Yaweza kuwa au inayo? Mgombea anatakiwa kuwa na figure sahihi. Sensa imefanyika 2012, kwanini utumie takwimu za 2010?
Utamtesa kijana wa watu ninachijua mimi takwimu walitoa za jumla kaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaweza kuwa au inayo? Mgombea anatakiwa kuwa na figure sahihi. Sensa imefanyika 2012, kwanini utumie takwimu za 2010?
WanaJamvi
Ninatangaza nia ya kugombea Ubunge kupitia CHADEMA 2015 katika Jimbo la Kyerwa-Kagera. Uwezo wa kuwa mbunge ninao na nia ninayo. Mbunge wetu wa sasa Mhe. Yustace Katagira, amekuwa mbunge tokea 1995 kwa tiketi ya CCM, japo 2000-2005 alipumzishwa na TLP, na akarejea tena 2005-2010 na 2010-2015. CCM kwetu haitusaidii hata kamwe. Mbunge wetu wetu ni mzee (70+), ni mfanya biashara wa kahawa(zao kuu la biashara jimboni kwake-imagine), na huwa haendi Bungeni(mtoro namba moja). Kyerwa nzima yenye wakazi takribani 400,000 haina shule hata moja ya A-level, haina hata Mita moja ya rami, maji ndo usiseme, haina hospitali, haina chuo chochote, hakuna hata nyumba moja yenye umeme, barabara ni tabu kuliko maelezo...ni shida tu. Ni Mzee ambae amekaa kimaslahi zaidi kuliko kuwatumikia wananchi.
Hivyo, wapendwa wanaJamvi nimeamua kwa dhati nijitose kupambana na Mzee huyu kigogo wa CCM ili CHADEMA ipeperushe bendera yake Kyerwa. Naombeni sala na dua zenu juu ya nia yangu ya kuwakomboa wananchi wetu.
Ninahitimisha:israel:
bainisha mipango uliyonayo na siyo kutangaza kugombea bila kubainisha utakavyowasaidia wananchiMimi nimeweka jina langu halisi, nina uhakika wengi wasioweka majina yao halisi bila sababu za msingi hawajiamini. Pia nafikiri ili aweze kusaidiwa ni vizuri akaweka jina lake halisi. Jina alilotumia litafanya wengine waone kuwa anafanya mzaha.
WanaJamvi
Ninatangaza nia ya kugombea Ubunge kupitia CHADEMA 2015 katika Jimbo la Kyerwa-Kagera. Uwezo wa kuwa mbunge ninao na nia ninayo. Mbunge wetu wa sasa Mhe. Yustace Katagira, amekuwa mbunge tokea 1995 kwa tiketi ya CCM, japo 2000-2005 alipumzishwa na TLP, na akarejea tena 2005-2010 na 2010-2015. CCM kwetu haitusaidii hata kamwe. Mbunge wetu wetu ni mzee (70+), ni mfanya biashara wa kahawa(zao kuu la biashara jimboni kwake-imagine), na huwa haendi Bungeni(mtoro namba moja). Kyerwa nzima yenye wakazi takribani 400,000 haina shule hata moja ya A-level, haina hata Mita moja ya rami, maji ndo usiseme, haina hospitali, haina chuo chochote, hakuna hata nyumba moja yenye umeme, barabara ni tabu kuliko maelezo...ni shida tu. Ni Mzee ambae amekaa kimaslahi zaidi kuliko kuwatumikia wananchi.
Hivyo, wapendwa wanaJamvi nimeamua kwa dhati nijitose kupambana na Mzee huyu kigogo wa CCM ili CHADEMA ipeperushe bendera yake Kyerwa. Naombeni sala na dua zenu juu ya nia yangu ya kuwakomboa wananchi wetu.
Ninahitimisha:israel:
WanaJamvi
Ninatangaza nia ya kugombea Ubunge kupitia CHADEMA 2015 katika Jimbo la Kyerwa-Kagera. Uwezo wa kuwa mbunge ninao na nia ninayo. Mbunge wetu wa sasa Mhe. Yustace Katagira, amekuwa mbunge tokea 1995 kwa tiketi ya CCM, japo 2000-2005 alipumzishwa na TLP, na akarejea tena 2005-2010 na 2010-2015. CCM kwetu haitusaidii hata kamwe. Mbunge wetu wetu ni mzee (70+), ni mfanya biashara wa kahawa(zao kuu la biashara jimboni kwake-imagine), na huwa haendi Bungeni(mtoro namba moja). Kyerwa nzima yenye wakazi takribani 400,000 haina shule hata moja ya A-level, haina hata Mita moja ya rami, maji ndo usiseme, haina hospitali, haina chuo chochote, hakuna hata nyumba moja yenye umeme, barabara ni tabu kuliko maelezo...ni shida tu. Ni Mzee ambae amekaa kimaslahi zaidi kuliko kuwatumikia wananchi.
Hivyo, wapendwa wanaJamvi nimeamua kwa dhati nijitose kupambana na Mzee huyu kigogo wa CCM ili CHADEMA ipeperushe bendera yake Kyerwa. Naombeni sala na dua zenu juu ya nia yangu ya kuwakomboa wananchi wetu.
Ninahitimisha:israel:
WanaJamvi
Ninatangaza nia ya kugombea Ubunge kupitia CHADEMA 2015 katika Jimbo la Kyerwa-Kagera. Uwezo wa kuwa mbunge ninao na nia ninayo. Mbunge wetu wa sasa Mhe. Yustace Katagira, amekuwa mbunge tokea 1995 kwa tiketi ya CCM, japo 2000-2005 alipumzishwa na TLP, na akarejea tena 2005-2010 na 2010-2015. CCM kwetu haitusaidii hata kamwe. Mbunge wetu wetu ni mzee (70+), ni mfanya biashara wa kahawa(zao kuu la biashara jimboni kwake-imagine), na huwa haendi Bungeni(mtoro namba moja). Kyerwa nzima yenye wakazi takribani 400,000 haina shule hata moja ya A-level, haina hata Mita moja ya rami, maji ndo usiseme, haina hospitali, haina chuo chochote, hakuna hata nyumba moja yenye umeme, barabara ni tabu kuliko maelezo...ni shida tu. Ni Mzee ambae amekaa kimaslahi zaidi kuliko kuwatumikia wananchi.
Hivyo, wapendwa wanaJamvi nimeamua kwa dhati nijitose kupambana na Mzee huyu kigogo wa CCM ili CHADEMA ipeperushe bendera yake Kyerwa. Naombeni sala na dua zenu juu ya nia yangu ya kuwakomboa wananchi wetu.
Ninahitimisha:israel:
WanaJamvi
Ninatangaza nia ya kugombea Ubunge kupitia CHADEMA 2015 katika Jimbo la Kyerwa-Kagera. Uwezo wa kuwa mbunge ninao na nia ninayo. Mbunge wetu wa sasa Mhe. Yustace Katagira, amekuwa mbunge tokea 1995 kwa tiketi ya CCM, japo 2000-2005 alipumzishwa na TLP, na akarejea tena 2005-2010 na 2010-2015. CCM kwetu haitusaidii hata kamwe. Mbunge wetu wetu ni mzee (70+), ni mfanya biashara wa kahawa(zao kuu la biashara jimboni kwake-imagine), na huwa haendi Bungeni(mtoro namba moja). Kyerwa nzima yenye wakazi takribani 400,000 haina shule hata moja ya A-level, haina hata Mita moja ya rami, maji ndo usiseme, haina hospitali, haina chuo chochote, hakuna hata nyumba moja yenye umeme, barabara ni tabu kuliko maelezo...ni shida tu. Ni Mzee ambae amekaa kimaslahi zaidi kuliko kuwatumikia wananchi.
Hivyo, wapendwa wanaJamvi nimeamua kwa dhati nijitose kupambana na Mzee huyu kigogo wa CCM ili CHADEMA ipeperushe bendera yake Kyerwa. Naombeni sala na dua zenu juu ya nia yangu ya kuwakomboa wananchi wetu.
Ninahitimisha:israel:
Ulipata?Ninakupongeza kwa dhamira yako kama kweli umedhamiria,Niwashauri tena vijana wenzangu na wapenda mabadiliko"KUGOMBEA UDIWANI NI DILI KULIKO HATA UBUNGE"huko ndiko bajeti za halmashauri hutekelezwa na kufanyiwa kazi,huko ndiko unaweza jijenga vizuri san-MWENZENU NAENDA KUGOMBEA UDIWANI WA MAGU MJINI-2015 na nimejipanga vema sana bila kusahau ni kwa tiketi ya Chadema...peooopleeeeez........power hadi kieleweke.nawasilisha.