Ajira Tanzania
Member
- Feb 8, 2017
- 79
- 27
Wakuu habari zenu...
Nataka kufungua kampuni ambayo itachangia sana kupunguza makali ya ukosefu wa ajira nchini Tanzania.
Tatizo ni kwamba sina hata dala mfukoni. Sitaki kushare idea hapa ila nataka kujua napataje mtaji?
Nataka kufungua kampuni ambayo itachangia sana kupunguza makali ya ukosefu wa ajira nchini Tanzania.
Tatizo ni kwamba sina hata dala mfukoni. Sitaki kushare idea hapa ila nataka kujua napataje mtaji?
Last edited by a moderator: