Nissan xtrail 2500cc inakula sana mafuta

Nissan xtrail 2500cc inakula sana mafuta

Joined
Sep 3, 2011
Posts
48
Reaction score
17
Habari wadau,

Nimenunua nissan xtrail cc 2500 kwa mtu, ni modeli ya uingereza imetembea kilometa 136,000

Nilivonunua tu nilijaza full tank, cha ajabu nimetembea kilometer 200 taa ya mafuta ikawaka. Nikaenda kujaza tena full tank, ilichukua lita 51 kujaza full tank kwa mara ya pili.

Hivo km 200/51 ni sawa na kilometa 4 kwa lita moja.

Hii gari inatembea Kilometer 4 kwa lita moja.

Nimebadilisha catalytic converter, nimebadilisha spark plugs, nimebadilisha air cleaner, nimemwaga oil na nimebadilisha air filter na pia najitahidi kujaza upepo kwenye matairi kila unapopungua.

Lakini bado tu fuel consumption iko vile vile. Kwa wenye utaalamu hebu nipeni ushauri niangalie kitu gani tena ? au kama kuna fundi mzuri unamjua hebu nipe mawasiliano yake.
 
Habari wadau,

Nimenunua nissan xtrail cc 2500 kwa mtu, ni modeli ya uingereza imetembea kilometa 136,000

Nilivonunua tu nilijaza full tank, cha ajabu nimetembea kilometer 200 taa ya cheki engine ikawaka. Nikaenda kujaza tena full tank, ilichukua lita 51 kujaza full tank kwa mara ya pili.

Hivo km 200/51 ni sawa na kilometa 4 kwa lita moja.

Hii gari inatembea Kilometer 4 kwa lita moja.

Nimebadilisha catalytic converter, nimebadilisha spark plugs, nimebadilisha air cleaner, nimemwaga oil na nimebadilisha air filter na pia najitahidi kujaza upepo kwenye matairi kila unapopungua.

Lakini bado tu fuel consumption iko vile vile. Kwa wenye utaalamu hebu nipeni ushauri niangalie kitu gani tena ? au kama kuna fundi mzuri unamjua hebu nipe mawasiliano yake.
Duh mkuu pole sana kuna wataalamu hapa akina lege, rrondo, styvvo, olesadimu, chacha kisiri, ushirombo, mshana nk. Mbele ya hivi vichwa na vingine amini utapata msaada!! na wasipotokea hapa hebu watafutw pm mkuu.
 
Habari wadau,

Nimenunua nissan xtrail cc 2500 kwa mtu, ni modeli ya uingereza imetembea kilometa 136,000

Nilivonunua tu nilijaza full tank, cha ajabu nimetembea kilometer 200 taa ya cheki engine ikawaka. Nikaenda kujaza tena full tank, ilichukua lita 51 kujaza full tank kwa mara ya pili.

Hivo km 200/51 ni sawa na kilometa 4 kwa lita moja.

Hii gari inatembea Kilometer 4 kwa lita moja.

Nimebadilisha catalytic converter, nimebadilisha spark plugs, nimebadilisha air cleaner, nimemwaga oil na nimebadilisha air filter na pia najitahidi kujaza upepo kwenye matairi kila unapopungua.

Lakini bado tu fuel consumption iko vile vile. Kwa wenye utaalamu hebu nipeni ushauri niangalie kitu gani tena ? au kama kuna fundi mzuri unamjua hebu nipe mawasiliano yake.

ila mkuu hio gari imetembea sana

huenda hilo tatizo lilikuwepo before ndo mana mwenye hilo gari akaamua kuuza
 
Hivi mpaka leo bado kuna watu wananunua third hand cars!! Mara nyingi ukiona m bongo anauza gari ujue either ana shida kubwa ya ghafla au ina tatizo na hatokuambia. Ni vyema ukaenda na fundi wa kuikagua vyema gari na ukapiga round kadhaa kabla hujalipia.
Back to the question, huo ulaji wa mafuta nadhani ni city drive. Jaribu kupiga nayo ruti ndefu uone. Gari zenye cc kubwa ukiendesha sehemu zenye msongamano hutumia mafuta mengi sana. Lakini kwa kwa ulaji huo uliosema, nadhani gari yako itakuwa na tatizo la oxygen sensor.
 
Cc900 sio gari ni usafiri
Gari ya diesel hata cczaidi ya 3000 kama nissan patrol inakula lita 1/10km

Hahaaa. Sio gari sio?

Yeye analilia wese so hizo zenye cc hiyo zinamfaa.

Kama ndo gari yke ya kwanza afu kaanza na 2500 cc lazima apige yowe. Si unaona check engine ameenda kuongeza mafuta.
 
Hahaaa. Sio gari sio?

Yeye analilia wese so hizo zenye cc hiyo zinamfaa.

Kama ndo gari yke ya kwanza afu kaanza na 2500 cc lazima apige yowe. Si unaona check engine ameenda kuongeza mafuta.
Check engine hahaha, anaanza mapenzi na gari, halafu mpenzi mwenyewe ni nissan extrail
 
Habari wadau,

Nimenunua nissan xtrail cc 2500 kwa mtu, ni modeli ya uingereza imetembea kilometa 136,000

Nilivonunua tu nilijaza full tank, cha ajabu nimetembea kilometer 200 taa ya cheki engine ikawaka. Nikaenda kujaza tena full tank, ilichukua lita 51 kujaza full tank kwa mara ya pili.

Hivo km 200/51 ni sawa na kilometa 4 kwa lita moja.

Hii gari inatembea Kilometer 4 kwa lita moja.

Nimebadilisha catalytic converter, nimebadilisha spark plugs, nimebadilisha air cleaner, nimemwaga oil na nimebadilisha air filter na pia najitahidi kujaza upepo kwenye matairi kila unapopungua.

Lakini bado tu fuel consumption iko vile vile. Kwa wenye utaalamu hebu nipeni ushauri niangalie kitu gani tena ? au kama kuna fundi mzuri unamjua hebu nipe mawasiliano yake.
Hiyo gari yako ipeleke kwenye maombi, Ina jini la chuma ulete
 
What did you expect 2500 cc 6 Cylinder?🙄🙄🙄

Tafuta 4 cylinder yako cc 900 mpaka 1200 fresh.

Afu hapo pa taa ya check engine, kwanini uliamua kuongeza wese na hiyo taa haihusu wese?
Siku hizi taa ya check engine ikiwaka tunaongeza mafuta.
Sijui check engine light ikiwaka gari ikiwa full tank tufanyeje?
 
What did you expect 2500 cc 6 Cylinder?🙄🙄🙄

Tafuta 4 cylinder yako cc 900 mpaka 1200 fresh.

Afu hapo pa taa ya check engine, kwanini uliamua kuongeza wese na hiyo taa haihusu wese?
hii gari ni QR25 four cylinder. Sio six cylinder. Manufacturer catalogue inasema gari inakunywa 11.9km/L ila hii sababu imeshatumika sanaa ilibidi iwe angalau 9km/L.
 
Back
Top Bottom