ElectronicSalim
Member
- Sep 3, 2011
- 48
- 17
Habari wadau,
Nimenunua nissan xtrail cc 2500 kwa mtu, ni modeli ya uingereza imetembea kilometa 136,000
Nilivonunua tu nilijaza full tank, cha ajabu nimetembea kilometer 200 taa ya mafuta ikawaka. Nikaenda kujaza tena full tank, ilichukua lita 51 kujaza full tank kwa mara ya pili.
Hivo km 200/51 ni sawa na kilometa 4 kwa lita moja.
Hii gari inatembea Kilometer 4 kwa lita moja.
Nimebadilisha catalytic converter, nimebadilisha spark plugs, nimebadilisha air cleaner, nimemwaga oil na nimebadilisha air filter na pia najitahidi kujaza upepo kwenye matairi kila unapopungua.
Lakini bado tu fuel consumption iko vile vile. Kwa wenye utaalamu hebu nipeni ushauri niangalie kitu gani tena ? au kama kuna fundi mzuri unamjua hebu nipe mawasiliano yake.
Nimenunua nissan xtrail cc 2500 kwa mtu, ni modeli ya uingereza imetembea kilometa 136,000
Nilivonunua tu nilijaza full tank, cha ajabu nimetembea kilometer 200 taa ya mafuta ikawaka. Nikaenda kujaza tena full tank, ilichukua lita 51 kujaza full tank kwa mara ya pili.
Hivo km 200/51 ni sawa na kilometa 4 kwa lita moja.
Hii gari inatembea Kilometer 4 kwa lita moja.
Nimebadilisha catalytic converter, nimebadilisha spark plugs, nimebadilisha air cleaner, nimemwaga oil na nimebadilisha air filter na pia najitahidi kujaza upepo kwenye matairi kila unapopungua.
Lakini bado tu fuel consumption iko vile vile. Kwa wenye utaalamu hebu nipeni ushauri niangalie kitu gani tena ? au kama kuna fundi mzuri unamjua hebu nipe mawasiliano yake.