GP Logistics Company
JF-Expert Member
- Feb 12, 2022
- 407
- 548
- Thread starter
- #221
Bidhaa zilizopotea tumezirudisha sokoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana mkuu naomba uni pm namba ya mzigo nikuangalizie status ya mzgio wako,free membership ni free bila malipo.Habari za asubuhi,Mzigi wakwanza ulichukua week tatu, mzigo wapili umechuka zaidi ya mwezi kimsingi nimeshachukua pesa ya mzigo kwa wateja wangu naomba up date mzigo utafika lini?.
Jana nilijiunga na free membership chakushangaza siweze kuapata kua access jukwaa la kuinuana naomba masaada kunabaadhi ya vitu pale vinatole bure vinanifaa.
Nikutumia angaliaPole sana mkuu naomba uni pm namba ya mzigo nikuangalizie status ya mzgio wako,free membership ni free bila malipo.
Nipe model code ya PradoExhaust catalystic ya prado 150 ya 2014. Nipe bei..
Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
Office zipo mkuuKuna office au tunamaliza humuhum mtandaona
Vko kwenye mzigo kama bado unatufa utapata.Kioo cha hp pavillion 14 inch....
Ziko mbili tu mzigo unakaribia kufikaPs 4
Yes nitahitaji.Vko kwenye mzigo kama bado unatufa utapata.
Ingia kwenye website yetu mkuuYes nitahitaji.
Bei?
vipi?Kama upo Dar nakupa order yangu
Iphone 12 pro
Kimoko,Ingia kwenye website yetu mkuu
please! ebu niandikie hiyo website yenu hapa na mimi nipate kuingiaIngia kwenye website yetu utapata majibuyote ya maswali yako
mi ninayo mkuu ni zile zipo kama blackberyNatafuta simu, NOKIA X2-01
Naweza pata?
Naomba picha niione
www.digxam.complease! ebu niandikie hiyo website yenu hapa na mimi nipate kuingia
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app