Nitabaki na mke wangu na wanangu, kumbe ndugu ni kenge tu

Hao ndugu ndo uliowasaidia kuwasomesha ama ni wengine?

Mshukuru Mungu kwa kila jambo. Kumbuka kila jambo linalotokea katika maisha yako lina funzo ndani yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…