Nitachukia kama Yanga watashiriki kumrubuni Kibu na baadae kumsajili

Nitachukia kama Yanga watashiriki kumrubuni Kibu na baadae kumsajili

Nimeona mitandaoni ati team yangu ya Yanga ndo wanacheza hizi drama za kumrubuni Kibu ili kumsajili.
Huu sio weledi ni jambo baya na uhuni.

Sisi ni watu tushindane katika uhalali sio dhuluma.

Kibu aache mambo ya ajabu akatumikie team yake Simba. Simba wamempa heshima wakampa mkataba na kalipwa pesa ndefu million 760 Bado anawazingua.

Kama alikuwa hataki angeweka wazi Simba wakatafuta mchezaji mwingine akaenda preseason kujiandaa, kama alivofanya Chama alikwambia mapema wakajua kuziba pengo lake.

Kama Yanga tutamsajili huyu Kibu itakuwa ni maudhi
Swali fikirishi je unauhakika Katia kibindoni 760 milioni? Halafu manyoya, pruuuu!, kama ni kweli huo ni utapeli, (a crook)
 
Mwanenu Ali Kamwe ndiye anaeneza hizi habari
 

Attachments

  • IMG-20240723-WA0006.jpg
    IMG-20240723-WA0006.jpg
    308.1 KB · Views: 3
Nimeona mitandaoni ati team yangu ya Yanga ndo wanacheza hizi drama za kumrubuni Kibu ili kumsajili.
Huu sio weledi ni jambo baya na uhuni.

Sisi ni watu tushindane katika uhalali sio dhuluma.

Kibu aache mambo ya ajabu akatumikie team yake Simba. Simba wamempa heshima wakampa mkataba na kalipwa pesa ndefu million 760 Bado anawazingua.

Kama alikuwa hataki angeweka wazi Simba wakatafuta mchezaji mwingine akaenda preseason kujiandaa, kama alivofanya Chama alikwambia mapema wakajua kuziba pengo lake.

Kama Yanga tutamsajili huyu Kibu itakuwa ni maudhi
Kibu huyo wanaemuita Mgeni rasmi?
Yanga wakimsajili huyu jamaa nitaamini kuwa viongozi wanatuona punguani, haki ya mama!
 
Yanga ndiyo wamesuka mipango yote ya kumtorosha na ndiyo wamempa m400 kurudisha Simba ili wamchukue kama mchezaji huru. Ngoja tuone huu mchezo utakavyo kwisha nani ataibuka kidedea. Muda ni mwalimu mzuri
 
Yanga ndiyo wamesuka mipango yote ya kumtorosha na ndiyo wamempa m400 kurudisha Simba ili wamchukue kama mchezaji huru. Ngoja tuone huu mchezo utakavyo kwisha nani ataibuka kidedea. Muda ni mwalimu mzuri
Pambaneni na hali yenu.
Kibu sio mchezaji wa kucheza Yanga.
Mchezaji gani anamaliza ligi ana goli moja?

Nb. TUMETOKA KWA MAGOMA, TUMEAMIA KWA KIBU D.
 
Pambaneni na hali yenu.
Kibu sio mchezaji wa kucheza Yanga.
Mchezaji gani anamaliza ligi ana goli moja?

Nb. TUMETOKA KWA MAGOMA, TUMEAMIA KWA KIBU D.
Tusubirie tuone litakavyokwisha. Ila kwangu mimi akiondoka poa sana sijaona mchango wake kabisa haiwezekani mshambuliaji msimu mzima goli ameliona mara moja tu, wa nini huyu?
 
Nimeona mitandaoni ati team yangu ya Yanga ndo wanacheza hizi drama za kumrubuni Kibu ili kumsajili.
Huu sio weledi ni jambo baya na uhuni.

Sisi ni watu tushindane katika uhalali sio dhuluma.

Kibu aache mambo ya ajabu akatumikie team yake Simba. Simba wamempa heshima wakampa mkataba na kalipwa pesa ndefu million 760 Bado anawazingua.

Kama alikuwa hataki angeweka wazi Simba wakatafuta mchezaji mwingine akaenda preseason kujiandaa, kama alivofanya Chama alikwambia mapema wakajua kuziba pengo lake.

Kama Yanga tutamsajili huyu Kibu itakuwa ni maudhi
Kwani hao wenye simba yao wanasemaje?
 
Milioni 760?

Hapana sio kweli.

Yanga kumchukua Kibu inawezekana kwa sababu huwa hawashindwagi jambo. Ila Kibu kupewa milioni 760 na Simba hilo lina ukakasi kwa sababu Simba hawawezi kutoa hela yote hiyo kwa Kibu.
 
Back
Top Bottom