Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu saaana... Nipo hapa Binti la Kizaramo..
Name calling, utakula Ban sasa hivi! muone kwanza!Mpaka wa Msanga, Masaki, Maneromango, Kisarawe, Kisiju, Kimanzichana, Gezaulole, Chang'ombe, Chanika, Kongowe, Mkuranga, Mtazameni, Kisiju n.k.............Nikimaliza Wazaramo nakuja kwa Wadengereko (wako mods pia)
Name calling, utakula Ban sasa hivi! muone kwanza!
Usipo heshimu JF rules and regulations (zinazo patikana hapa) Moderators wanaweza kuamua kukupa BAN ambayo ni restriction ya kuingia JF as a member kwa muda fulani, au hata BAN ya moja kwa moja (permanent BAN). in short it is a sanction for people who don't behave.Nipo humu JF kila siku, lakini hii Ban sielewi ni kitu gani hiki?
Usipo heshimu JF rules and regulations (zinazo patikana hapa) Moderators wanaweza kuamua kukupa BAN ambayo ni restriction ya kuingia JF as a member kwa muda fulani, au hata BAN ya moja kwa moja (permanent BAN). in short it is a sanction for people who don't behave.
Sipati picha unavyonuna wakati umenyimwa ruhusa na mumeo kwenda ngomani kiparang'anda
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Karibu saaana... Nipo hapa Binti la Kizaramo..
Naja naja,
nashukuru sana!
wazaramo wapo wa kumwaga wee nenda chole uajichagulie
mambo pouwa!! chole ndio uzaramoni kwenyewe!!! kama hupajui sema nkupeleke!!Princess enny,
mambo?
Hivi chole ni ipo wapi?
Goodevning to you!