Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakua sawa ila sio sawa tenaDamu ni nzito kuliko maji
Ndio Mumeo lazima umtajeStory umeitoa kwa iddi makengo Facebook.jf cku hiza wahuni
Kalibu tule bataNdivyo inavyokuwa, sasa jaribu kufumba macho uchukulie ndo umekufya, ingekuwaje ?
Weka kila kitu sawa japo kuugua siyo kufya. Andika kwa mwanasheria.
Niliwahi kupitia hiyo hali [emoji24][emoji24]
Hayo mahela yote hayo au ndo uliingia hilo chama la wana ?
Kabisa mkuuHata watoto wako wanaweza wasiwe upande wako
Naamini Ndugu wa kweli wakati wote kama hukuingia chakike wakati wa uchaguzi ni MKE/MUME wako.
Watoto wanaolewa wanabadilishwa
Watoto wanaoa wanabadilishwa
ila MKE/MUME kama ulicheza karata zako vizuri ukachagua aliekuchagua mkachaguana Huyo ndio Ndugu pekee ulienae hapa duniani.
Mpende/Muheshimu Mkeo/Mumeo
Lakini pia usisahau kutimiza wajibu wako kwa watoto wako ila usiwe na mategemeo makubwa toka kwao.
Pole Mkuu.
KabisaHii nchi vijana wake ni hovyo sana
Kabisa mkuuTupo duniani ili kuishi na si kupata mafunzo; we ukiona kenge yeyote hayuko upande wako, piga chini na usonge mbele na wale wanaotambua umuhimu wako.
HawafaiDuuuh wanadamu bhana
KabisaKumbe wazushi
Ndio wabebe hati ya nyumba ,ingekua wewe ungekubaliWewe umesema ndugu zako hawana mbele wala nyuma wewe ndio mwenye nafuu sasa watoto wako wangepelekwa kwa Baba Mdogo wangeweza kula mihogo mitupu bila dagaa wala maharage?
Ni kweli ulikuwa unaumwa lakn hata hivyo wewe kimaisha una nafuu kuliko ndugu zako makabwela ambao ni wazima.
Ukumbuke dunia hii kuna watu kitu pekee cha thamani walicho nacho kwenye maisha yao ni Uzima tu. Hawana Mbele wala nyuma ukitegemea msaada kwa watu kama hawa basi ujue unajiandaa kuwalaum tu maana theu have nothing to offer.
Tatizo umbea mwingi sana mnashindwa kujua kama mimi ni mshauri nasaha mambo ya mahusianoNdio Ameniacha njia panda na Mm Nisijue nishike lipi
Kwa kuiba hati ya nyumbaFamily first.
Achana nao hao dada yg Kuna watu hata shule walikua wagumu kuelewa , tatizo watu wengi vichwa box , mimi ni mshauri nasaha mambo ya mahusiano ukiwa na tatizo naliwasilisha kwa wadau wanakushauri ,Sasa mijinga imekalia umbeya tuKwani hawezi vaa uhusika wa mtu mwingine?
Usikariri...
Shuleni uliburuza mkia kuwa wa mwisho siku zote, mimi ni mshauri nasaha mambo ya mahusiano ukiwa na tatizo naliwasilisha kwa wadau wanakushauri Sasa mijinga imekalia umbeya tu
Kua muelewaNaona leo umeweka uzi kama mzee baba
Mimi ni mshauri nasaha mambo ya mahusiano ukiwa na tatizo naliwasilisha kwa wadau wanakushauriJf tunafanywa kama watoto, huyu mtu kuna uzi wake anaomba ushauri ya kwamba mume wake kamtukania mama yake.
Daa hii inatisha
Akili yko ukiwa na pesa Hadi uuze nyumbaKwahiyo umeuza nyumba au ?
Ndio waibe hati ya nyumba ygMkuu kwenye maisha unapomsaidia mtu usitegemee chochote hata yesu aliponya watu wengi ukoma ila ni mmoja tu ndio aligeuka nyuma na kushukuru hao ndio binadamu walivyo expect nothing to them.
Pamoja sanaAhsante sana kwa muongozo