Nitajie tarehe yako na ya mwenza wako nikwambie mpo vipi na hatima yenu, siri yake n.k

Nitajie tarehe yako na ya mwenza wako nikwambie mpo vipi na hatima yenu, siri yake n.k

Mimi 11 sept (H)
Yeye 02 dec (S)
Hamuendani mkuu japo ni watu mahusiano yenu yamejaa raha utani na maelewano ya hapo hapo kisha mkipeana nafasi imeisha hiyo wewe ni msaliti na yeye ni msaliti mzuri tu no matter how hidden you both will be.
Jambo la kwanza kuu sex kwenu litakuja kuwa tatizo kubwa
wewe ni mtu makini katika mipangilio ya maisha yako na yeye ni mtu tunakuita ponda mali yaani ni aina ya watu wenye matumizi ya fujo kwenye pesa katika kununua vitu ni mtu unataka kujenga na kuweka sawa maisha yako ya baadae haijarishi ni maskini au tajiri lakini yeye utaona ni mtu wa kutokujali hilo ni wa leo ya leo na hata ukimletea habari za kuwekeza for future atakupigia hesabu za hali ya juu na mwenye kukatisha tamaa.
Wote nyie ni wenye akili nzuri lakini katika mitizamo miwili tofauti yeye ni mwenye kujitanua na mwenye maisha ya fujo na wewe ni mwenye kupendelea urahisi wa mambo na mipangilio na kutokujitesa.

Yeye kuna muda anakudhania wewe ni mjinga huelewi vitu au hujajua mambo hivyo hamna maisha marefu ya kulala shuka moja.

Rakims
 
Jitahidini kabla ya kuweka details zako isome kwanza makala uielewe maana tunakoenda nitaanza kutoka majibu sio sana.

23 jun
22 feb

ndio nini?

Unaandika details kifupi unataka maelezo marefu zaidi na mimi nitaanza kujibu kifupi.

Rakims
 
Jitahidini kabla ya kuweka details zako isome kwanza makala uielewe maana tunakoenda nitaanza kutoka majibu sio sana.

23 jun
22 feb

ndio nini?

Unaandika details kifupi unataka maelezo marefu zaidi na mimi nitaanza kujibu kifupi.

Rakims
Title si inataka tar?
 
Duh mbn mm wananiruka tu wanajibiwa wengne wa chini yangu tu ngoja nilale ,huenda si yangu hii
 
Mimi: Mwanaume Yeye:Mwanamke

Herufi G Herufi: S

Tarehe 13/12. Tarehe: 6/08

Mkuu Rakims[emoji1488]
 
Mimi ni Mwanamke
Tarehe 26/12 jina R

Tarehe 11/12 jina S (Me)
 
Wawili nyingi ni watu ambao hamuendani hata kwa fikra tu kwa maana utawala wa Punda ukiisha ndio unaingia utawala wa Ng'ombe.

Kwanza kabisa wewe sio mtu wa kukurupuka na mshapu kama ilivyo kwa yeye,

Lakini wote wawili mnaonekana kuwa wenye hisia sawa katika kufanya mapenzi.

Yeye ni mwenye mihemko na wewe ni mwenye hisia, nyote wawili ni wenye kufurahia wakati jambo linaendelea.

Tabia yako ya kumtawala mwenza wako moja kwa moja itamfungua kukasirika kwake kwa maana hawa Punda asili yao ni kama ushanga wa dukani ukiugusa tu. Hivyo mtajikuta ni wenye makelele kwenye masuala ya pesa kwa maana wewe una asili ya kuwa na ulinzi wa pesa kitu ambacho yeye kitamuonyesha kuwa una asili ya ubahiri hali ya kuwa yeye ni mwenye ubadhilifu na matumizi ya moto kwenye pesa akipata pesa inayayuka kama moto, na jinsi anavyofanya maamuzi basi moja kwa moja utakuta kwako ni kero.

Ambaye wewe sio mwenye kupenda mambo ya haraka na mabadiriko ya haraka. Mahusiano yenu ya kuvutia mwanzo lakini baadae hugeuka kuwa ndoa Ngumu sana.

kuna siku mtu atakuja kupiga mtu na hadithi itaishia hapo.

Rakims

Nimekuelewa mkuu. Ngoja nilete na ya hawa wawili waliobaki.
 
Back
Top Bottom