Nitaandaa muswada wa kisheria kila kiongozi mwanasiasa alipwe kutokana na Hali ya maisha ya mwananchi wa wa kawaida yalivyo!

Nitaandaa muswada wa kisheria kila kiongozi mwanasiasa alipwe kutokana na Hali ya maisha ya mwananchi wa wa kawaida yalivyo!

NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2019
Posts
9,863
Reaction score
20,806
Ndivyo nitakavyofanya kama chama changu ccm kikiniteua na nikashinda uchaguzi huko tuendako.

1. Siasa itakua sio ajira Tena Bali kipimo Cha uzalendo kama jeshi letu lilivyo sio ajira na siasa itakua hivyo hivyo!yaani mtu hatoingia siasani kutajirika kama ilivyo Sasa Hilo msahau,ukitaka utajiri kalime Fanya ujasiriamali sio kutegemea mishahara,posho na mafao ya kisiasa.

2. Malipo ya kisiasa yatategemea Hali ya maisha ya wananchi waliochini,itakua ni task Kwa wanasiasa kuwapigania Hadi wainuke kiuchumi ndio wapate ongezeko la posho na mishahara Yao,bila hivyo hakuna na hii mishahara na mafao ya anasa yatafutwa kwanza tuanze upya kutokana na hali ya kiuchumi ya wananchi wa kawaida.

3. Mapesa yaliyopo kwenye siasa hizo posho,mishahara na mafao yatatumika kwenye sekta za afya,maji,umeme,elim,kilimo na mifugo Ili kuwafikia wananchi!

4. Hakuna tatizo la ajira nchini Bali Kuna tatizo la vipaumbele vya wanasiasa na viongozi,Ambao viongozi wengi kipaumbele Chao ni kulipana posho na mishahara mikubwa TU na sio kupambania ajira .

Ajira zipo nchini nyingi TU,mfano angalia sekta ya elimu,afya na kilimo angalia uwiano uliopo kati ya watumishi na wananchi wanaohudumiwa utaona Kuna gap kubwa,jiulize Mwalimu mmoja anafundisha wastani was watoto wangapi!!?ikiwa Kila mwaka idadi ya ufaulu na wanaojiunga shuleni inaongezeka !utasemaje ajira hamna!!?angalia sekta ya afya uwiano uliopo kati manesi/madaktari na idadi ya wagonjwa na sekta nyingine zote utagundua hakuna tatizo la ajira Bali serikali Haina fedha za kuajiri TU ambazo zimeelekezwa kulipa wanasiasa kwa anasa zao na kutokulipa bills za umeme na maji plus bima kibao.

5. Nashangaa watoto wetu hawanywi maziwa shuleni!!ng'ombe tunazo malisho tunayo sekta binafsi imeshindwa ku supply vya kutosha!JKT na magereza KAZI Yao nini!!?JKT na magereza ndio kiungo muhimu katika kudhibiti mfumuko was bei wa Bidhaa mbali mbali kama mafuta,sukari n.k wataingia mzigoni hakuna mfungwa atakae lala saa za kazi watafanya kazi usiku na mchana vivyo hivyo JKT,

Nashangaa mwwendokasi wanapewa waarabu!jkt plus magereza sio TU watasimamia mwendokasi Bali pia magari ya kwenda mikoani Kwa bei elekezi ya sumatra na huduma bora!sekta binafsi inanyanyasa wananchi Kwa maslahi binafsi lazima ipate ushindani!!!

6. Bodi ya mikopo ya elimu ya juu itafutwa rasmi elimu ya juu itakua bure!wanafunzi watajikim kwasababu mikopo mingi hairudishwi na wanufaika, ni Bora Bodi ifutwe elimu ya juu iwe bure!!field watapangiwa utaratibu wa chakula Huko walipo,hostel zitajengwa,vyuo vitawezeshwa kujiendesha fedha za bodi zitatumika kurekebisha miundombinu ya chuo husika ili viendane na hali ya kisasa!!nitakaribisha maoni na mapendekezo kwenye hilo!


Jiandaeni kuwa wazalendo
 
Ndivyo nitakavyofanya kama chama changu ccm kikiniteua na nikashinda uchaguzi huko tuendako.

1. Siasa itakua sio ajira Tena Bali kipimo Cha uzalendo kama jeshi letu lilivyo sio ajira na siasa itakua hivyo hivyo!yaani mtu hatoingia siasani kutajirika kama ilivyo Sasa Hilo msahau,ukitaka utajiri kalime Fanya ujasiriamali sio kutegemea mishahara,posho na mafao ya kisiasa.

2. Malipo ya kisiasa yatategemea Hali ya maisha ya wananchi waliochini,itakua ni task Kwa wanasiasa kuwapigania Hadi wainuke kiuchumi ndio wapate ongezeko la posho na mishahara Yao,bila hivyo hakuna na hii mishahara na mafao ya anasa yatafutwa kwanza tuanze upya kutokana na hali ya kiuchumi ya wananchi wa kawaida.

3. Mapesa yaliyopo kwenye siasa hizo posho,mishahara na mafao yatatumika kwenye sekta za afya,maji,umeme,elim,kilimo na mifugo Ili kuwafikia wananchi!

4. Hakuna tatizo la ajira nchini Bali Kuna tatizo la vipaumbele vya wanasiasa na viongozi,Ambao viongozi wengi kipaumbele Chao ni kulipana posho na mishahara mikubwa TU na sio kupambania ajira .

Ajira zipo nchini nyingi TU,mfano angalia sekta ya elimu,afya na kilimo angalia uwiano uliopo kati ya watumishi na wananchi wanaohudumiwa utaona Kuna gap kubwa,jiulize Mwalimu mmoja anafundisha wastani was watoto wangapi!!?ikiwa Kila mwaka idadi ya ufaulu na wanaojiunga shuleni inaongezeka !utasemaje ajira hamna!!?angalia sekta ya afya uwiano uliopo kati manesi/madaktari na idadi ya wagonjwa na sekta nyingine zote utagundua hakuna tatizo la ajira Bali serikali Haina fedha za kuajiri TU ambazo zimeelekezwa kulipa wanasiasa kwa anasa zao na kutokulipa bills za umeme na maji plus bima kibao.

5. Nashangaa watoto wetu hawanywi maziwa shuleni!!ng'ombe tunazo malisho tunayo sekta binafsi imeshindwa ku supply vya kutosha!JKT na magereza KAZI Yao nini!!?JKT na magereza ndio kiungo muhimu katika kudhibiti mfumuko was bei wa Bidhaa mbali mbali kama mafuta,sukari n.k wataingia mzigoni hakuna mfungwa atakae lala saa za kazi watafanya kazi usiku na mchana vivyo hivyo JKT,

Nashangaa mwwendokasi wanapewa waarabu!jkt plus magereza sio TU watasimamia mwendokasi Bali pia magari ya kwenda mikoani Kwa bei elekezi ya sumatra na huduma bora!sekta binafsi inanyanyasa wananchi Kwa maslahi binafsi lazima ipate ushindani!!!

6. Bodi ya mikopo ya elimu ya juu itafutwa rasmi elimu ya juu itakua bure!wanafunzi watajikim kwasababu mikopo mingi hairudishwi na wanufaika, ni Bora Bodi ifutwe elimu ya juu iwe bure!!field watapangiwa utaratibu wa chakula Huko walipo,hostel zitajengwa,vyuo vitawezeshwa kujiendesha fedha za bodi zitatumika kurekebisha miundombinu ya chuo husika ili viendane na hali ya kisasa!!nitakaribisha maoni na mapendekezo kwenye hilo!


Jiandaeni kuwa wazalendo
Una kitu, utafika mbali.
 
Una kitu, utafika mbali.
Asante mkuu!

Wanasema hakuna ajira tujiajiri wakati sekta ya umma pekee Bado haijatoa huduma katika kilele toshelevu!!

Kama typo million 61 tufanye nusu yetu kama million 30 ni vijana waliopo vyuoni na mashuleni chukua million 30 gawanya Kwa laki tatu kama idadi ya walimu nchi nzima utaona mgawanyo ukoje Kila mwalimu anafundisha vijana wangapi !pigs hesabu hiyo hiyo Kwa sekta za afya,kilimo mifugo n.k utapata majibu ya wazi kabisa!!

Tatizo ni kwamba serikali imewekeza pesa mingi kwenye kujaza matumbo ya wanasiasa kuliko huduma za umma!!!
 
Asante mkuu!

Wanasema hakuna ajira tujiajiri wakati sekta ya umma pekee Bado haijatoa huduma katika kilele toshelevu!!

Kama typo million 61 tufanye nusu yetu kama million 30 ni vijana waliopo vyuoni na mashuleni chukua million 30 gawanya Kwa laki tatu kama idadi ya walimu nchi nzima utaona mgawanyo ukoje Kila mwalimu anafundisha vijana wangapi !pigs hesabu hiyo hiyo Kwa sekta za afya,kilimo mifugo n.k utapata majibu ya wazi kabisa!!

Tatizo ni kwamba serikali imewekeza pesa mingi kwenye kujaza matumbo ya wanasiasa kuliko huduma za umma!!!
Hakika wewe upo sahihi sana.
 
Asante mkuu!

Wanasema hakuna ajira tujiajiri wakati sekta ya umma pekee Bado haijatoa huduma katika kilele toshelevu!!

Kama typo million 61 tufanye nusu yetu kama million 30 ni vijana waliopo vyuoni na mashuleni chukua million 30 gawanya Kwa laki tatu kama idadi ya walimu nchi nzima utaona mgawanyo ukoje Kila mwalimu anafundisha vijana wangapi !pigs hesabu hiyo hiyo Kwa sekta za afya,kilimo mifugo n.k utapata majibu ya wazi kabisa!!

Tatizo ni kwamba serikali imewekeza pesa mingi kwenye kujaza matumbo ya wanasiasa kuliko huduma za umma!!!
Wanasiasa ni watu wabinafsi sana mwalimu wa degree wanampa 500k mwezi mzima bila posho yoyote Ile halafu wao wanajilipa 18M per month. Ni Uuaji

Nchi hii inahitaji mtu ambaye kweli atakuwa mzalendo na kuweka usawa wa kimaslahi ila ccm haiwezi ilishashindwa kitambo sana.

Inatia hasira sana Tena mnoo...ila ipo siku
 
Ndivyo nitakavyofanya kama chama changu ccm kikiniteua na nikashinda uchaguzi huko tuendako.

1. Siasa itakua sio ajira Tena Bali kipimo Cha uzalendo kama jeshi letu lilivyo sio ajira na siasa itakua hivyo hivyo!yaani mtu hatoingia siasani kutajirika kama ilivyo Sasa Hilo msahau,ukitaka utajiri kalime Fanya ujasiriamali sio kutegemea mishahara,posho na mafao ya kisiasa.

2. Malipo ya kisiasa yatategemea Hali ya maisha ya wananchi waliochini,itakua ni task Kwa wanasiasa kuwapigania Hadi wainuke kiuchumi ndio wapate ongezeko la posho na mishahara Yao,bila hivyo hakuna na hii mishahara na mafao ya anasa yatafutwa kwanza tuanze upya kutokana na hali ya kiuchumi ya wananchi wa kawaida.

3. Mapesa yaliyopo kwenye siasa hizo posho,mishahara na mafao yatatumika kwenye sekta za afya,maji,umeme,elim,kilimo na mifugo Ili kuwafikia wananchi!

4. Hakuna tatizo la ajira nchini Bali Kuna tatizo la vipaumbele vya wanasiasa na viongozi,Ambao viongozi wengi kipaumbele Chao ni kulipana posho na mishahara mikubwa TU na sio kupambania ajira .

Ajira zipo nchini nyingi TU,mfano angalia sekta ya elimu,afya na kilimo angalia uwiano uliopo kati ya watumishi na wananchi wanaohudumiwa utaona Kuna gap kubwa,jiulize Mwalimu mmoja anafundisha wastani was watoto wangapi!!?ikiwa Kila mwaka idadi ya ufaulu na wanaojiunga shuleni inaongezeka !utasemaje ajira hamna!!?angalia sekta ya afya uwiano uliopo kati manesi/madaktari na idadi ya wagonjwa na sekta nyingine zote utagundua hakuna tatizo la ajira Bali serikali Haina fedha za kuajiri TU ambazo zimeelekezwa kulipa wanasiasa kwa anasa zao na kutokulipa bills za umeme na maji plus bima kibao.

5. Nashangaa watoto wetu hawanywi maziwa shuleni!!ng'ombe tunazo malisho tunayo sekta binafsi imeshindwa ku supply vya kutosha!JKT na magereza KAZI Yao nini!!?JKT na magereza ndio kiungo muhimu katika kudhibiti mfumuko was bei wa Bidhaa mbali mbali kama mafuta,sukari n.k wataingia mzigoni hakuna mfungwa atakae lala saa za kazi watafanya kazi usiku na mchana vivyo hivyo JKT,

Nashangaa mwwendokasi wanapewa waarabu!jkt plus magereza sio TU watasimamia mwendokasi Bali pia magari ya kwenda mikoani Kwa bei elekezi ya sumatra na huduma bora!sekta binafsi inanyanyasa wananchi Kwa maslahi binafsi lazima ipate ushindani!!!

6. Bodi ya mikopo ya elimu ya juu itafutwa rasmi elimu ya juu itakua bure!wanafunzi watajikim kwasababu mikopo mingi hairudishwi na wanufaika, ni Bora Bodi ifutwe elimu ya juu iwe bure!!field watapangiwa utaratibu wa chakula Huko walipo,hostel zitajengwa,vyuo vitawezeshwa kujiendesha fedha za bodi zitatumika kurekebisha miundombinu ya chuo husika ili viendane na hali ya kisasa!!nitakaribisha maoni na mapendekezo kwenye hilo!


Jiandaeni kuwa wazalendo
sawa,
tutakutana na hiyo huko mjengoni tuone inakuaje 🐒
 
Ndivyo nitakavyofanya kama chama changu ccm kikiniteua na nikashinda uchaguzi huko tuendako.

1. Siasa itakua sio ajira Tena Bali kipimo Cha uzalendo kama jeshi letu lilivyo sio ajira na siasa itakua hivyo hivyo!yaani mtu hatoingia siasani kutajirika kama ilivyo Sasa Hilo msahau,ukitaka utajiri kalime Fanya ujasiriamali sio kutegemea mishahara,posho na mafao ya kisiasa.

2. Malipo ya kisiasa yatategemea Hali ya maisha ya wananchi waliochini,itakua ni task Kwa wanasiasa kuwapigania Hadi wainuke kiuchumi ndio wapate ongezeko la posho na mishahara Yao,bila hivyo hakuna na hii mishahara na mafao ya anasa yatafutwa kwanza tuanze upya kutokana na hali ya kiuchumi ya wananchi wa kawaida.

3. Mapesa yaliyopo kwenye siasa hizo posho,mishahara na mafao yatatumika kwenye sekta za afya,maji,umeme,elim,kilimo na mifugo Ili kuwafikia wananchi!

4. Hakuna tatizo la ajira nchini Bali Kuna tatizo la vipaumbele vya wanasiasa na viongozi,Ambao viongozi wengi kipaumbele Chao ni kulipana posho na mishahara mikubwa TU na sio kupambania ajira .

Ajira zipo nchini nyingi TU,mfano angalia sekta ya elimu,afya na kilimo angalia uwiano uliopo kati ya watumishi na wananchi wanaohudumiwa utaona Kuna gap kubwa,jiulize Mwalimu mmoja anafundisha wastani was watoto wangapi!!?ikiwa Kila mwaka idadi ya ufaulu na wanaojiunga shuleni inaongezeka !utasemaje ajira hamna!!?angalia sekta ya afya uwiano uliopo kati manesi/madaktari na idadi ya wagonjwa na sekta nyingine zote utagundua hakuna tatizo la ajira Bali serikali Haina fedha za kuajiri TU ambazo zimeelekezwa kulipa wanasiasa kwa anasa zao na kutokulipa bills za umeme na maji plus bima kibao.

5. Nashangaa watoto wetu hawanywi maziwa shuleni!!ng'ombe tunazo malisho tunayo sekta binafsi imeshindwa ku supply vya kutosha!JKT na magereza KAZI Yao nini!!?JKT na magereza ndio kiungo muhimu katika kudhibiti mfumuko was bei wa Bidhaa mbali mbali kama mafuta,sukari n.k wataingia mzigoni hakuna mfungwa atakae lala saa za kazi watafanya kazi usiku na mchana vivyo hivyo JKT,

Nashangaa mwwendokasi wanapewa waarabu!jkt plus magereza sio TU watasimamia mwendokasi Bali pia magari ya kwenda mikoani Kwa bei elekezi ya sumatra na huduma bora!sekta binafsi inanyanyasa wananchi Kwa maslahi binafsi lazima ipate ushindani!!!

6. Bodi ya mikopo ya elimu ya juu itafutwa rasmi elimu ya juu itakua bure!wanafunzi watajikim kwasababu mikopo mingi hairudishwi na wanufaika, ni Bora Bodi ifutwe elimu ya juu iwe bure!!field watapangiwa utaratibu wa chakula Huko walipo,hostel zitajengwa,vyuo vitawezeshwa kujiendesha fedha za bodi zitatumika kurekebisha miundombinu ya chuo husika ili viendane na hali ya kisasa!!nitakaribisha maoni na mapendekezo kwenye hilo!


Jiandaeni kuwa wazalendo
Bahati mbaya sana hakuna mbunge atakusaidia kupitisha hiyo agenda
 
Siasa na uzalendo ni mbingu na ardhi. Wanasiasa wenye mawazo kama yako huwa ni kazi sana kutoboa, na wakitoboa huwa wana option mbili tu kubadilisha sera zao ama kuyaweka maisha yao rehani.

Utafika mbali mkuu unakitu.
 
Ila unaonekana kuichukia sekta binafsi, hao ndo walipa kodi nchini
Siichukii itaboreshwa iwe na ushindani!kilichopo ni ubwanyenye na creativity zero kabisaaa na anateseka ni mwananchi was kawaida!!

Hivi sukari Hadi iagizwe Brazil!!?wametuzidi nini zaidi ya akili TU!!?

Ukada kwenye biashara na deals ndio zinatuua sisi watz!!
 
Utaitwa dikteta
Logic TU itatumika!!

Nitawauliza wabunge "kwenye majimbo yenu wananchi wangapi wanapewa mikopo ya V8 !!?wakijibu Hamna Basi na wewe huna haki hiyo!!Wala huna haki ya kulipwa mafao zaidi ya million 250,mshahara wa million 13 hamna kabisa!!!

Halafu nitaongezea "Tuwe wakweli na tuishi uhalisia wa watanzania wote"!!!
 
Siasa na uzalendo ni mbingu na ardhi. Wanasiasa wenye mawazo kama yako huwa ni kazi sana kutoboa, na wakitoboa huwa wana option mbili tu kubadilisha sera zao ama kuyaweka maisha yao rehani.

Utafika mbali mkuu unakitu.
Jpm alishindwa na kuwa tagert coz alifanya Kila kitu Kwa jina lake!Hilo lilikua kosa la kiufundi ndio maana mkapa alimsanua Kwa kusema"tunataka kusikia serikali ya ccm imefanya hivi au vile"lakini jpm hakumwelewa!!

Mimi nitafanya Kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania nitaongeza "serikali ya ccm imeona hivi au vile,imefanya hivi au vile" ni marufuku kuimba jina langu Wala uchawa !!

Nitakwepa kuonekana nimefanya peke yangu au serikali ya fulani Bali CCM na jamhuri TU!
 
Mahala pa kuupitishia huo muswada mpk uwe sheria ndiyo tatizo.
Muswada unapita kabisa Kwa code "mishahara ya viongozi iakisi Hali ya maisha ya watz"!!!utapita mkuu,ccm huwa hatushindwi jambo tukiamua!!
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Back
Top Bottom