Nissan xtrail 2500cc inakula sana mafuta

Ni kweli, nina OBD2, nimescan bila kupata fault code za oxygen sensor. ikibidi nitabadilisha oxygen sensor.
 
Nimebadilisha catalytic converter, nimebadilisha spark plugs, nimebadilisha air cleaner, nimemwaga oil na nimebadilisha air filter na pia najitahidi kujaza upepo kwenye matairi kila unapopungua.
Kuna kitu kimoja umesahau kubadilisha. Badilisha engine. Weka ya 2000cc. 2500cc is already such a hughe engine...
Nenda Kkoo wakuuzie skeleton. Ile block ikiwa complete. Ng'oa vifaa vingine kwenye engine ya sasa ufunge mle. It will cost less.
 
hii gari ni QR25 four cylinder. Sio six cylinder. Manufacturer catalogue inasema gari inakunywa 11.9km/L ila hii sababu imeshatumika sanaa ilibidi iwe angalau 9km/L.
Heeeeeeeee.

Hapo pa 4 cylinder nina mashaka.
 
Ni gari nzuri sana, hazina shida kabisa
Bujibuji hebu funguka in detail hapa utusaidie wengi binafsi nataka nikanunue ka xtrail ila baada ya kuulizia kwa watu naambiwa eti ina engine ambazo ni sensitive sana kwa mazingira ya joto hivyo kibongobongo x trail huwa zinatabia ya kuchemsha😳
 
Mkiambiwa xtrail ni cancer mnabishanaga, hizo gari zina mechanical issues sana na ni expensive kuzi maintain.You must be very lucky kupata ambayo haisumbui
 
Usipokuwa na hela daily kila kitu utakilalamikia, iwe Luku, gari , Bill za maji, Misosi n.k kila kitu utaona kama haiko fair kwako... kama upo smart na hela zipo gari yoyote unamiliki na fresh tu. Tatizo hapa ni hela ya mafuta amini nakuambia
 
Check timing
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…