini ambapo wakati mwingine hiyo 100huwa inafika..sasa uende Mwanza na speed below 100 si utatumia week.Nice challenge..
Lakini mwisho wa siku vijana tukumbushane mwendo kasi ni sababu moja wapo ya sababu kuu zinazotupeleka kaburini mapema..
they say, if you drive below 100 kph, you are more likely to survive on car accident than driving above 100 kph..
Turudi kwenye mada sasa..
Binafsi nissan patrol nazipenda sana[emoji16][emoji16] regardless speed
Huyo jamaa kweli ametoboa but amekua overated Sana..Kuna vijana wapo vizuri Sana kwa ufundi SEMA hawajulikani..Ukitaka mambo ya Subaru kuna wazee wamebobea kwenye masubaru
Kna garage moja Inaitwa 0260
Ova
ILa kuna tofauti kubwa mfano reliability ya Nissan patrol y60 ama Land Cruiser huwezi kulinganisha na SUV za muingereza mf. Ranger Rover ama Discovery.Gari yeyote ikiwa nzima haiwez kukulaza..ikiwa kimeo ata hiyo nissan lazima ulale
Ni kweli lakini ukishawaza familia, watoto gawajakua, basi hata speed 60 unaweza ukaiona ni kubwa sana..Below 100 kph labda hunu mjini ambapo wakati mwingine hiyo 100huwa inafika..sasa uende Mwanza na speed below 100 si utatumia week.
Kweli kabisaILa kuna tofauti kubwa mfano reliability ya Nissan patrol y60 ama Land Cruiser huwezi kulinganisha na SUV za muingereza mf. Ranger Rover ama Discovery.
Kuna gari unatoka nayo nzima kabisa ila ukiipiga mzigo kidogo tu inakulaza njiani
usigune mzee ndo jamii forum humu,hata ukianzisha thread umelala njaa siku 3 atakuja mwengine atajinad yeye amelala njaa week nzima mwisho wa siku unakuwa mpoleMmmhh
Dar - Moshi ulitumia lita ngapi?Auto petrol I guess ni cc5600 hivi. Mwendo ni balaa several occasions I was hitting 200kph bila kujua. Lina kiu balaa,full tank kama 350,000/- hivi.
Full loaded,gadget kama zote
Lita sikumbuki coz tuliongeza Korogwe up to full then mpaka Moshi bado ilikuwa kama nusu tank hivi. Na hivi tuliamua kukamua tu wala tulikuwa hatuangalii gauge!