G.Man
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 1,040
- 2,157
Mbali na mambo mengine kama Business Plan, kuhus swala la mtaji tu mbona rahisi:
1.Andaa idea zako za kueleweka
2.Tafuta watu kadhaa ambao ndo watakuwa mtaji kwako sasa kivipi;
-Njoo mahali kama Jf hapa ambapo unaweza ukawa na mazoea na watu, kama ukiwa member maarufu ni rahis zaid kupata watao kuunga mkono haraka
-Wape watu idea zako kitaalamu( ukiweka mahesab ya mchanganuo utawaloga zaid)
- weka pia mifano kadhaa ya watu either unaowajua au namna yoyote ile waliofanikiwa Sana kupitia uwekezaji kama huo mnaopanga kuufanya
-Kulingana na mchanganuo wako utawapa bajet sas wale unaoona wamevutwa zaid na idea yako na ili kweka attention zaid weka deadline na max number ya watu unao wahitaji...
3.Hakikisha unakuwa mbele kwa karibu kila kitu, mfn; kama mmepanga kufanya survey, we tangulia kwanza mwenyew alf ndo baadae mkija wote unakuwa kama unawapa maelekezo hivi, ni rahisi kuaminiwa zaid.
NB:Kumbuka hutakuwa na hela ya kuchangia, kwahy kama unahitaji ml5 tafuta labd watu kumi uwaambie mnajichanga 500k kila mmoja sidhan kama kuna ataekuuliza mchango wako wewe kama utazingatia kigezo no 3[emoji115] maana kukiwa na mtu ataekuzid uelewa kwenye hilo swala ni rahis kupindua nafasi yako na ni rahis zaid kuwaza kukuuliza wewe mchango wako
Chukua mfano mzuri kwa wale waliokuja na ushawishi kuhusu FOREX
1.Andaa idea zako za kueleweka
2.Tafuta watu kadhaa ambao ndo watakuwa mtaji kwako sasa kivipi;
-Njoo mahali kama Jf hapa ambapo unaweza ukawa na mazoea na watu, kama ukiwa member maarufu ni rahis zaid kupata watao kuunga mkono haraka
-Wape watu idea zako kitaalamu( ukiweka mahesab ya mchanganuo utawaloga zaid)
- weka pia mifano kadhaa ya watu either unaowajua au namna yoyote ile waliofanikiwa Sana kupitia uwekezaji kama huo mnaopanga kuufanya
-Kulingana na mchanganuo wako utawapa bajet sas wale unaoona wamevutwa zaid na idea yako na ili kweka attention zaid weka deadline na max number ya watu unao wahitaji...
3.Hakikisha unakuwa mbele kwa karibu kila kitu, mfn; kama mmepanga kufanya survey, we tangulia kwanza mwenyew alf ndo baadae mkija wote unakuwa kama unawapa maelekezo hivi, ni rahisi kuaminiwa zaid.
NB:Kumbuka hutakuwa na hela ya kuchangia, kwahy kama unahitaji ml5 tafuta labd watu kumi uwaambie mnajichanga 500k kila mmoja sidhan kama kuna ataekuuliza mchango wako wewe kama utazingatia kigezo no 3[emoji115] maana kukiwa na mtu ataekuzid uelewa kwenye hilo swala ni rahis kupindua nafasi yako na ni rahis zaid kuwaza kukuuliza wewe mchango wako
Chukua mfano mzuri kwa wale waliokuja na ushawishi kuhusu FOREX