Well wewe unatumia nini kuhalalisha ngono kinyume na Maumbile??? yani wewe fedhuli kweli. Unashindwa kujilingania nafsi yako kwanza unakuja kunipapalikia mimi halafu shida inayoonyesha upumbavu wako ni kwamba pointi za msingi huoni unaelemea ujinga...View attachment 2575746
Hiyo ndio tafsiri sahih ya waja wema waliotangulia sio wewe unayeitumia Quran kuhalalisha ushirikina wako
Wewe kweli unazidisha upumbavu...Yaani ndoto ya nabii wa ALLAH ndio unakuja kuinasibisha na ushirikina na utapeli unaoufanya? Hizo nyota alizoziona Yusuf ndio utakuja kuzifananisha na haya majina ya kizushi ya kaa,simba,samaki,mashuke n.k?
Binafsi sijaona Ayah inayoruhusu wala kutetea Zinaa na kuangalia tupu za wanaume wenzio zinafanya kazi au la, kuangalia video za ngono, kuingilia au kuingiliwa kinyume na Maumbile hivyo kabla ya kunilingania mimi kajilinganie wewe kwanza na Upumbavu wakoHakuna ayat kwenye Quran inayotetea Shirki na kufr unayoifanya ...utasaka ayat zote na hutopata mbaya zaidi unaitumia ndoto ya nabii kuhalalisha ushirikina unaoufanya.
Hadi sasa hii forum ina Members 632,143 posts 45,367,977 threads 1,734,897 na hii yangu ya 1,734,898 hujaona wote hao kwenda kuwalingania unakuja kuangaika na mimi mmoja ambaye nafahamu ujinga wako wote humu trust me humo kwenye hizo threads 1,734,897 utakutana na wajinga baadhi watakutii kwa utumbo wako unaotaka.Hiyo ndio tafsiri sahih ya waja wema waliotangulia sio wewe unayeitumia Quran kuhalalisha ushirikina wako
FYI Nipo jamii forums toka 2008, sijaaingia jana humu ni vile nimebadili tu ID!!Hadi sasa hii forum ina Members 632,143 posts 45,367,977 threads 1,734,897 na hii yangu ya 1,734,898 hujaona wote hao kwenda kuwalingania unakuja kuangaika na mimi mmoja ambaye nafahamu ujinga wako wote humu trust me humo kwenye hizo threads 1,734,897 utakutana na wajinga baadhi watakutii kwa utumbo wako unaotaka.
kuniaminisha wakati wewe hata chembe ya Imani huna wala akili tu yenyewe huna Dogo ifikie sehemu tuheshimiane na usinijazie thread yangu kwa kuandika utumbo wako ukiuita maarifa...
Baada ya Quran na Hadithi za mtume kinachofuata kwa mtu ni Ubongo wake ku analyze Ima ushukuru au ukufuru hayo ni kwa matakwa ya Mwenyezi Mungu kakadiria iwe hivyo hivyo wewe Punguwani mmoja huwezi kunifundisha wala kunijuza chochote.
Nikitaka kujifunza ni kwa Qadar ya mwenyezi Mungu na nisipotaka kujifunza ni kwa Qadar yake hivyo nitolee Upumbavu na Ujinga wako... Jitahidi urudi shule maana huna unachojua.
Either kama umekopa Bundle tafuta pesa ya kulilipa na ulitumie Kusoma au kama unaishi kwa wazazi angalia utaratibu wa kusoma maisha kwa maana hata fact tu zenyewe huwezi Kuelewa zingatia...
Pale ambapo nimekukosea niwie radhi lakini wewe ni Mpumbavu na Mjinga amini hilo.
Nasikitiza kuona hadi leo kwenye hii Forum wapumbavu ni Asilimia 75% Jamii forums ya 2006 hadi 2016 wewe zamani watu wangekuwa wameshakuamshia. Upumbavu wako enzi hizo bado vijana vijana waliokuwa na hekima sasa hivi wamezeeka wanasoma wanacheka tu na kukuona bado hujakuwa,
sio siri nyie watoto wa 2000 mnakera na maarifa yenu ya kusoma huku unapiga punyeto.
Rakims
Wapi nimehalalisha zinaa ?? Usinipachikie maneno ambayo sijayasema!! Kuhalalisha haramu ni kufr inayomtoa mtu katika uislam kama wewe unavyohalalisha horoscope na upotovu mwingine mwingi kwa akali ya pesaWell binafsi sijaona Ayah wala hadithi iliyokuruhusu wewe kufanya unayofanya ama kuhalalisha zinaa hivyo ni bora unitolee bughudha kwenye uzi wangi wewe Kupe.
Umeelewa point au umekuja tuNote everything needs attention mkuu... Kafiri ni mtu yoyote anaepinga dini ama imani aliyopo mwenzie ndio maana utaona hapo huyo bwana ni muislam na mimi ni muislam lakini yeye nimemuita kafiri kulingana na ukafiri wake. Hata wewe unaweza kumuita muislam kafiri kama anaukafiri mkuu...
wala kafiri sio tusi
Rakims
Usinichekeshe dogo... mark my wordsFYI Nipo jamii forums toka 2008, sijaaingia jana humu ni vile nimebadili tu ID!!
Majigambo yako hayana maana yoyote ile , na tambua kuwa sitaacha kubainisha shirk na kufr unazotaka kuwapotosha nazo waja wa ALLAH.
Popote nikutapo posts zako nitabainisha haki ili watu wajue. Na mimi sikulengi wewe mwenye kibri bali nalenga hawa wengi ambao hawajui huu upotovu unaoufundisha humu mtandaoni.
Wewe ni kenge, na hapa huchomoi na hizi pumba zakoUnatukana watanzania kwa asilimia kubwa em take your time nenda kajiangalie kwenye kioo halafu ujiulize maswali haya;
Trust me utabadirika, haijarishi ni makala gani ya kwangu utaisoma na kuandika pumba... Haitabadiri kuwa wewe ni Mpumbavu hata uandike nini? also from now on ukiwa unajiangalia kwenye kioo utakumbuka niliwahi kuambiwa nijiulize maswali matatu na kaka yake Baba
- Hivi mimi nina akili timamu?
- nikitembea barabarani watu wananitizama vipi?
- Hivi mimi ni choko namba ngapi?
Hata ukibadiri username haitatoa maana ya kuwa wewe ni Mpumbavu mark my words
- Hivi mimi nina akili timamu?
- nikitembea barabarani watu wananitizama vipi?
- Hivi mimi ni choko namba ngapi?
Rakims
Usinichekeshe dogo... mark my wordsWapi nimehalalisha zinaa ?? Usinipachikie maneno ambayo sijayasema!! Kuhalalisha haramu ni kufr inayomtoa mtu katika uislam kama wewe unavyohalalisha horoscope na upotovu mwingine mwingi kwa akali ya pesa
Una distort maana ya Aya za Quran ili ku-feed your ego!! Hakuna uongo mbaya kama kupotosha ayaat za ALLAH kwa ajili ya maslahi madogo ya kidunia. Tafuta kazi ya kufanya bwana mdogo achana na ushirikina (horoscope). Nyota zimewekwa angani zikiwa na kazi ya kutuongoza uelekeo either tuwapo katika safari baharini ama nchi kavu na si kutuongoza kujua masuala ya ghayb/unseen (future).Wewe kweli unazidisha upumbavu...
Hizi Ayah za Quran tukufu zinazungumzia Ramli na hapa tunazungumzia nyota hivi nyie lini mtajua kutofautisha baina ya Giza na mwanga?
Quran Al- An'aam aya ya 97
"Na yeye ndiye aliye kuwekeeni nyota ili muongoke kwazo katika kiza cha bara na Bahari. Hakika tumezichambua Ishara hizi kwa watu wanaojua.
Quran Al Araaf ayah 54
5. (Kumbuka) Yusuf alipomwambia baba yake: Ewe Babaangu, hakika nimeona (katika ndoto) nyota kumi na
moja na jua na mwezi, nimeviona vikinisujudia
Quran Al Nahl aya ya 16
Na alama nyingine na kwa nyota wao wanajiongoza
Ifikie tu sehemu ukubali wewe huna unachoelewa
Rakims
Haijarishi ni quotes ngapi utaweka ili kuficha upumbavu wako niliokubainishia.Una distort maana ya Aya za Quran ili ku-feed your ego!! Hakuna uongo mbaya kama kupotosha ayaat za ALLAH kwa ajili ya maslahi madogo ya kidunia. Tafuta kazi ya kufanya bwana mdogo achana na ushirikina (horoscope). Nyota zimewekwa angani zikiwa na kazi ya kutuongoza uelekeo either tuwapo katika safari baharini ama nchi kavu na si kutuongoza kujua masuala ya ghayb (future).
Hakuna ajuae ghayb ila ALLAH.
Hii haitaondoa ukweli wa kuwa unafundisha watu upotovu . Yeyote mwenye kuamini huu upotovu wako wa horoscope anaingia katika kufr iliyo wazi kabisaHaijarishi ni quotes ngapi utaweka ili kuficha upumbavu wako niliokubainishia.
Mark my words dogo.
Rakims
Na haitaondoa ukweli kuwa wewe ni Mpumbavu kunilingania mimi hali ya kuwa wewe ni kafiri jilinganie wewe kwanza.Hii haitaondoa ukweli wa kuwa unafundisha watu upotovu . Yeyote mwenye kuamini huu upotovu wako wa horoscope anaingia katika kufr iliyo wazi kabisa
UtangamanoMimi Me : 02 January Jina N
Yeye Ke : 29 June Jina S
Katika mahusiano haya mnaonekana ni wawili msioendana hasa ukizingatia kwamba yeye ni mchanga wa bahari na wewe ni Upepo wa kimbunga;Mimi, me.kuzaliwa,4 mwezi wa pili .herufi ya jina M.
Yeye,ke.herufi ya jina H.kuzaliwa. 8 January