ElectronicSalim
Member
- Sep 3, 2011
- 48
- 17
- Thread starter
-
- #21
Ni kweli, nina OBD2, nimescan bila kupata fault code za oxygen sensor. ikibidi nitabadilisha oxygen sensor.Hivi mpaka leo bado kuna watu wananunua third hand cars!! Mara nyingi ukiona m bongo anauza gari ujue either ana shida kubwa ya ghafla au ina tatizo na hatokuambia. Ni vyema ukaenda na fundi wa kuikagua vyema gari na ukapiga round kadhaa kabla hujalipia.
Back to the question, huo ulaji wa mafuta nadhani ni city drive. Jaribu kupiga nayo ruti ndefu uone. Gari zenye cc kubwa ukiendesha sehemu zenye msongamano hutumia mafuta mengi sana. Lakini kwa kwa ulaji huo uliosema, nadhani gari yako itakuwa na tatizo la oxygen sensor.
Yako utumiaji wake wa mafuta upoje ? Na injini yake ni cc2000 au cc2500 ?Ninayo registered BJH yaani sipati nalo shida kabisa
Cc 1980 ni kama 12 km/ltYako utumiaji wake wa mafuta upoje ? Na injini yake ni cc2000 au cc2500 ?
Kuna kitu kimoja umesahau kubadilisha. Badilisha engine. Weka ya 2000cc. 2500cc is already such a hughe engine...Nimebadilisha catalytic converter, nimebadilisha spark plugs, nimebadilisha air cleaner, nimemwaga oil na nimebadilisha air filter na pia najitahidi kujaza upepo kwenye matairi kila unapopungua.
Heeeeeeeee.hii gari ni QR25 four cylinder. Sio six cylinder. Manufacturer catalogue inasema gari inakunywa 11.9km/L ila hii sababu imeshatumika sanaa ilibidi iwe angalau 9km/L.
Tumpumzishe jamani, tumemchokoza sanaSiku hizi taa ya check engine ikiwaka tunaongeza mafuta.
Sijui check engine light ikiwaka gari ikiwa full tank tufanyeje?
Check engine hahaha, anaanza mapenzi na gari, halafu mpenzi mwenyewe ni nissan extrail
KabsaaMpenzi jini kwa staili hii lazima uwe muflissss
Bujibuji hebu funguka in detail hapa utusaidie wengi binafsi nataka nikanunue ka xtrail ila baada ya kuulizia kwa watu naambiwa eti ina engine ambazo ni sensitive sana kwa mazingira ya joto hivyo kibongobongo x trail huwa zinatabia ya kuchemsha😳Ni gari nzuri sana, hazina shida kabisa
Scania gani unayozungumzia? Au umejiskia tu kutaja hilo jina..Inaizidi scania ulaji mafuta
Scania gani unayozungumzia? Au umejiskia tu kutaja hilo jina..
2500cc petrol unachuana na Land cruiser.ila mkuu hio gari imetembea sana
huenda hilo tatizo lilikuwepo before ndo mana mwenye hilo gari akaamua kuuza
Tumekupuuza ndo maana daily tunazidi kuziona barabaranMkiambiwa xtrail ni cancer mnabishanaga, hizo gari zina mechanical issues sana na ni expensive kuzi maintain.You must be very lucky kupata ambayo haisumbui
Wenye akili katu hatukumpuuza ndo maana tuna bang na mbabe fortuner.Tumekupuuza ndo maana daily tunazidi kuziona barabaran
sawa GinimbiTumekupuuza ndo maana daily tunazidi kuziona barabaran
Check timingHabari wadau,
Nimenunua nissan xtrail cc 2500 kwa mtu, ni modeli ya uingereza imetembea kilometa 136,000
Nilivonunua tu nilijaza full tank, cha ajabu nimetembea kilometer 200 taa ya mafuta ikawaka. Nikaenda kujaza tena full tank, ilichukua lita 51 kujaza full tank kwa mara ya pili.
Hivo km 200/51 ni sawa na kilometa 4 kwa lita moja.
Hii gari inatembea Kilometer 4 kwa lita moja.
Nimebadilisha catalytic converter, nimebadilisha spark plugs, nimebadilisha air cleaner, nimemwaga oil na nimebadilisha air filter na pia najitahidi kujaza upepo kwenye matairi kila unapopungua.
Lakini bado tu fuel consumption iko vile vile. Kwa wenye utaalamu hebu nipeni ushauri niangalie kitu gani tena ? au kama kuna fundi mzuri unamjua hebu nipe mawasiliano yake.