Sawa da jojiAkili yko ukiwa na pesa Hadi uuze nyumba
Ukijua itakusaidia niniHii ofisi yako ya UWAKALA iko wapi?
Mtaji wako bado ni mdogo sanaaaa...!!!
#YNWA
Sawa mamaSawa da joji
We imekuuma niniTumepigwa[emoji28][emoji28] ila watu kwanini mnapenda attention kwa uongo uongo
Hawakukuibia hati ya nyumbaMkuu ndy unajuwa leo kwamba ndugu ni mkia wa mbuzi,,?
Hauna faida yeyote ..
Ndugu wa kwl ni watoto na mkeo.
KabisaMasikini si wakuonea huruma, na usimsaidie.
πππPole dunia ndivyo ilivyo.Thamani yako ni vile ulivyonavyo si vile ulivyo.Watu hawaaminiki tena bila chochote wewe si lolote
πππMkuu hio picha ndio gari ndugu zako walichukua? Na hizo hela pia walichukua? Pole tajiri.
mke awe ndugu acha ujinga weweHawakukuibia hati ya nyumba
Nikuongezee mtaji.Ukijua itakusaidia nini
Huyu jamaa vipi,juzi wa kike,leo mwanaumeMume wangu kanitukania Mama yangu, naombeni ushauri jamani
Nimeondoka nyumbani kwangu huu ni mwezi wa pili! Mume wangu kuna hela alinipa kama milioni 2, kwaajili ya kumuwekea. Mume wangu alikua ni mfanyakazi wa kampuni moja binafsi, sasa katika kampuni yao ni kama wanataka kuifunga hivyo mkataba ukiisha hakuna anayeongezewa mpya. Mkataba wa mume wangu...www.jamiiforums.com
pengine ana jinsia tata AISEE.Mume wangu kanitukania Mama yangu, naombeni ushauri jamani
Nimeondoka nyumbani kwangu huu ni mwezi wa pili! Mume wangu kuna hela alinipa kama milioni 2, kwaajili ya kumuwekea. Mume wangu alikua ni mfanyakazi wa kampuni moja binafsi, sasa katika kampuni yao ni kama wanataka kuifunga hivyo mkataba ukiisha hakuna anayeongezewa mpya. Mkataba wa mume wangu...www.jamiiforums.com
Labda ana jinsia tata AISEEHuyu jamaa vipi,juzi wa kike,leo mwanaume