Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitaleta debe la mahindi, au unasemaje? [emoji23]
😂 😂 na kama una watoto je?Ukiniuzi chap nakupa debe lako la mahindi mwendo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na kwanini utozwe mahari?Mahali hua haimalizwi master..
Usiogope hizo namba [emoji3][emoji3]
[emoji23] [emoji23] na kama una watoto je?
Ndoa bila watoto, hiyo ni batili 😀Unioe kwa debe la mahindi nikuzalie na watoto? Uko serious kweli? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndoa ni muhimu kwa afya ya binadamuKataa ndoa
Na huyo beki, akishazoea anakuwa kama hawa wengineYani ni Bora niende Kijijini kutafuta Beki ataekuwa anapokea Mshahara 70k per month Uzuri wao km Course zao za uhouse gelo zinafundisha Boss hanyimwi huyu ndy Unaweza mpandisha cheo cha kuwa Mke na akakuambia mahali yake haizidi 1.5M.
Lkn hao wafanya Biashara (Mahali tu 5M+ ) Miyeyusho sn
Kwani situpo kwenye kipengele cha Mahali , umefika Je kwenye topic ya mbele (Tabia za Mwanamke kwenye Ndoa)Na huyo beki, akishazoea anakuwa kama hawa wengine
Hata wanaouawa kwenye ndoa nao bado ni muhimu kwa afya zaoNdoa ni muhimu kwa afya ya binadamu
HahahahahaUnioe kwa debe la mahindi nikuzalie na watoto? Uko serious kweli? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni sawa na ajali za barabarani, na watu hawaachi kusafiriHata wanaouawa kwenye ndoa nao bado ni muhimu kwa afya zao
😀😀 anha hapohapo ili watu kukwepa ajal za barabarani huwa wanapita maeneo ambayo ni njia za kawaida au hata vichochoro ko hata sisi kuoa sio lazima zaidi ukilazimika ni kutafuta mtu uzae nae maana lengo kubwa la ndoa ni kupata watoto mengne ni ziadaNi sawa na ajali za barabarani, na watu hawaachi kusafiri
Fainali ni uzeeni😀😀 anha hapohapo ili watu kukwepa ajal za barabarani huwa wanapita maeneo ambayo ni njia za kawaida au hata vichochoro ko hata sisi kuoa sio lazima zaidi ukilazimika ni kutafuta mtu uzae nae maana lengo kubwa la ndoa ni kupata watoto mengne ni ziada
Pia nilioa kwa laki 7 2011Mi ikizidi 2mil nawaachia binti yao, nilioa kwa laki7 2014