Nitaijua vipi nyota yangu kwa jina langu na mama?

Nitaijua vipi nyota yangu kwa jina langu na mama?

Unatumiaje tarehe mwaka na mwezi uliozaliwa ,utajuaje
Nyota ya Kwanza ni

NYOTA YA PUNDA AU KONDOO (ARIES)

Hii ni nyota ya kwanza katika mlolongo wa nyota 12.
Wenye nyota hii ni wale waliozaliwa kati ya tarehe 21st March na Mpaka tarehe 19 April ya mwaka wowote.

Sayari yao ni Mars (Mariikh)

Siku yao ya bahati ni Jumanne

Namba yao ya bahati ni 9


Rangi yao ya Bahati ni Nyekundu.

Asili yao ni Moto.


Nyota ya Pili

NYOTA YA NG'OMBE
(TAURUS)


Hii ni nyota ya pili katika mlolongo wa nyota 12.

Wenye nyota hii ni wale ambao wamezaliwa kati ya tarehe 21 April na Mpaka May 20 ya mwaka wowote.

Sayari yao ni Venus (Zuhura).

Siku yao ya bahati ni Ijumaa.


Namba yao ya bahati ni 6.

Rangi yao ya bahati ni kijani.

Asili ya nyota yao ni Udongo.


Nyota ya Tatu

NYOTA YA MAPACHA (GEMINI)


Hii ni nyota ya tatu katika mlolongo wa nyota 12.

Wenye nyota hii ni wale waliozaliwa kati ya tarehe 21 Mei na Mpaka 20 Juni ya mwaka wowote.

Sayari yao ni Mercury (Attarid).

Siku yao ya bahati ni Jumatano.


Namba yao ya bahati ni 5.

Rangi yao ya bahati ni njano na bluu isiyoiva.

Asili ya nyota yao ni upepo.


Nyota ya nne

NYOTA YA KAA (CANCER)


Hii ni nyota ya nne katika mlolongo wa nyota 12.

Wenye nyota hii ni wale waliozaliwa kati ya tarehe 21 Juni na Mpaka tarehe 20 July ya mwaka wowote.

Sayari yao ni mwezi (moon).

Siku yao ya bahati ni Jumatatu.


Namba yao ya bahati ni 2 na 7.

Rangi yao ya bahati ni Nyeupe.

Asili ya nyota yao ni Maji.


Nyota ya Tano ni:

NYOTA YA SIMBA (LEO)


Hii ni nyota ya tano katika mlolongo wa nyota kumi na mbili.

Wenye nyota hii ni wale waliozaliwa kati ya tarehe 21Julai na mpaka 21 Agosti.

Sayari yao ni Jua (Sun).

Siku yao ya bahati ni Jumapili.


Namba yao ya bahati ni 1 na 4.

Rangi yao ya bahati ni Njano au rangi ya Dhahabu.

Asili ya nyota yao ni moto.


Nyota Sita ni:

NYOTA YA MASHUKE (VIRGO)


Hii ni nyota ya sita kwenye mlolongo wa nyota 12.
Wenye nyota hii ni wale wote ambao wamezaliwa kati ya tarehe 23 Agosti na Mpaka 22 Septemba ya mwaka wowote.
Siku yao ya bahati ni Jumatano.
Namba yao ya bahati ni 5.
Rangi zao ya bahati ni Njano na Bluu isiyoiva.
Asili yao ni Udongo.

NYOTA YA SABA::

NYOTA YA MIZANI (LIBRA)


Hii ni nyota ya saba katika mlolongo wa nyota 12

Wenye nyota hii ni wale waliozaliwa kati ya tarehe 23 September na mpaka 22 Oktoba ya mwaka wowote.

Sayari yao ni VENUS (ZUHURA).

Siku yao ya Bahati ni Ijumaa.

Namba ya Bahati ni 6.

Rangi ya Bahati ni Kijani isiyoiva.

Asili ya nyota hii ni Hewa.


NYOTA YA NANE:::

NYOTA YA NG'E (SCORPIO)


Hii ni nyota ya 8 katika mlolongo wa nyota 12.

Wenye nyota hii ni wale waliozaliwa kati ya tarehe 23 October na mpaka 21 Novemba ya mwaka wowote.

Sayari yao ni MARS (MARIIKH).

Siku yao ya Bahati ni Jumanne
.

Namba yao ya bahati ni 9.

Rangi ya bahati ni Nyekundu isiyoiva au Maroon.

Asili yao ni MAJI.


NYOTA YA TISA:::

NYOTA YA MSHALE (SAGITTARIUS)


Hii ni nyota ya tisa katika mlolongo wa nyota 12.

Wenye nyota hii ni wale waliozaliwa kati ya tarehe 22 November na mpaka 21 December ya mwaka wowote.

Sayari yao ni Jupiter (Mushtary).

Siku yao ya Bahati ni Alhamisi.

Namba yao ya Bahati ni 3.

Rangi yao ya Bahati ni Hudhurungi.

Asili yao ni MOTO.


NYOTA YA KUMI:::::

NYOTA YA MBUZI (CAPRICON)


Hii ni nyota ya kumi katika mlolongo wa nyota 12.

Wenye nyota hii ni wale waliozaliwa kati ya tarehe 22 Dec na 19 Jan ya mwaka wowote.

Sayari yao ni SATURN (ZOHAL)

Siku yao ya bahati ni Jumamosi.

Namba yao ya bahati ni 8.

Rangi yao ya bahati ni rangi ya Kijivu au Nyeusi.

Asili yao ni Udongo.


NYOTA YA KUMI NA MOJA:::

NYOTA YA NDOO (AQUARIUS)


Hii ni nyota ya kumi na moja katika mlolongo wa nyota 12.

Wenye nyota hii ni wale waliozaliwa kati ya tarehe 20 January na 18 February.

Sayari yao ni SATURN (ZOHAL).

Siku yao ya bahati ni Jumamosi.

Namba yao ya bahati ni 8.

Rangi yake ya bahati ni Nyeusi.

Asili ya nyota hii ni Hewa.


NYOTA YA KUMI NA MBILI:::

NYOTA YA SAMAKI (PISCES)


Hii ni nyota ya 12 katika mlolongo wa nyota 12

Wenye nyota hii ni wale waliozaliwa kati ya tarehe 19 February na mpaka tarehe 20 Machi.

Sayari yao ni JUPITER (MUSHTARA)

Siku yao ya Bahati ni Alhamisi.

Namba yao ya Bahati ni 8.

Rangi yao ya Bahati ni Zambarau au Kahawia iliyochangamka.

Asili ya nyota yao ni Maji.

Tosheka na hayo maelezo yangu kwa leo.
 
Mkuu kunasehemu umesema MTU anweza tumia jina LA kwake na LA mama take, he hapo tunatumia majina kamili yani langu na LA baba angu na mama angu na baba ake ama ? ikibiditoa mfano ili nielewe zaidi
Nyota ya Kwanza ni

NYOTA YA PUNDA AU KONDOO (ARIES)

Hii ni nyota ya kwanza katika mlolongo wa nyota 12.
Wenye nyota hii ni wale waliozaliwa kati ya tarehe 21st March na Mpaka tarehe 19 April ya mwaka wowote.

Sayari yao ni Mars (Mariikh)

Siku yao ya bahati ni Jumanne

Namba yao ya bahati ni 9


Rangi yao ya Bahati ni Nyekundu.

Asili yao ni Moto.


Nyota ya Pili

NYOTA YA NG'OMBE
(TAURUS)


Hii ni nyota ya pili katika mlolongo wa nyota 12.

Wenye nyota hii ni wale ambao wamezaliwa kati ya tarehe 21 April na Mpaka May 20 ya mwaka wowote.

Sayari yao ni Venus (Zuhura).

Siku yao ya bahati ni Ijumaa.


Namba yao ya bahati ni 6.

Rangi yao ya bahati ni kijani.

Asili ya nyota yao ni Udongo.


Nyota ya Tatu

NYOTA YA MAPACHA (GEMINI)


Hii ni nyota ya tatu katika mlolongo wa nyota 12.

Wenye nyota hii ni wale waliozaliwa kati ya tarehe 21 Mei na Mpaka 20 Juni ya mwaka wowote.

Sayari yao ni Mercury (Attarid).

Siku yao ya bahati ni Jumatano.


Namba yao ya bahati ni 5.

Rangi yao ya bahati ni njano na bluu isiyoiva.

Asili ya nyota yao ni upepo.


Nyota ya nne

NYOTA YA KAA (CANCER)


Hii ni nyota ya nne katika mlolongo wa nyota 12.

Wenye nyota hii ni wale waliozaliwa kati ya tarehe 21 Juni na Mpaka tarehe 20 July ya mwaka wowote.

Sayari yao ni mwezi (moon).

Siku yao ya bahati ni Jumatatu.


Namba yao ya bahati ni 2 na 7.

Rangi yao ya bahati ni Nyeupe.

Asili ya nyota yao ni Maji.


Nyota ya Tano ni:

NYOTA YA SIMBA (LEO)


Hii ni nyota ya tano katika mlolongo wa nyota kumi na mbili.

Wenye nyota hii ni wale waliozaliwa kati ya tarehe 21Julai na mpaka 21 Agosti.

Sayari yao ni Jua (Sun).

Siku yao ya bahati ni Jumapili.


Namba yao ya bahati ni 1 na 4.

Rangi yao ya bahati ni Njano au rangi ya Dhahabu.

Asili ya nyota yao ni moto.


Nyota Sita ni:

NYOTA YA MASHUKE (VIRGO)


Hii ni nyota ya sita kwenye mlolongo wa nyota 12.
Wenye nyota hii ni wale wote ambao wamezaliwa kati ya tarehe 23 Agosti na Mpaka 22 Septemba ya mwaka wowote.
Siku yao ya bahati ni Jumatano.
Namba yao ya bahati ni 5.
Rangi zao ya bahati ni Njano na Bluu isiyoiva.
Asili yao ni Udongo.

NYOTA YA SABA::

NYOTA YA MIZANI (LIBRA)


Hii ni nyota ya saba katika mlolongo wa nyota 12

Wenye nyota hii ni wale waliozaliwa kati ya tarehe 23 September na mpaka 22 Oktoba ya mwaka wowote.

Sayari yao ni VENUS (ZUHURA).

Siku yao ya Bahati ni Ijumaa.

Namba ya Bahati ni 6.

Rangi ya Bahati ni Kijani isiyoiva.

Asili ya nyota hii ni Hewa.


NYOTA YA NANE:::

NYOTA YA NG'E (SCORPIO)


Hii ni nyota ya 8 katika mlolongo wa nyota 12.

Wenye nyota hii ni wale waliozaliwa kati ya tarehe 23 October na mpaka 21 Novemba ya mwaka wowote.

Sayari yao ni MARS (MARIIKH).

Siku yao ya Bahati ni Jumanne
.

Namba yao ya bahati ni 9.

Rangi ya bahati ni Nyekundu isiyoiva au Maroon.

Asili yao ni MAJI.


NYOTA YA TISA:::

NYOTA YA MSHALE (SAGITTARIUS)


Hii ni nyota ya tisa katika mlolongo wa nyota 12.

Wenye nyota hii ni wale waliozaliwa kati ya tarehe 22 November na mpaka 21 December ya mwaka wowote.

Sayari yao ni Jupiter (Mushtary).

Siku yao ya Bahati ni Alhamisi.

Namba yao ya Bahati ni 3.

Rangi yao ya Bahati ni Hudhurungi.

Asili yao ni MOTO.


NYOTA YA KUMI:::::

NYOTA YA MBUZI (CAPRICON)


Hii ni nyota ya kumi katika mlolongo wa nyota 12.

Wenye nyota hii ni wale waliozaliwa kati ya tarehe 22 Dec na 19 Jan ya mwaka wowote.

Sayari yao ni SATURN (ZOHAL)

Siku yao ya bahati ni Jumamosi.

Namba yao ya bahati ni 8.

Rangi yao ya bahati ni rangi ya Kijivu au Nyeusi.

Asili yao ni Udongo.


NYOTA YA KUMI NA MOJA:::

NYOTA YA NDOO (AQUARIUS)


Hii ni nyota ya kumi na moja katika mlolongo wa nyota 12.

Wenye nyota hii ni wale waliozaliwa kati ya tarehe 20 January na 18 February.

Sayari yao ni SATURN (ZOHAL).

Siku yao ya bahati ni Jumamosi.

Namba yao ya bahati ni 8.

Rangi yake ya bahati ni Nyeusi.

Asili ya nyota hii ni Hewa.


NYOTA YA KUMI NA MBILI:::

NYOTA YA SAMAKI (PISCES)


Hii ni nyota ya 12 katika mlolongo wa nyota 12

Wenye nyota hii ni wale waliozaliwa kati ya tarehe 19 February na mpaka tarehe 20 Machi.

Sayari yao ni JUPITER (MUSHTARA)

Siku yao ya Bahati ni Alhamisi.

Namba yao ya Bahati ni 8.

Rangi yao ya Bahati ni Zambarau au Kahawia iliyochangamka.

Asili ya nyota yao ni Maji.

Tosheka na hayo maelezo yangu kwa leo.
 
Mkuu kunasehemu umesema MTU anweza tumia jina LA kwake na LA mama take, he hapo tunatumia majina kamili yani langu na LA baba angu na mama angu na baba ake ama ? ikibiditoa mfano ili nielewe zaidi
Kama hujuwi tarehe yako ya kuzaliwa na mwezi pia haujuwi basi tumia jina lako na jina la mama kama nilivyo weka hiyo video ufanye hesabu wee mwenyewe.
 
Umezaliwa 17-05-1978


1+7+0+5+1+9+7+8=?
UmezaliwaTarehe 17-05-1978 nyota yako ni nyota ya N'gombe aka Taurus unatizama nyota ya N'gombe Aka Taurus.

Nyota ya Pili kati ya nyota 12

NYOTA YA NG'OMBE
(TAURUS)


Hii ni nyota ya pili katika mlolongo wa nyota 12.

Wenye nyota hii ni wale ambao wamezaliwa kati ya tarehe 21 April na Mpaka May 20 ya mwaka wowote.

Sayari yao ni Venus (Zuhura).

Siku yao ya bahati ni Ijumaa.


Namba yao ya bahati ni 6.

Rangi yao ya bahati ni kijani.

Ng'ombe ni nyota yenye sifa za ukimya, upole, sikivu, usawa, ujeuri na kutokukubali kubadilika.

KIPAJI CHA NG'OMBE

(BODY-CENTERED)
Wenye nyota hii wana kipaji kikubwa kilicho ndani ya mwili wao ambacho ni pamoja na kuelewa mambo kimbele, hesabu, kuponya kwa kutumia mikono na kwa kumwagia mtu maji.

TABIA YA NG'OMBE:
Wenye nyota hii ni watu wanaopenda kujishughulisha katika shughuli nyingi. Ni watu wakarimu na wanaopenda kusaidia watu, na wana tabia ya uvumilivu na subira katika jambo lolote wanalolifanya.
Ni watu wenye malengo na wenye msimamo thabiti, wasiopenda kupindishwa na wana tabia ya ubishi na ukaidi hasa katika jambo lao wanalolitaka.

TABIA YA NG'OMBE KATIKA MAPENZI:
Wenye nyota hii ni waaminifu sana katika mapenzi na wanaohitaji ulinzi katika mapenzi na njia au mwenendo unaoeleweka.
Pamoja na kwamba asili yao ni udongo, wanaweza kuwa ni wenye mahaba na mapenzi makubwa kwa wapenzi wao.
Uhakika wa mapenzi ndio jambo kubwa ambalo wenye nyota hii huangalia kwanza na baadae Penzi hilo liwe lenye hisia na mpangilio.

Pamoja na hisia kali walizonazo, wao ni watu imara na wasiobadilika hivyo kuwafanya watu wenye shauku kutovutiwa nao. Uaminifu ni jambo la pili ambalo wenye nyota hii wanalo hivyo kuwafanya wao wawe watu wenye kuaminika na hiyo inasababisha wawe wenye wivu kupindukia.

Wanachotakiwa kufanya ni kujitahidi kuwapa nafasi wapenzi wao la sivyo watajikuta wako peke yao. Ndoa kwao ndio uamuzi mzuri kuliko kuishi na wapenzi. Tabia yao ni ya kudumisha jambo fulani wanaloliamini au walilolianzisha na hawapendi kubadilishwa.

MATATIZO YA KIAFYA:
Nyota hii inatawala shingo, koo, koromeo, kidevu na sehemu ya chini ya taya.
Kwa asili wenye nyota hii ni watu wabishi na wenye kufanya mambo kwa upole na wagumu kubadilika.

Wanapenda sana vyakula vitamu na vyenye mafuta na huwezi kuwabadilisha katika hilo na wengi wao wanakuwa wanene kupita kiasi na inakuwa ni vigumu sana kuwashawishi kuamka na kufanya mazoezi ya mwili.

Tatizo lingine ni kufanya kazi kupita kiasi ambalo linawafanya wapate matatizo ya mvutano na misuli hasa katika sehemu zilizotajwa. wenye nyota hii wanatakiwa wajihadhari na mpangilio wao wa chakula na wafanye mazoezi kwa wingi.

KAZI ZA WENYE NYOTA YA NG'OMBE:

Wenye nyota hii wana falsafa ifuatayo kulingana na kazi; "panda mbegu iote, mti uote halafu ule matunda". Ni watu ambao wanafuata mpangilio wa kikazi na wanaopenda kujituma na kujishughulisha. Wengi wenye nyota hii ni wafanyakazi wazuri na wanapenda wapewe muda kujenga vipaji na utaalamu wao wa kazi.

Kazi zao zinakuwa kazi za muziki, kazi zinazohusiana na chakula, hoteli, migahawa, kazi za ujenzi, kazi za mashamba, kazi za uhasibu, na kazi za sanaa hasa uchoraji au uchongaji vinyago.

FAMILIA ZA NG'OMBE:

Wazazi wa familia za Ng'ombe ni watu wenye msimamo, wakutegemewa na wanaothamini familia zao, na wako tayari kugombana na mtu yeyote kwa ajili ya watoto wao. Ni wazazi wanaopenda kufuata mambo ya kizamani au ya asili hasa katika masuala ya nidhamu. wanapenda sana kuheshimiwa na watoto wao na huwashawishi au kuwashauri wawe huru.

Ni wazazi wanaotegemea watoto wao wafuate nyayo zao hasa katika biashara au kazi wanazozifanya, hivyo watoto wa wazazi Ng'ombe wanakuwa na muda mdogo wa kufikiria mambo mapya. Ni wazazi ambao hufanya kazi kwa bidii kuhakikisha watoto wao hawakosi wanachokitaka na wanapenda watoto wao wawe na elimu nzuri. Hata hivyo ni wazazi ambao wanategemea watoto wao wafuate wanavyotaka wao vinginevyo inakuwa matatizo.

MADINI YA NG'OMBE:
Wenye nyota hii wanatakiwa wavae vito vinavyoitwa ALMASI au EMARALD.
Mawe haya yanawafanya wenye nyota ya ng'ombe wawe katika hali yao ya kike kike (Feminine) vili vile thamani ya mawe haya ni uthibitisho wa nyota hii katika fedha.

UHUSIANO WA KIMAPENZI:
Tabia ya uaminifu na ukweli waliokuwa nao wenye nyota ya ng'ombe inakuwa ni faraja kubwa kwa nyota ya Nge ambao wana tabia ya wivu kupita kiasi na kudhania maovu, kutuhumu na kushuku.

VYAKULA VYA NG'OMBE:
Wenye nyota hii wanashauriwa wapende kula vyakula vifuatavyo ambavyo ndivyo vinavyotawaliwa na nyota yao; Tofaa (apple), (oysters), viazi mbatata (potatoes), na dover sole.

NCHI ZA NG'OMBE:
Ili kupata mafanikio ya kinyota, kwa wale wenye uwezo wanashauriwa aidha kuishi au kutembelea nchi au miji ifuatayo ambayo inatawaliwa na nyota yao; baadhi ya nchi hizo ni USSR (Urusi), Ireland, St louis,na Lucerne (Switzerland).

RANGI ZA NGOMBE:
Wenye nyota hii wanashauriwa kinyota wapake au watumie rangi za kijani au rangi za pinki au rangi ya bluu ambayo haijakoza katika nyumba zao au sehemu zao ya biashara ili kuleta mvuto wa kinyota.

FUNGUO:
Funguo za mafanikio yao ni "NINACHO" kujihisi kuwa teyari kashakimiliki anachokitaka basi hukipata
 
Kama hujuwi tarehe yako ya kuzaliwa na mwezi pia haujuwi basi tumia jina lako na jina la mama kama nilivyo weka hiyo video ufanye hesabu wee mwenyewe.
Nashukuru mkuu,sema niliomba utoe mfano kidogo ili nielewe zaidi
 
Nashukuru mkuu,sema niliomba utoe mfano kidogo ili nielewe zaidi
Njia za kujuwa nyota yako Njia ya kwanza ni jina lako herufi yako ya mwanzo ndipo utajuwa nyota yako kwa kutumia herufi ya mwanzo wa jina lako. Njia ya pili ya Kwa Kujuwa nyota yako unachukuwa Tarehe yako ya kuzaliwa na mwezi uliozaliwa ndipo utakapoweza kujuwa nyota yako ni ipi? Na Njia ya 3 Njia ya mwisho kujuwa nyota yako kwa kuchukuwa jina lako na jina la mama yako kwa idadi ya herufi za Abjadi unajumlisha herufi za jina lako na jina la mama yako.Kisha una gawa kwa 12%12 itakayobaki ndio itakuwani nyota yako. Kwa Mfano imebaki namba 1: nyota yako ni nyota punda ikibaki namba 2: nyota yako ni nyota ng'ombe ikibaki namba 3: nyota yako ni nyota ya mapacha. Ikibaki namba 4: nyota yako ni nyota ya kaa. Ikibaki namba 5: nyota yako ni nyota ya Simba.Ikibaki namba 6: nyota yako ni nyota ya mashuke ikibaki namba 7: nyota yako ni nyota ya mizani ikibaki namba 8: nyota yako ni nyota ya nge. Ikibaki namba 9: nyota yako ni nyota ya Mshale .Ikibaki namba 10: nyota yako ni nyota mbuzi. Ikibaki namba 11: nyota yako ni nyota ndoo. Na ikibaki namba 12: nyota yako ni nyota ya Samaki. Jifunze kusoma Herufi za Abdjadi kwa kuangalia Video hapo chini.

 
Siku zote mambo yaliyo juu ya ukawaida wa mazingira na mazingara ya binadamu imma yawe ya kweli au yawe ya kusadikika yanastajaabisha na yanavutia kwa wakati mmoja na ndicho kilichokuwa kwa huyo Mzee.

Yule mzee hakuwa na elimu ya astronomy hii ambayo ya kuchunguza maumbile asili ya anga na kutambua mienendo ya juu bali alikuwa na elimu ya unajimu (astrology).

Elimu hii ni elimu inayotaka kuhusiana au kuendana na elimu ya astronomy ila utofauti wake ni kuwa astrology inaelezea sana mwenendo wa viumbe hai kwa ujumla na inahusisha viumbe hai na anga. Ila elimu ya astronomy inaelezea elimu ya anga peke yake.

wanajimu wanaamini elimu ya anga ambayo ni nyota, sayari na mwezi zina uhusiano wa kitabia, kiasili, kimaumbile, kimaisha, kimali, kimaradhi, kitiba na kifo na kimajira ya sayari ya dunia na vilivyomo. Wanajimu wanaamini Mungu aliumba vitu na viumbe kimahesabu, mahesabu hayo yanakani inayoingiliana na mwenendo wa maisha ya viumbe hai alivyoviumba Mungu.

Kwa kuwa vilivyomo angani na magimba na sayari zilizokusanya na nyota kwa kuwa zinakwenda kimahesabu maalumu: Kwa hayo wanajimu wanaamini Mungu aliumba asili 4. Asili ya vilivyo na moto, udongo, upepo na maji. Wao wanaamini asili hizi nne(4) ziliweza kuzaa asili saba (7) na matawi yake mawili (2) ambayo Mungu aliumba mbingu saba (7), ardhi saba(7) kwa tabaka, bahari saba (7), mabara saba (7), sayari kubwa zipo saba(7): kwa hayo wanajimu wanaaamini vitu hivyo saba vinatokana na asili hizo nne.

Kwa hayo mahesabu wanaamini kwa dhati kabisa ya kwamba; Bahati, raha, shida, mafanikio, maradhi, kifo na maisha yote kwa ujumla yanayomwangukia binadamu qadar/dira/uongofu wake yanahusiana kwa dhati kabisa na mzunguko wa nyota, sayari na mwezi.

Wanajimu wanachokifanya ni ramli! Ni udanganyifu, ni utapeli. Hata huyo marehemu alishindwa kutabiri kifo chake, walau hata mahali atakapofia au siku pengine. Hayo yote alishindwa. Hiyo elimu inafika mbali kabisa inajihusisha na ushirikina. Kwa sababu marehemu miaka ya nyuma kabisa huko kabla ya kujikita rasmi kwenye hiyo elimu alikamatwa akiwa pamoja na mwalimu wake aliyemfundisha huo unajimu.

Mwalimu wake alimuaga anaondoka kwa kujigeuza umbile kuwa chura na kutoka ndani ya selo.
Uchawi upo au haupo
 
Kuna Sayari inaitwa "Alama simsima." Haihusiani na masuala ya mahesabu ya kiunajimu.

Allah subhanahu wataala baada ya kumuumba Adam A.S kutokana na udongo huo huo akaumba mtende. Kwa udongo huo huo uliobaki akaumba "Alama simsima".

Hii ni sayari! "Akrimuu ammatakumunakhla" Mtume S.A.W aliuita mtende kwa kuupa sifa ya ndugu wa binadamu. Hii sayari ni kubwa! Kuna watu wanaishi kama mimi na wewe na kuna njia ukiifanya unafika na kuingia kwenye sayari. Kuna Malaika pia
ndo walewale hebu tuambie hyo njia ukiifanya unafka hyo sayari? kama sio ushirikina ni nin
 
Mkuu kitu kipya hiki, natamani kupata elimu kuhusu Mwl wa Yahya na hicho kitendo cha kuwekwa selo, maana ni kitu kipya kabisa
 
Back
Top Bottom