Nitaitambuaje kuwa mimba ni yangu?

comesucces

Senior Member
Joined
Feb 21, 2017
Posts
160
Reaction score
105
Helo wakuu,

Ninaombeni msaada, kama kuna mbinu mbalimbali za asili za kutambua kuwa mimba ni yako au hata kama kuna vipimo ambavyo vinaweza kuonyesha maabara kwamba hii mimba ni yangu na vipi gharama zake?
 
Vipimo vya naabara ni DNA, tofauti na hapo akinana dokta manyaunyau wanaweza kukusaidia
 
Miez nane iliyopita ilitoka lipoti ya wtaalamu waliofny taft kuhus masuala hay y uzazi wakagundua 50% wa akina mama wote wanaishi na waume zao watoto wanaowamilikixha bab hao co watto wao lait DNA ingkuwa rahc kma maralia weng wangkuja kujua pengne kat y watto watano mmoja ama wawili ndio wake wengine wte pita ni kupite alichpukia ndani
 
Vichunguze vidole vya mikono kama vinafanana na vyako au paji la uso kama unafanana na ukoo wenu,pia Bibi au Mama hasa kama ana umri mkubwa wana utambuzi wao kwa Wajukuu halal na wasio halal.
 
Helo wakuu,

Ninaombeni msaada, kama kuna mbinu mbalimbali za asili za kutambua kuwa mimba ni yako au hata kama kuna vipimo ambavyo vinaweza kuonyesha maabara kwamba hii mimba ni yangu na vipi gharama zake?

- Usipoona siku zako (menstrual period) ujue mimba ni yako
- Ukiona unapata kichefuchefu asubuhi na kutapika (morning sickness) ujue mimba ni yako
- Ukiona tumbo lako linazidi kukua siku hadi siku ujue mimba ni yako.
 
Wakat unamkojolea ulidgani mimba itakuwa ya nani?!
 
swali ulimtia au hukumtia?
je ulitumia condom au hukutumia?
nijibu kwanza halafu nikupe njia
helo miss chagga kama kuna msaada unaweza kunisaidia kama naweza kujua kwa namna IPI maana hata nikijibu au nisijibu hayo maswali just mbinu haibadiliki
 
Vp uyo mwenye mimba anakuchukia au vp?
Na akikuona vp?
 
Daah hio ya kuchukia si mpaka mimba iwe kubwa maana yeye ana only 2 weeks
Haijalishi, mimba kuwa yako kuna dalili nyingi sana, binafsi
1. Alikuwa anapenda tisheti zangu lakini mi alikuwa ananichukia
2. Nipo kazini ananipigia simu nirudi nyumbani, nikifika anakasirika
3. Hata nijipulizie pafyumu nzuri na ya bei mbaya, ye bado anasema nanuka
4. Nikivua shati ye analichukua na kulinusa, eti anapenda harufu ya jasho langu
5. Nikijamba mi kosa akijamba ye unanukia
6. Nikioga hata mara 3 kwa siku anasema nanuka lakini ye ilikuwa hata siku 3 zinapita haogi
7. E.t.c
Kwa dalili hizi basi nilijua kuwa hiyo ni yangu kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…