Nitajie aina ya Simu, laptop, camera, iPad nikuagizie kwa gharama zangu. Utalipia mzigo baada ya kufika

Nitajie aina ya Simu, laptop, camera, iPad nikuagizie kwa gharama zangu. Utalipia mzigo baada ya kufika

Kimoko,

Nimeingia, sielewi chochote jinsi ya kupata hizo bei.

Kwa kuwa umeanzia hapa nadhani ungenijibu hapa au PM web yenu sio user friend.
Kabisa,web sio rafiki,haijapangiliwa vyema..
Inatia uvivu....
Nahitaji gaming laptop unaweza nipa link nikaingia moja kwa moja
 
Nahitaji bei ya:

***Used..

1.Canon Eos R camera body
2. Canon 24 -70 mm is lens
3. Canon 70 - 200mm is ii Lens
4. Sony A7 iii camera body
5. Panasonic GH5 or GH4 camera body
 
nfano+255 712708245 ukikesa mala moja refresh page kisha weka upya namba ya simu
Mmekuja na idea nzuri sana ila mmeshindwa kuiboresha web yenu.mkifanikiwa kuiweka sawa hakika mtafika mbali...kwa sasa nimenyoosha mikono imenishinda na wala sirudi huko tena
 
Mmekuja na idea nzuri sana ila mmeshindwa kuiboresha web yenu.mkifanikiwa kuiweka sawa hakika mtafika mbali...kwa sasa nimenyoosha mikono imenishinda na wala sirudi huko tena
Mkuu pole sana kwa usumbuvu, nimefatilia kwaukaribusana kujua kama kunatatizo la new users kujisajili kwenye website,ningundua website inafanya kazi vizuri sana,nadhani tatizo lilo upande wako kunakitu umekosea mkuu naomba ujaribu tena.
1647756150324.png
 
Back
Top Bottom