Nitaijua vipi nyota yangu kwa jina langu na mama?

Nitaijua vipi nyota yangu kwa jina langu na mama?

Shukrani sana ndugu.. Umeelezea kwa njia njema san. [emoji120][emoji120][emoji120]
 
Kuna Sayari inaitwa "Alama simsima." Haihusiani na masuala ya mahesabu ya kiunajimu.

Allah subhanahu wataala baada ya kumuumba Adam A.S kutokana na udongo huo huo akaumba mtende. Kwa udongo huo huo uliobaki akaumba "Alama simsima".

Hii ni sayari! "Akrimuu ammatakumunakhla" Mtume S.A.W aliuita mtende kwa kuupa sifa ya ndugu wa binadamu. Hii sayari ni kubwa! Kuna watu wanaishi kama mimi na wewe na kuna njia ukiifanya unafika na kuingia kwenye sayari. Kuna Malaika pia.

Sijigambi ila najua usichokijua. Sikudharau wala sioni upuuzi. Ninachokiona ni kuwa unajiangamiza wewe mwenyewe na hicho si kitu kizuri.
Mkuu una kichwa kizima sana, sasa kuna sehemu unafika unapiga "spana"

Tuache huko, mwaga somo kidogo kuhusu hiyo sayari "Alama Simsima" au tupia link tukajazie elimu.

Ahsante.
 
Njia za kujuwa nyota yako Njia ya kwanza ni jina lako herufi yako ya mwanzo ndipo utajuwa nyota yako kwa kutumia herufi ya mwanzo wa jina lako. Njia ya pili ya Kwa Kujuwa nyota yako unachukuwa Tarehe yako ya kuzaliwa na mwezi uliozaliwa ndipo utakapoweza kujuwa nyota yako ni ipi? Na Njia ya 3 Njia ya mwisho kujuwa nyota yako kwa kuchukuwa jina lako na jina la mama yako kwa idadi ya herufi za Abjadi unajumlisha herufi za jina lako na jina la mama yako.Kisha una gawa kwa 12%12 itakayobaki ndio itakuwani nyota yako. Kwa Mfano imebaki namba 1: nyota yako ni nyota punda ikibaki namba 2: nyota yako ni nyota ng'ombe ikibaki namba 3: nyota yako ni nyota ya mapacha. Ikibaki namba 4: nyota yako ni nyota ya kaa. Ikibaki namba 5: nyota yako ni nyota ya Simba.Ikibaki namba 6: nyota yako ni nyota ya mashuke ikibaki namba 7: nyota yako ni nyota ya mizani ikibaki namba 8: nyota yako ni nyota ya nge. Ikibaki namba 9: nyota yako ni nyota ya Mshale .Ikibaki namba 10: nyota yako ni nyota mbuzi. Ikibaki namba 11: nyota yako ni nyota ndoo. Na ikibaki namba 12: nyota yako ni nyota ya Samaki. Jifunze kusoma Herufi za Abdjadi kwa kuangalia Video hapo chini.


View attachment 1655648
Sasa mbona Mimi nina manyota mengi Sana? Herufi ya mwanzo B, nyota ya kuzaliwa samaki, nyota ya jina la mama Simba a.k.a ♌ Leo
 
Sasa mbona Mimi nina manyota mengi Sana? Herufi ya mwanzo B, nyota ya kuzaliwa samaki, nyota ya jina la mama Simba a.k.a ♌ Leo
kama unaijuwa tarehe yako ya kuzaliwa na mwezi na mwaka fuata hiyo ndio nyota yako. Kama tarehe yako ya kuzaliwa mtafute mtaalam akufanyie hesabu ya jina lako na jina la mama yako kisha agawe kwa 12/12 itakayobakia ndio nyota yako.
 
Amakweli haitokaa itokee wajinga wakaisha....😂😂😂
Huu ni upuuzi tu kama upuuzi mwingine.
Kwako wewe ni upuuzi kwa watu wengine ni elimu tosha.Kama unaona ni upuuzi usingewezakuweka hata Comment yako tuachie na upuuzi wetu wewe ipotezee mbali hii Thread yetu ya kipuuzi bora usepe na njia yako mkuu.
 
Kuna Sayari inaitwa "Alama simsima." Haihusiani na masuala ya mahesabu ya kiunajimu.

Allah subhanahu wataala baada ya kumuumba Adam A.S kutokana na udongo huo huo akaumba mtende. Kwa udongo huo huo uliobaki akaumba "Alama simsima".

Hii ni sayari! "Akrimuu ammatakumunakhla" Mtume S.A.W aliuita mtende kwa kuupa sifa ya ndugu wa binadamu. Hii sayari ni kubwa! Kuna watu wanaishi kama mimi na wewe na kuna njia ukiifanya unafika na kuingia kwenye sayari. Kuna Malaika pia.

Sijigambi ila najua usichokijua. Sikudharau wala sioni upuuzi. Ninachokiona ni kuwa unajiangamiza wewe mwenyewe na hicho si kitu kizuri.
Rahisi sana kuamini unajimu maana unapimika kuliko hizi hadith zako ambazo wewe unajitapa unazijua ambazo ni hadith tu
 
Rahisi sana kuamini unajimu maana unapimika kuliko hizi hadith zako ambazo wewe unajitapa unazijua ambazo ni hadith tu
Sikulazimishi kuamini na wala sikuandika kwa makusudio ya kuaminiwa na jamii ya JF.
 
Basi usiwanange watu wanaoamini unajimu maana hawakulazimishi wewe kuuamini.
Hakuna mahala nilipowananga bali nimekiandika kilicho kweli ninachokijua kilichofichikana kwa watu.

Sasa wewe umeandika nini zaidi ya ulichokifikiri?!
 
Hakuna mahala nilipowananga bali nimekiandika kilicho kweli ninachokijua kilichofichikana kwa watu.

Sasa wewe umeandika nini zaidi ya ulichokifikiri?!
wewe umekuta watu wanatembea na boxa halafu ukaanza kuwapondea badala ya kuwapa nguo kumbe nawewe uko Uchi kabisa.
Kuhusu kujua na kufikiri ni distractions tu..Unaweza jiona unajua kumbe unajua alichofikiri tu jamaa fulani wewe umekisoma unajiona unakijua
 
wewe umekuta watu wanatembea na boxa halafu ukaanza kuwapondea badala ya kuwapa nguo kumbe nawewe uko Uchi kabisa.
Kuhusu kujua na kufikiri ni distractions tu..Unaweza jiona unajua kumbe unajua alichofikiri tu jamaa fulani wewe umekisoma unajiona unakijua
Herufi nyingi lakini ulichokiandika ni hisiya tu! Hakina umadhubuti wa aina yoyote.
 
Njia za kujuwa nyota yako Njia ya kwanza ni jina lako herufi yako ya mwanzo ndipo utajuwa nyota yako kwa kutumia herufi ya mwanzo wa jina lako. Njia ya pili ya Kwa Kujuwa nyota yako unachukuwa Tarehe yako ya kuzaliwa na mwezi uliozaliwa ndipo utakapoweza kujuwa nyota yako ni ipi? Na Njia ya 3 Njia ya mwisho kujuwa nyota yako kwa kuchukuwa jina lako na jina la mama yako kwa idadi ya herufi za Abjadi unajumlisha herufi za jina lako na jina la mama yako.Kisha una gawa kwa 12%12 itakayobaki ndio itakuwani nyota yako. Kwa Mfano imebaki namba 1: nyota yako ni nyota punda ikibaki namba 2: nyota yako ni nyota ng'ombe ikibaki namba 3: nyota yako ni nyota ya mapacha. Ikibaki namba 4: nyota yako ni nyota ya kaa. Ikibaki namba 5: nyota yako ni nyota ya Simba.Ikibaki namba 6: nyota yako ni nyota ya mashuke ikibaki namba 7: nyota yako ni nyota ya mizani ikibaki namba 8: nyota yako ni nyota ya nge. Ikibaki namba 9: nyota yako ni nyota ya Mshale .Ikibaki namba 10: nyota yako ni nyota mbuzi. Ikibaki namba 11: nyota yako ni nyota ndoo. Na ikibaki namba 12: nyota yako ni nyota ya Samaki. Jifunze kusoma Herufi za Abdjadi kwa kuangalia Video hapo chini.


View attachment 1655648
je na ikiwa jibu la decimal inakuwaje..?
 
Njia za kujuwa nyota yako Njia ya kwanza ni jina lako herufi yako ya mwanzo ndipo utajuwa nyota yako kwa kutumia herufi ya mwanzo wa jina lako. Njia ya pili ya Kwa Kujuwa nyota yako unachukuwa Tarehe yako ya kuzaliwa na mwezi uliozaliwa ndipo utakapoweza kujuwa nyota yako ni ipi? Na Njia ya 3 Njia ya mwisho kujuwa nyota yako kwa kuchukuwa jina lako na jina la mama yako kwa idadi ya herufi za Abjadi unajumlisha herufi za jina lako na jina la mama yako.Kisha una gawa kwa 12%12 itakayobaki ndio itakuwani nyota yako. Kwa Mfano imebaki namba 1: nyota yako ni nyota punda ikibaki namba 2: nyota yako ni nyota ng'ombe ikibaki namba 3: nyota yako ni nyota ya mapacha. Ikibaki namba 4: nyota yako ni nyota ya kaa. Ikibaki namba 5: nyota yako ni nyota ya Simba.Ikibaki namba 6: nyota yako ni nyota ya mashuke ikibaki namba 7: nyota yako ni nyota ya mizani ikibaki namba 8: nyota yako ni nyota ya nge. Ikibaki namba 9: nyota yako ni nyota ya Mshale .Ikibaki namba 10: nyota yako ni nyota mbuzi. Ikibaki namba 11: nyota yako ni nyota ndoo. Na ikibaki namba 12: nyota yako ni nyota ya Samaki. Jifunze kusoma Herufi za Abdjadi kwa kuangalia Video hapo chini.


View attachment 1655648
Unatumiaje tarehe mwaka na mwezi uliozaliwa ,utajuaje
 
Back
Top Bottom