Nitabaki na mke wangu na wanangu, kumbe ndugu ni kenge tu

Nitabaki na mke wangu na wanangu, kumbe ndugu ni kenge tu

Ndio maisha yalivyo

wapo ambao pia walikimbiwa na Watoto wao wa kuzA na Mke wakaja kusaidiwa na Ndugu zao wakati wa changamoto na hali zilipotengamaa Mke na Watoto wakarejea wakaanza kusema Shangazi na Baba zetu wakubwa wabaya sana wanatugombanisha.

Hakuna maisha bila ya changamoto

swali ninalojiuliza

Dada yako alipata access vipi ya kuweza kuingia hadi chumbani na kuchukua nyaraka hizo muhimu na Mkeo hakujua kipindi chote hicho na House girl alikuwa anajua na hakusema hadi ulipomuuliza

Kama sio Movie nitabaki na mshangao sana

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Mke yupo bize kuuguza mume unapata muda wa kulinda nyaraka ,nae aliiba kwa kutumia udhaifu wa beki tatu
 
Kumbuka.

Wahenga walisema maneno mengine yenye maana ukiyaunganisha na habari yako.

1. Tenda wema, nenda zako. Usingoje shukurani.

2. Mtaka nyingi nasaba, hupata mwingi msiba.
Ndio waibe hati
 
Ndugu wengi miyeyusho sana. Unampa mtaji anaufyeka. Unajaribu kila njia hakuna kitu. Mwisho wa siku wewe ndiyo mbaya. Hata ujitoe namna gani hakuna shukrani. Siku tu ukiacha au ukaingia kwenye matatizo unageuka kuwa mbaya.

Nasaidia ndugu kila ninapoweza ila nachukulia tu ni kama sadaka natoa. Na sitegemei cho chote in return!
 
Kumbuka.

Wahenga walisema maneno mengine yenye maana ukiyaunganisha na habari yako.

1. Tenda wema, nenda zako. Usingoje shukurani.

2. Mtaka nyingi nasaba, hupata mwingi msiba.
Ndio waibe hati ya nyumba yg
 
Kupona kwako imetuuma sana sisi wadogo zako tulikua tumeshagawana hizo mali gari lilikua langu yaani umeamua kupona bila sababu ili sisi tuteseke?
 
Visa hivi nadhani anavichukuaga kwenye mitandao anatuletea hasa fb kwa Idd Makengo, hata kisa cha mume kumtukania mama ni kutoka Idd Makengo
 
Visa hivi nadhani anavichukuaga kwenye mitandao anatuletea hasa fb kwa Idd Makengo, hata kisa cha mume kumtukania mama ni kutoka Idd Makengo
Nawe kachukue kama ni lahisi , je wajuaje kama yeye kachukua kwangu
 
Back
Top Bottom