sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,988
- 4,152
Kwa hiyo jamaa anataka udalali ili atupige au, we jamaa nawe wa kutilia shaka bila ushahidi ....sasa ivi gari za Nissan extrail zimeshuka sana bei, kuagiza mpaka mkononi ni chini ya mil.12 tena hadi za mwaka 2005, hyo yako ya 2003 naweza kukuletea mpaka mlangoni kutoka japan kwa mil.11 tu sasa iweje ww uuze mil.14.5??? sheer ignorance??