We, kipato chako cha kati, range 500000 hadi 800000, ingawa una mipango mingi mikubwa hadi inapekekea uwaze project za kuongeza kipato ila sio mtendaji, you take it easy, huna matumizi makubwa yani upo simple, labda ndio maana unachukulia simple project unazowaza, ni mpole sio mtu wa kujichanganya sana.
Dogo acha wenge,huyu ni mjanja mjanja tu kama walivyo wengine anachofanya anaangalia post zako na michango yako unayoi-post humu anajifanya ametabiri but hakuna kitu kama hiko kama alivyomfanyia mdau hapo juu post #3 hilo jibu lake limetokana na post hii hapa chini.
Kwa miaka minne sasa hakujakuwa na nyongeza ya mishahara na hali imekuwa ngumu sana kumudu maisha ya kawaida mimi kwa niaba ya wafanyakazi wa serikali ambao tulikopa kwenye SACCOS zetu kujikwamua kidogo kidogo wakati tukisukuma gurudumu la maendeleo serikalini TUNAOMBA serikali iangalie jinsi...
Poleni kazi Wakuu. Jamani nahitaji msaada kwa alie na ufahamu juu ya hizo field hapo juu. Nimechaguliwa bachelor of science in geoinformatics (ARU) na bachelor degree in automobile engineering (NIT) Sasa wakuu napenda kuuliza ivi kati ya izo field ni ipi yenye future nzuri apo? And then...
www.jamiiforums.com
Usichukulie serious sana mambo ya mitandaoni utapasuka akili bure pia uzi upo chit chat so moja kwa moja ni utani wewe piga kitabu kwa amani but nachokushauri usisome huku ukiwaza kuajiriwa kama unawaza hivi basi utakuwa shule umeenda kupoteza muda.
Dogo acha wenge,huyu ni mjanja mjanja tu kama walivyo wengine anachofanya anaangalia post zako na michango yako unayoi-post humu anajifanya ametabiri but hakuna kitu kama hiko kama alivyomfanyia mdau hapo juu post #3 hilo jibu lake limetokana na post hii hapa chini.
Kwa miaka minne sasa hakujakuwa na nyongeza ya mishahara na hali imekuwa ngumu sana kumudu maisha ya kawaida mimi kwa niaba ya wafanyakazi wa serikali ambao tulikopa kwenye SACCOS zetu kujikwamua kidogo kidogo wakati tukisukuma gurudumu la maendeleo serikalini TUNAOMBA serikali iangalie jinsi...
Poleni kazi Wakuu. Jamani nahitaji msaada kwa alie na ufahamu juu ya hizo field hapo juu. Nimechaguliwa bachelor of science in geoinformatics (ARU) na bachelor degree in automobile engineering (NIT) Sasa wakuu napenda kuuliza ivi kati ya izo field ni ipi yenye future nzuri apo? And then...
www.jamiiforums.com
Usichukulie serious sana mambo ya mitandaoni utapasuka akili bure pia uzi upo chit chat so moja kwa moja ni utani wewe piga kitabu kwa amani but nachokushauri usisome huku ukiwaza kuajiriwa kama unawaza hivi basi utakuwa shule umeenda kupoteza muda.
Jifunze kuwa watanzania ni adui wa ukweli hivo hamna atakaekubali
Nikimuambia teja humu una kipato cha 5milioni utaskia anajibu "Ewaaaa umenipatia kabisa kama ninavyopata kama size yangu kutoka Tigo"
Mimi ni mtu wa hekaheka na kila mwezi napata kingine nje ya mshahara...naomba usinipe range nipe exact mwezi uliopita niliingiza shngap
Ukiweza we kaka sijui nitakupa nini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.