Nitaandaa muswada wa kisheria kila kiongozi mwanasiasa alipwe kutokana na Hali ya maisha ya mwananchi wa wa kawaida yalivyo!

Nitaandaa muswada wa kisheria kila kiongozi mwanasiasa alipwe kutokana na Hali ya maisha ya mwananchi wa wa kawaida yalivyo!

Ndivyo nitakavyofanya kama chama changu ccm kikiniteua na nikashinda uchaguzi huko tuendako.

1. Siasa itakua sio ajira Tena Bali kipimo Cha uzalendo kama jeshi letu lilivyo sio ajira na siasa itakua hivyo hivyo!yaani mtu hatoingia siasani kutajirika kama ilivyo Sasa Hilo msahau,ukitaka utajiri kalime Fanya ujasiriamali sio kutegemea mishahara,posho na mafao ya kisiasa.

2. Malipo ya kisiasa yatategemea Hali ya maisha ya wananchi waliochini,itakua ni task Kwa wanasiasa kuwapigania Hadi wainuke kiuchumi ndio wapate ongezeko la posho na mishahara Yao,bila hivyo hakuna na hii mishahara na mafao ya anasa yatafutwa kwanza tuanze upya kutokana na hali ya kiuchumi ya wananchi wa kawaida.

3. Mapesa yaliyopo kwenye siasa hizo posho,mishahara na mafao yatatumika kwenye sekta za afya,maji,umeme,elim,kilimo na mifugo Ili kuwafikia wananchi!

4. Hakuna tatizo la ajira nchini Bali Kuna tatizo la vipaumbele vya wanasiasa na viongozi,Ambao viongozi wengi kipaumbele Chao ni kulipana posho na mishahara mikubwa TU na sio kupambania ajira .

Ajira zipo nchini nyingi TU,mfano angalia sekta ya elimu,afya na kilimo angalia uwiano uliopo kati ya watumishi na wananchi wanaohudumiwa utaona Kuna gap kubwa,jiulize Mwalimu mmoja anafundisha wastani was watoto wangapi!!?ikiwa Kila mwaka idadi ya ufaulu na wanaojiunga shuleni inaongezeka !utasemaje ajira hamna!!?angalia sekta ya afya uwiano uliopo kati manesi/madaktari na idadi ya wagonjwa na sekta nyingine zote utagundua hakuna tatizo la ajira Bali serikali Haina fedha za kuajiri TU ambazo zimeelekezwa kulipa wanasiasa kwa anasa zao na kutokulipa bills za umeme na maji plus bima kibao.

5. Nashangaa watoto wetu hawanywi maziwa shuleni!!ng'ombe tunazo malisho tunayo sekta binafsi imeshindwa ku supply vya kutosha!JKT na magereza KAZI Yao nini!!?JKT na magereza ndio kiungo muhimu katika kudhibiti mfumuko was bei wa Bidhaa mbali mbali kama mafuta,sukari n.k wataingia mzigoni hakuna mfungwa atakae lala saa za kazi watafanya kazi usiku na mchana vivyo hivyo JKT,

Nashangaa mwwendokasi wanapewa waarabu!jkt plus magereza sio TU watasimamia mwendokasi Bali pia magari ya kwenda mikoani Kwa bei elekezi ya sumatra na huduma bora!sekta binafsi inanyanyasa wananchi Kwa maslahi binafsi lazima ipate ushindani!!!

6. Bodi ya mikopo ya elimu ya juu itafutwa rasmi elimu ya juu itakua bure!wanafunzi watajikim kwasababu mikopo mingi hairudishwi na wanufaika, ni Bora Bodi ifutwe elimu ya juu iwe bure!!field watapangiwa utaratibu wa chakula Huko walipo,hostel zitajengwa,vyuo vitawezeshwa kujiendesha fedha za bodi zitatumika kurekebisha miundombinu ya chuo husika ili viendane na hali ya kisasa!!nitakaribisha maoni na mapendekezo kwenye hilo!


Jiandaeni kuwa wazalendo
Watakuchukia hadi siku unaaga dunia.
 
hata urudiwe mara twenty ntamgalagaza yeyote pasina shaka yoyote pale jimboni....
Kumbe hujanielewa!think deep,muswada utapitishwa Kwa ku sign na ku tick kwenye ki box,iwapo utajaza hapana na wewe ni mwanaccm!Jimbo litatangazwa upya na wewe hutapita ndani ya chama kugombea!na Jimbo halitoenda upinzani!!
 
Kumbe hujanielewa!think deep,muswada utapitishwa Kwa ku sign na ku tick kwenye ki box,iwapo utajaza hapana na wewe ni mwanaccm!Jimbo litatangazwa upya na wewe hutapita ndani ya chama kugombea!na Jimbo halitoenda upinzani!!
niwe mgombea binafsi, niwe mgombea wa chama tawala ama upinzani, hayupo wa kuthubutu kufua dafu dhidi yamgu kwenye debe...

that one, I can assure the entire public, and the constituency without fear of contradictions,

and every one must understand it very clear, completely....
 
Kwa ufupi huna akili.
Kama ikitokea utakuwa kiongozi basi ni hasara kwa Taifa.
Hakuna taifa lililoendelea kwa kutegemea wafungwa
Wafungwa!!?nani kasema wafungwa!!?nimesema jkt na jeshi la magereza !!unaelewa maana yake!!?

Hao wachina vibarua kwenye makampuni unajua uhalisia wao !!?ni wafungwa kwenye mataifa yao hivyo kufanya kwao kazi ndio kutumikia kifungo chao!!

Unataka hao wafungwa wakitumikie kifungo Chao kwa kulala saa tisa Hadi kesho yake!!?

Fikiria upya!lazima magereza yaboreshwe yawe Bora zaidi kwa mstakabali wa taifa letu!!
 
Ndivyo nitakavyofanya kama chama changu ccm kikiniteua na nikashinda uchaguzi huko tuendako.

1. Siasa itakua sio ajira Tena Bali kipimo Cha uzalendo kama jeshi letu lilivyo sio ajira na siasa itakua hivyo hivyo!yaani mtu hatoingia siasani kutajirika kama ilivyo Sasa Hilo msahau,ukitaka utajiri kalime Fanya ujasiriamali sio kutegemea mishahara,posho na mafao ya kisiasa.

2. Malipo ya kisiasa yatategemea Hali ya maisha ya wananchi waliochini,itakua ni task Kwa wanasiasa kuwapigania Hadi wainuke kiuchumi ndio wapate ongezeko la posho na mishahara Yao,bila hivyo hakuna na hii mishahara na mafao ya anasa yatafutwa kwanza tuanze upya kutokana na hali ya kiuchumi ya wananchi wa kawaida.

3. Mapesa yaliyopo kwenye siasa hizo posho,mishahara na mafao yatatumika kwenye sekta za afya,maji,umeme,elim,kilimo na mifugo Ili kuwafikia wananchi!

4. Hakuna tatizo la ajira nchini Bali Kuna tatizo la vipaumbele vya wanasiasa na viongozi,Ambao viongozi wengi kipaumbele Chao ni kulipana posho na mishahara mikubwa TU na sio kupambania ajira .

Ajira zipo nchini nyingi TU,mfano angalia sekta ya elimu,afya na kilimo angalia uwiano uliopo kati ya watumishi na wananchi wanaohudumiwa utaona Kuna gap kubwa,jiulize Mwalimu mmoja anafundisha wastani was watoto wangapi!!?ikiwa Kila mwaka idadi ya ufaulu na wanaojiunga shuleni inaongezeka !utasemaje ajira hamna!!?angalia sekta ya afya uwiano uliopo kati manesi/madaktari na idadi ya wagonjwa na sekta nyingine zote utagundua hakuna tatizo la ajira Bali serikali Haina fedha za kuajiri TU ambazo zimeelekezwa kulipa wanasiasa kwa anasa zao na kutokulipa bills za umeme na maji plus bima kibao.

5. Nashangaa watoto wetu hawanywi maziwa shuleni!!ng'ombe tunazo malisho tunayo sekta binafsi imeshindwa ku supply vya kutosha!JKT na magereza KAZI Yao nini!!?JKT na magereza ndio kiungo muhimu katika kudhibiti mfumuko was bei wa Bidhaa mbali mbali kama mafuta,sukari n.k wataingia mzigoni hakuna mfungwa atakae lala saa za kazi watafanya kazi usiku na mchana vivyo hivyo JKT,

Nashangaa mwwendokasi wanapewa waarabu!jkt plus magereza sio TU watasimamia mwendokasi Bali pia magari ya kwenda mikoani Kwa bei elekezi ya sumatra na huduma bora!sekta binafsi inanyanyasa wananchi Kwa maslahi binafsi lazima ipate ushindani!!!

6. Bodi ya mikopo ya elimu ya juu itafutwa rasmi elimu ya juu itakua bure!wanafunzi watajikim kwasababu mikopo mingi hairudishwi na wanufaika, ni Bora Bodi ifutwe elimu ya juu iwe bure!!field watapangiwa utaratibu wa chakula Huko walipo,hostel zitajengwa,vyuo vitawezeshwa kujiendesha fedha za bodi zitatumika kurekebisha miundombinu ya chuo husika ili viendane na hali ya kisasa!!nitakaribisha maoni na mapendekezo kwenye hilo!


Jiandaeni kuwa wazalendo
Anhaa sawa tumekusikia, ujaye. Swali ni unakuja lini?

Uko na pointi.

Lakini mwanasiasa asilipwe kulingana na hali ya mwananchi, unajuaje labda kuna uzembe upande mmoja?

Acha alipwe kutokana na kazi anayofanya.

Labda cha kuondoa tu ni ile kumlipa mtu mara mbili kwa kuifanya kazi yake!! Mfano mbunge kwa kuhudhuria Bungeni????

Au taasisi kwa kufanya jukumu la kuanzishwa kwake!!?
 
Jpm alishindwa na kuwa tagert coz alifanya Kila kitu Kwa jina lake!Hilo lilikua kosa la kiufundi ndio maana mkapa alimsanua Kwa kusema"tunataka kusikia serikali ya ccm imefanya hivi au vile"lakini jpm hakumwelewa!!

Mimi nitafanya Kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania nitaongeza "serikali ya ccm imeona hivi au vile,imefanya hivi au vile" ni marufuku kuimba jina langu Wala uchawa !!

Nitakwepa kuonekana nimefanya peke yangu au serikali ya fulani Bali CCM na jamhuri TU!
Akili kubwa sana hii. Heko
 
Ndivyo nitakavyofanya kama chama changu ccm kikiniteua na nikashinda uchaguzi huko tuendako.

1. Siasa itakua sio ajira Tena Bali kipimo Cha uzalendo kama jeshi letu lilivyo sio ajira na siasa itakua hivyo hivyo!yaani mtu hatoingia siasani kutajirika kama ilivyo Sasa Hilo msahau,ukitaka utajiri kalime Fanya ujasiriamali sio kutegemea mishahara,posho na mafao ya kisiasa.

2. Malipo ya kisiasa yatategemea Hali ya maisha ya wananchi waliochini,itakua ni task Kwa wanasiasa kuwapigania Hadi wainuke kiuchumi ndio wapate ongezeko la posho na mishahara Yao,bila hivyo hakuna na hii mishahara na mafao ya anasa yatafutwa kwanza tuanze upya kutokana na hali ya kiuchumi ya wananchi wa kawaida.

3. Mapesa yaliyopo kwenye siasa hizo posho,mishahara na mafao yatatumika kwenye sekta za afya,maji,umeme,elim,kilimo na mifugo Ili kuwafikia wananchi!

4. Hakuna tatizo la ajira nchini Bali Kuna tatizo la vipaumbele vya wanasiasa na viongozi,Ambao viongozi wengi kipaumbele Chao ni kulipana posho na mishahara mikubwa TU na sio kupambania ajira .

Ajira zipo nchini nyingi TU,mfano angalia sekta ya elimu,afya na kilimo angalia uwiano uliopo kati ya watumishi na wananchi wanaohudumiwa utaona Kuna gap kubwa,jiulize Mwalimu mmoja anafundisha wastani was watoto wangapi!!?ikiwa Kila mwaka idadi ya ufaulu na wanaojiunga shuleni inaongezeka !utasemaje ajira hamna!!?angalia sekta ya afya uwiano uliopo kati manesi/madaktari na idadi ya wagonjwa na sekta nyingine zote utagundua hakuna tatizo la ajira Bali serikali Haina fedha za kuajiri TU ambazo zimeelekezwa kulipa wanasiasa kwa anasa zao na kutokulipa bills za umeme na maji plus bima kibao.

5. Nashangaa watoto wetu hawanywi maziwa shuleni!!ng'ombe tunazo malisho tunayo sekta binafsi imeshindwa ku supply vya kutosha!JKT na magereza KAZI Yao nini!!?JKT na magereza ndio kiungo muhimu katika kudhibiti mfumuko was bei wa Bidhaa mbali mbali kama mafuta,sukari n.k wataingia mzigoni hakuna mfungwa atakae lala saa za kazi watafanya kazi usiku na mchana vivyo hivyo JKT,

Nashangaa mwwendokasi wanapewa waarabu!jkt plus magereza sio TU watasimamia mwendokasi Bali pia magari ya kwenda mikoani Kwa bei elekezi ya sumatra na huduma bora!sekta binafsi inanyanyasa wananchi Kwa maslahi binafsi lazima ipate ushindani!!!

6. Bodi ya mikopo ya elimu ya juu itafutwa rasmi elimu ya juu itakua bure!wanafunzi watajikim kwasababu mikopo mingi hairudishwi na wanufaika, ni Bora Bodi ifutwe elimu ya juu iwe bure!!field watapangiwa utaratibu wa chakula Huko walipo,hostel zitajengwa,vyuo vitawezeshwa kujiendesha fedha za bodi zitatumika kurekebisha miundombinu ya chuo husika ili viendane na hali ya kisasa!!nitakaribisha maoni na mapendekezo kwenye hilo!


Jiandaeni kuwa wazalendo
Wazo zuri Sana hili
 
Anhaa sawa tumekusikia, ujaye. Swali ni unakuja lini?

Uko na pointi.

Lakini mwanasiasa asilipwe kulingana na hali ya mwananchi, unajuaje labda kuna uzembe upande mmoja?

Acha alipwe kutokana na kazi anayofanya.

Labda cha kuondoa tu ni ile kumlipa mtu mara mbili kwa kuifanya kazi yake!! Mfano mbunge kwa kuhudhuria Bungeni????

Au taasisi kwa kufanya jukumu la kuanzishwa kwake!!?
2035/2050 hapo katikati hapo ndipo maono yangu yalipo!!

Mwanasiasa atalipwa kizalendo Kwa kazi na Kwa hali ya uchumi ilivyo!!

Tunataka tupunguze wagebill Kwa serikali hasta kulea wanasiasa active na wastaafu,Kwa Hali ilivyo Sasa itafikia climax ya wagebill kiasi kwamba sektor nyingine zitakosa fedha za kujiendesha kutokana na uhitaji wa watu wengi Kwa sector hizo kama afya na elimu!!

Lazima tuweke limit kwenye hilo la sivyo nusu ya bajeti huko mbeleni itatumika kulea wanasiasa badala ya kuleta maendeleo sekta mtambuka!!
 
Logic TU itatumika!!

Nitawauliza wabunge "kwenye majimbo yenu wananchi wangapi wanapewa mikopo ya V8 !!?wakijibu Hamna Basi na wewe huna haki hiyo!!Wala huna haki ya kulipwa mafao zaidi ya million 250,mshahara wa million 13 hamna kabisa!!!

Halafu nitaongezea "Tuwe wakweli na tuishi uhalisia wa watanzania wote"!!!
Watakimbbia ubunge
 
Watakimbbia ubunge
Ndio ninachotaka tupate wazalendo halisi sio hawa wapiga deals na wanga wengi na tai zao!!

Wakimbilie kwenye ueledi waliosomea kama no udokta udokta kama ni uprofesa uprofesa na huko kwenye tafiti ndio nitamwaga fedha hasta kwenye technology za uzalishaji mbegu Bora za kilimo kama pale SUA na vyuo vya kilimo ndio nitajikita huko!nataka Tanzania ilishe Dunia nzima na uwezo tunao!!
 
Ndivyo nitakavyofanya kama chama changu ccm kikiniteua na nikashinda uchaguzi huko tuendako.

1. Siasa itakua sio ajira Tena Bali kipimo Cha uzalendo kama jeshi letu lilivyo sio ajira na siasa itakua hivyo hivyo!yaani mtu hatoingia siasani kutajirika kama ilivyo Sasa Hilo msahau,ukitaka utajiri kalime Fanya ujasiriamali sio kutegemea mishahara,posho na mafao ya kisiasa.

2. Malipo ya kisiasa yatategemea Hali ya maisha ya wananchi waliochini,itakua ni task Kwa wanasiasa kuwapigania Hadi wainuke kiuchumi ndio wapate ongezeko la posho na mishahara Yao,bila hivyo hakuna na hii mishahara na mafao ya anasa yatafutwa kwanza tuanze upya kutokana na hali ya kiuchumi ya wananchi wa kawaida.

3. Mapesa yaliyopo kwenye siasa hizo posho,mishahara na mafao yatatumika kwenye sekta za afya,maji,umeme,elim,kilimo na mifugo Ili kuwafikia wananchi!

4. Hakuna tatizo la ajira nchini Bali Kuna tatizo la vipaumbele vya wanasiasa na viongozi,Ambao viongozi wengi kipaumbele Chao ni kulipana posho na mishahara mikubwa TU na sio kupambania ajira .

Ajira zipo nchini nyingi TU,mfano angalia sekta ya elimu,afya na kilimo angalia uwiano uliopo kati ya watumishi na wananchi wanaohudumiwa utaona Kuna gap kubwa,jiulize Mwalimu mmoja anafundisha wastani was watoto wangapi!!?ikiwa Kila mwaka idadi ya ufaulu na wanaojiunga shuleni inaongezeka !utasemaje ajira hamna!!?angalia sekta ya afya uwiano uliopo kati manesi/madaktari na idadi ya wagonjwa na sekta nyingine zote utagundua hakuna tatizo la ajira Bali serikali Haina fedha za kuajiri TU ambazo zimeelekezwa kulipa wanasiasa kwa anasa zao na kutokulipa bills za umeme na maji plus bima kibao.

5. Nashangaa watoto wetu hawanywi maziwa shuleni!!ng'ombe tunazo malisho tunayo sekta binafsi imeshindwa ku supply vya kutosha!JKT na magereza KAZI Yao nini!!?JKT na magereza ndio kiungo muhimu katika kudhibiti mfumuko was bei wa Bidhaa mbali mbali kama mafuta,sukari n.k wataingia mzigoni hakuna mfungwa atakae lala saa za kazi watafanya kazi usiku na mchana vivyo hivyo JKT,

Nashangaa mwwendokasi wanapewa waarabu!jkt plus magereza sio TU watasimamia mwendokasi Bali pia magari ya kwenda mikoani Kwa bei elekezi ya sumatra na huduma bora!sekta binafsi inanyanyasa wananchi Kwa maslahi binafsi lazima ipate ushindani!!!

6. Bodi ya mikopo ya elimu ya juu itafutwa rasmi elimu ya juu itakua bure!wanafunzi watajikim kwasababu mikopo mingi hairudishwi na wanufaika, ni Bora Bodi ifutwe elimu ya juu iwe bure!!field watapangiwa utaratibu wa chakula Huko walipo,hostel zitajengwa,vyuo vitawezeshwa kujiendesha fedha za bodi zitatumika kurekebisha miundombinu ya chuo husika ili viendane na hali ya kisasa!!nitakaribisha maoni na mapendekezo kwenye hilo!


Jiandaeni kuwa wazalendo
Wanasihasa wote wataacha hiyo kazi
Sijui utafanya siasa na akina nani !! 🤣🙏🙏
 
Ndio ninachotaka tupate wazalendo halisi sio hawa wapiga deals na wanga wengi na tai zao!!

Wakimbilie kwenye ueledi waliosomea kama no udokta udokta kama ni uprofesa uprofesa na huko kwenye tafiti ndio nitamwaga fedha hasta kwenye technology za uzalishaji mbegu Bora za kilimo kama pale SUA na vyuo vya kilimo ndio nitajikita huko!nataka Tanzania ilishe Dunia nzima na uwezo tunao!!
Naunga mkono hoja hii. ! 👏💪👍
 
Back
Top Bottom