Nitabaki na mke wangu na wanangu, kumbe ndugu ni kenge tu

Nitabaki na mke wangu na wanangu, kumbe ndugu ni kenge tu

Ndivyo inavyokuwa, sasa jaribu kufumba macho uchukulie ndo umekufya, ingekuwaje ?

Weka kila kitu sawa japo kuugua siyo kufya. Andika kwa mwanasheria.

Niliwahi kupitia hiyo hali [emoji24][emoji24]

Hayo mahela yote hayo au ndo uliingia hilo chama la wana ?
Kalibu tule bata
 
Hata watoto wako wanaweza wasiwe upande wako

Naamini Ndugu wa kweli wakati wote kama hukuingia chakike wakati wa uchaguzi ni MKE/MUME wako.

Watoto wanaolewa wanabadilishwa
Watoto wanaoa wanabadilishwa

ila MKE/MUME kama ulicheza karata zako vizuri ukachagua aliekuchagua mkachaguana Huyo ndio Ndugu pekee ulienae hapa duniani.

Mpende/Muheshimu Mkeo/Mumeo

Lakini pia usisahau kutimiza wajibu wako kwa watoto wako ila usiwe na mategemeo makubwa toka kwao.

Pole Mkuu.
Kabisa mkuu
 
Wewe umesema ndugu zako hawana mbele wala nyuma wewe ndio mwenye nafuu sasa watoto wako wangepelekwa kwa Baba Mdogo wangeweza kula mihogo mitupu bila dagaa wala maharage?

Ni kweli ulikuwa unaumwa lakn hata hivyo wewe kimaisha una nafuu kuliko ndugu zako makabwela ambao ni wazima.

Ukumbuke dunia hii kuna watu kitu pekee cha thamani walicho nacho kwenye maisha yao ni Uzima tu. Hawana Mbele wala nyuma ukitegemea msaada kwa watu kama hawa basi ujue unajiandaa kuwalaum tu maana theu have nothing to offer.
Ndio wabebe hati ya nyumba ,ingekua wewe ungekubali
 
Kwani hawezi vaa uhusika wa mtu mwingine?

Usikariri...
Achana nao hao dada yg Kuna watu hata shule walikua wagumu kuelewa , tatizo watu wengi vichwa box , mimi ni mshauri nasaha mambo ya mahusiano ukiwa na tatizo naliwasilisha kwa wadau wanakushauri ,Sasa mijinga imekalia umbeya tu
 
Jf tunafanywa kama watoto, huyu mtu kuna uzi wake anaomba ushauri ya kwamba mume wake kamtukania mama yake.


Daa hii inatisha
Mimi ni mshauri nasaha mambo ya mahusiano ukiwa na tatizo naliwasilisha kwa wadau wanakushauri
 
Mkuu kwenye maisha unapomsaidia mtu usitegemee chochote hata yesu aliponya watu wengi ukoma ila ni mmoja tu ndio aligeuka nyuma na kushukuru hao ndio binadamu walivyo expect nothing to them.
Ndio waibe hati ya nyumba yg
 
Back
Top Bottom