Nitajie tarehe yako na ya mwenza wako nikwambie mpo vipi na hatima yenu, siri yake n.k

Nitajie tarehe yako na ya mwenza wako nikwambie mpo vipi na hatima yenu, siri yake n.k

Tunaishi pamoja japo sjajitambulisha kwao na tuna mtoto mmoja(uchumba)
R 15/11 boy
M 10/5 girl
Uchumba
 
Mimi ni Me-13/12 herufi G
Yeye ni Ke-15/7 herufi E
Ni Wapenzi

Kaka Rakeem Narudia mara ya 3 aisee

Mimi Mwanaume…Tarehe 13/12.. Herufi ya Jina G

Yeye Mwanamke..Tarehe 15/7…Herufi E

Tuna mahusiano Ni wapenzi wa miaka 4
 
Kaka Rakeem Narudia mara ya 3 aisee

Mimi Mwanaume…Tarehe 13/12.. Herufi ya Jina G

Yeye Mwanamke..Tarehe 15/7…Herufi E

Tuna mahusiano Ni wapenzi wa miaka 4
Niwie radhi mkuu nilikuwa sijaona.
Kwa mtizamo unaonekana ni kwamba wewe una asili ya moto wa nyasi na huyu binti ana maji ya bahari kwa mkanganyiko huu mkuu dhahiri kuwa inaonyesha hamuendani japokuwa mmedumu miaka minne kuna vitu unatakiwa uvifahamu;-
Hisia kali alizonazo na mapenzi yake ya ndoto huwa ni kama fitina muda mwingine kwako na pia wewe una mambo mawili kwenye mahusiano yenu wewe kuna mtizamo mkubwa unakuonyesha akili na fikra pana(elimu) uwezo wa akili yako hali ya kuwa yeye anakuwa anaonekana ni mtu wa hisia kali na mihemko ya tahadhari.
Nyie hamtakuja kukaa pamoja na kuelewana maana wewe utakuwa ni mtu ambaye hutoi ulinzi na usawa kwake ambao unaweza kubalance wivu alionao na kisirani chake cha chini chini, Bila hata wewe kujua utajikuta unalaumiwa kuwa unamuumiza au kumtesa na hali ya kuwa wewe hutaelewa ni wapi unakosea na hii itakuwa inatokea mara kwa mara na kama utaingia kwenye ndoa nae utakuwa ukidhaniwa kuwa unamnyanyasia mapenzi.
Na utakuwa ni mtu wa kujaribu kutafuta faraja ya hisia zako nje na nyumbani
utakuta ni mtu wa kujiliza liza na kulalamika na kujaribu kujilazimisha kuvumilia ili muwe pamoja lakini yeye kwako kitakacho mponza ni hisia zake kukupenda wewe ambae hutakuwa unaelewa hisia zake na wewe utaona hakuelewi.
Mnapendeza zaidi mkiwa marafiki na ni bora zaidi.
Ndoa kwenu ni sawa na pata potea.


SEHEMU ZAKE ZA HISIA:
Kama nilivyoelezea awa li kuwa hawa watu wa maji bahari hisia zao zaidi zipo kwenye maziwa hivyo tafuta njia nzuri ya kucheza nae hapo basi utaona anakuwa maridhia kwa vitimbi vyako na utaweza kumkamata yote kwa yote wewe na yeye kwenye ndoa ni mateso sana kwa maana moto unahitaji upepo kukolea na maji yanahitaji ardhi kuweza kukaa nyie kwenye ndoa kila mmoja atizame uelekeo mwingine au kama unaweza basi uoe zaidi ya mwanamke mmoja.
Still bado kwako ni mtihani ukiwa nae kindoa
 
Me:H tareh 29 June 91
Ke:L tareh 22 December 95
Uhusiano:Bado hatujaoana
Kati yenu kuna mvuto mkubwa sana wa kingono na pia mnaendana vizuri na kimtizamo mnaendana vema sana kwa maana yeye ni mchanga wa bahari na wewe ni maji ya bahari hivyo mna mtizamo mmoja katika mambo yenu mengi na mnaendana kwa asilimia nyingi;
Kama mtaweza tu kuwezana tabia zenu basi moja kwa moja mtakuwa na mahusiano yenye bahati na mafanikio makubwa kindoa mfano wake utasikia watu huyu kaoa leo nyota yake imeng'aa au mafanikio yake yamefunguka yupo vizuri kwa kila sekta hii ni kwa maana kuwa hata mkiingia kindoa mnapatikana katika mlango wa 12 yaani mzunguko mzima wa nyota 12 unakuwa pamoja na nyinyi bega kwa bega na kila mmoja wenu anakuwa kayapatia maisha na hakuja haja ya kuhofia riziki kwa maana kwenu mkiwa pamoja kila jambo huenda vizuri na kwa ufasaha zaidi.
Lakini kwenye mlango wa kazi pia unatakiwa sana ujitahidi kumuachia yeye pia afanye kazi na kama ni biashara mpe nafasi ya yeye kuisimamia utaona maajabu ya Mungu kwa maana wewe asili yako ni mazingira ya nyumbani na yeye ni mtafutaji mzuri na ana nyota ya mafanikio na ndio bahati yako imelalia kwake usije kumvuruga wala kumuharibia muelekeo kwani huyu unaweza kutembelea nyota yake pindi utakapofunga nae ndoa na ukitaka kuthibitisha hapa kwa watu kwamba haya mambo sio kubahatisha basi muoe siku ya jumatatu kama sio saa 1 asubuhi saa 8 mchana na kama sio hapo basi saa 3 usiku utajiuliza ulichelewea wapi kwa maana usiku wa kwanza tu mmeanza kuitumikia ibada ya ndoa matunda yake siku inayofuata hadi kuingia usiku utaona matokeo na hapa nazungumzia ndoa sizungumzii uhawara.
ni mtu sahihi kwako na ana maslahi mengi na hutaamini ukiwa nae.
na pia ni mtu ambaye anaweza kukukamilishia all the attention you need. Na vile wewe ni mtu wa aibu na mwenye hisia kali na kupenda kukosoa basi huyu kwako ni sahihi;-
Mtizamo unaonyesha wewe ni mtu wa aibu,hisia na mwenye kutaka affection wakati yeye ni mtu wa kuondoa aibu,kuponya maumivu ya hisia na kutawala ndio sifa zake basi popote utakapo hisi you are down she will lift you up haijarishi kipesa mawazo au hisia.
Tofauti zenu zinaweza kuwa kubwa sana ambazo zitaleta furaha za muda mrefu, yaani hapo ni mfano wewe ni hasi na yeye ni chanya. Perfect Match.

Rakims
 
Tunaishi pamoja japo sjajitambulisha kwao na tuna mtoto mmoja(uchumba)
R 15/11 boy
M 10/5 girl
Uchumba
Kwa mtizamo unaonenyesha wewe ni maji ya moto na yeye ni mchanga wa fungu. huyu ndio mwenza wako mnaoendana kwa safari nzima ya maisha na anaweza kukukamilisha na kukufaa zaidi na ni perfect match wako kwa sababu;-
Yeye anaonekana ni mtu mwenye stamina na hamu na ana uwezo mzuri wa kukidhi mahitaji yako hasa mkiwa chumbani na mkiwa pamoja ni watu wenye kujiweza kuwasha na kuzima moto wenu wenyewe ni watu mnaweza kugombana dakika 1 kisha ya pili mkaelewana.
Lakini kipi ambacho kinaweza kuwa tatizo kwenu kwa masaa yaliyo baki mnaonekana;-
Kwanza kabisa nyote wawili ni wenye wivu wa kupindukia na viburi(wakaidi) tofauti yenu ni kwamba yeye ni mtu anaependa kummiliki mpenzi wake na kama mtu wa thamani sana, kama ilivyo kwa kitu cha thamani na wewe unakuwa ni mtu wa hisia sana.
Ingawa mnashiriki mshikamano mzuri kuhusu maswala ya pesa, wewe ni mfadhili na hudharau uvivu,
wakati yeye anapenda kutumia kwa kujiridhisha kama yeye na ni jambo lingine nyote wawili japokuwa ni watu mnaendana sana lakini ni sawa na fahari wawili kila mtu anataka awe zaidi na ikitokea mmoja hajakubali kuwa chini ya mwenzie basi ni sawa na nahodha wawili wanaogombania kuendesha meli vita vikizidi chombo kinazama.
Elewa kwa mtizamo huu ukishindwa kuishi na watu wenye mchanga wa fungo ambao wanaweza kukumudu wewe basi utaishia kuwa mpweke na kila mtoto kuwa na mama yake kama mlivyo na sifa hii wengi wenye maji ya moto
 
Mimi me jina E tareh 19/06/1992
Yey ke Jina L tarehe 23/05 /

Nasubir mkuu
 
Habari zenu wana ndoa na wenye ndoto za ndoa,

Yawezekana umewahi kusikia kauli maarufu sana inasema;
"Kosea yote usikosee ndoa"

Katika thread hii nitakupa maana halisi na siri iliyojificha nyuma ya kauli hiyo hivyo ukiweza kunitajia tarehe yako na ya mwenza wako na herufi zenu za mwanzo,mchumba,mpenzi na mwanandoa nitakupa taarifa zako na zake na siri zake kimapenzi hivyo utakachojua hapa ni kitu kitakachokusaidia kuimarisha mahusiano yenu au kuyaharibu kabisa.

View attachment 2185484

Yafuatayo nitakutajia;
  • Tabia zake
  • Sehemu yake ya hisia
  • Jinsi ya kumfanya azidi kuwa karibu na wewe
  • Mtizamo wake kwako
  • Mtizamo wako kwake
  • Unachopenda akufanyie
  • Udhaifu wake
  • Na vingine vya ziada
MATOKEO:
Kwa asilimia 90 nitakayokwambia ni ya kweli kama sivyo basi kuna mmoja kati yenu alidanganya tarehe kwa mwingine,

MFANO WA KUANGALIZIWA
Ili niweze kukuangalizia vizuri andika hivi;

Mimi mwanaume Jina langu (Herufi ya kwanza);
Nimezaliwa tarehe: 14 December mwaka****
Mwezi wangu Jina lake (Herufi ya kwanza)
Kazaliwa tarehe: 24 April mwaka ******

(Kisha unaweza kusema upande gani nikazie zaidi japo sio lazima)

MEMBER WA KWANZA
Ke 24/4 P

Me 14/12 E

Matokeo yake:

MTIZAMO WAKO KWAKE;

Wewe ni mtu mwenye tabia za maji na yeye ni mtu mwenye tabia za udongo kwa mjumuiko huu unaonyesha kabisa nyinyi kuendana ni vigumu na hata kama mnapendana vipi itakuwa dhoruba tu ndani.
Kwa mtizamo anaonekana yeye ni mtu wa kupenda utawala na ukubwa kwa kuongoza mambo/kupelekesha- ambapo wewe unaonekana sio mtu wa kupelekeshwa na hautakubali hilo.
Pia wewe ni mtu wa kuhitaji mabadiriko,anuwai,matukio ambapo hayo humfanya yeye kujihisi tofauti na wewe kwa kuwa yeye ni mtu wa ambaye hujifanya ni mjuaje na incharge wa mambo yanavyokuwa yanakwenda katika miliki yenu na kujiona ni mtawala mzuri wa tabia za nyumbani na hujiona ni mwenye hekima na heshima na imani zaidi kuliko wewe;-
yeye anakuwa ni mtu wa kutaka kufanya mambo ambayo teyari yana uhakika na kutaka kufanya mambo yenye uhakika,
wakati wewe unakuwa upo teyari kufanya chochote kinachowezekana.
Na pia wewe ni mtu wa kusema chochote kinachokujia na nimtu wa kumdondoshea maneno tu randomly yanayokujia kichwani kwa fikra yako ambayo humfanya kuanza kujawa na hasira taratibu. Pia kuna tatizo la pesa katika mahusiano yenu, hiyo ni sababu wewe unataka kuzalisha pesa kwa yanayowezekana leo hali ya kuwa yeye anawaza kuhusu mambo ya kesho (ukifa unaniachaje)
Mna muda mfupi sana kwenye mahusiano yenu.

MTIZAMO WAKE KWAKO:
Mapenzi yenu yanaweza kwenda kama tu ataweza kujikaza vizuri kuwa na wewe au kukuvumilia kwa maana mtizamo wake kwako wewe ni mtu ambaye huvumiliki. wote mnavutiwa zaidi kwa muonekano wa mwenzi wake, kwa tamaa zake yeye alizonazo katika kufanya tendo anakuwa anavutiwa zaidi na ufanyaji wako. Lakini ni mtu inamuwia ugumu katika kuvumilia tabia yako ya kupepesa macho na kutizama mambo mapya(wanawake wa nje) wewe ni mtu wa kuchukulia kila jambo poa poa na rahisi rahisi inapokuja katika maswala ya mahusiano na tendo la ndoa wakati yeye ni mtu muda mwingi anataka kuwa serios kwenye mahusiano na kutawala. hali ya kuwa wewe ni mtu ambaye hutaki kutawaliwa kimapenzi na mtu yoyote hakuna baya kwenu lakini ni watu wenye kupishana mara kwa mara uhawara kwenu inakuwa ni starehe kuliko ndoa. maana mnaweza kukaa kwenye uhawara miaka ila mwezi tu ndoa ikawa ndoana.
Mahusiano yenu ya ndoa yatakuwa ni vichekesho tu.

SEHEMU ZAKE ZA HISIA:
Sehemu zake za hisia ni shingo na koo ndio maeneo ambayo kuna hisia zake kubwa za kiwazimu ikiwa;- utagusa eneo hilo,kumbusu na kutomasa eneo hilo hata kama umekaa nae basi utampandisha kwa kasi sana hisia zake na hasa ukiwa umekaa karibu nae ukawa unamgusa hapo chochote unachosema kinaingia kwenye akili yake na roho yake moja kwa moja kuhusu wewe.

Ukimbusu eneo hilo vizuri na kumng'ata kichokozi akiwa kalala chali na kwenye koo lake basi utaona maajabu.
Fanya mbinu hii pia itakuongezea umaarufu kwake
Mfanyie massage hii ili kuweza kumfanya siku yake yote ajihisi yupo kwenye raha:

(1)Akiwa kalala kwa mgongo wake muwekee mitetemo kwenye shingo yake karibu na mizunguko ya masikio yake kwa kutumia vidole vyako tumia miondoko ya taratibu sana kwa maana sio punda huyu kama kina fulani huyu anataka vitu sensitive rudia hivyo hadi uone vipele vimesimama kwenye mikono yake. (Be very
gentle kuzunguka sehemu ya pipe za hewa kwenye shingo vinginevyo utamniga).

(2) Kumbuka ni mtu mwenye kupenda zaidi kufanyiwa hivyo akiwa kalala kwa tumbo lake hivyo fanya hivyo hadi kukaribia eneo la muunganiko wa uti wa mgongo lakini usitoke nje ya shingo maana umeme utakatika halafu ataona unamtembezea wadudu.
Ukianza kuona vinyweleo vimesimama na vipele basi jua chini hali si shwari wacha niishie hapa na Ramadhan hii nisije nikafanya mambo magumu masaa yamebaki machache.

Ikiwa utamgusa au kumfanyia manjonjo sehemu za shingo yake basi ni mtu mwenye kupata hisia za kiwazimu na wewe ikiwa atajua kucheza na mapaja yako yako basi ataweza kukupeleka mbali sana kihisia hisia zako siwezi kukwambia sana kwa maana wewe unamtizamia yeye.

UTAMVUTIA VIPI:-
Yeye kwanza sio mtu wa papara ni mtu anapenda kama ni utafiki ama mahusiano basi yaanze taratibu kama vile unajenga nyumba mapenzi kwake anataka uanzie msingi kwanza hivyo inakutaka kuwa ni mtu mwenye subira kuweza kummudu kimapenzi na subira wewe muda mwingine ni kitu huwa,
Mbinu;
kwanza kabisa kama ndio unaanza nae basi hakikisha kuwa unakuwa ni mtu wa kwanza kumtafuta na usiende nae kwa pupa kama hujagusa katika kujifanya ni mtu mwenye subira sana basi moja kwa moja hutampata kwa maana kama ni wa dada wazamani huyu atakwambia nisubiri miezi 9 nikufikirie.
Muonyeshe kuwa upo radhi kuwepo muda wote pale anapokuwa anakuhitaji na ujionyeshe kuwa wewe ni mtundu mtundu. Yeye hupenda mtu anaekuwa taratibu taratibu na kama unaweza kumsababisha kucheka cheka basi huna muda mrefu unayoyataka utapata. Pia utaanza kumuona nae ni mtu anautundu utundu na kupenda utani utani na anapenda mtu mwenye kumvutia kwa yale anayoyafikiria akilini kwake yaani unatakiwa kujipendekeza kuuliza unataka niwe vipi?

Tabia zake za kero ndogo ndogo ni mategemeo yake uzifurahie na ujifanye kucheka anapoongea upumbavu au jambo lisilo na maana kwako.
Na kama akisema kwa utani ukajibu kwa utani basi moja kwa moja anakufungulia moyo wake na kuona hakuna mtu kama wewe duniani hapa na anaweza kukuganda kama kupe pia utani wa kimwili kama kumgusa mwili na kumminya minya ni vitu anapenda kama ni mke wako basi jaribu leo hata akinuna ukifanya hivyo anakaa sawa. Ni mtu kama unataka kumtoa basi anapendelea sehemu za hadhi ya juu kidogo na anapenda sehemu anayoenda kuwe kuna watu wanaojua nini wanafanya hasa wapishi. Mnunulie kinyaji kisichokuwa na kilevi ndio mapenzi yake kama sio mlevi lakini kama ni mtumiaji basi utakuta ni mpenzi wa wine.

Mazingira ya nyumbani ukimpikia hata chochote tu hujihisi special sana na hataskia la mtu kuhusu wewe valia mavazi ya kupika unapomuandalia chakula na hakikisha muonekano wako uwe ni safi mfanyie hivyo hata mara moja kwa mwezi utaanza kuona anatoa machozi
Ikiwa mazungumzo yanachelewa basi jitahidi asikushinde kimaongezi na wala usikwame katika kuzungumzia mnayoyapenda hasa akianza kuongelea pesa muhimu tabaka hili ni mwanamke mwenye kupenda pesa na kuigiza hajali pesa.

Pia tengeneza account mbili tatu za bank ili akitizama aone kabisa ni mtu mwenye kushughulika na mambo ya saving hata kama huna pesa atatambua ukipata utatunza.
Usihodhi mazungumzo.
anapoanza kuzungumza usimkatishe na usiwe mzembe katika kutoa sifa akifanya kitu hata cha kipuuzi nyumbani,kwenye gari yake,mapambo ni watu wenye kupenda kusifiwa wanapofanya mambo madogo.

Usisahau kusubscribe channel yangu ili uchangie sh 460 kwenye account yangu ya youtube kama umependa kunilipa maelekezo yangu.

https://www.youtube.com/channel/UCtFJDNV8M2sc7VUPr_miulw

au vilevile usisahau kutuma ya milinda nyeusi hapa kama umeelewa vizuri;

0783930601
Pia wazee wa donation mnaweza kufanya hapo za soda. 🙂

wengine nitaomba niwaandikie kifupi maana maelezo marefu hivi mtihani kuandika.

Rakims
Mimi me jina E tareh 19/06/1992
Yey ke Jina L tarehe 23/05 /

Nasubir mkuu
 
Niwie radhi mkuu nilikuwa sijaona.
Kwa mtizamo unaonekana ni kwamba wewe una asili ya moto wa nyasi na huyu binti ana maji ya bahari kwa mkanganyiko huu mkuu dhahiri kuwa inaonyesha hamuendani japokuwa mmedumu miaka minne kuna vitu unatakiwa uvifahamu;-
Hisia kali alizonazo na mapenzi yake ya ndoto huwa ni kama fitina muda mwingine kwako na pia wewe una mambo mawili kwenye mahusiano yenu wewe kuna mtizamo mkubwa unakuonyesha akili na fikra pana(elimu) uwezo wa akili yako hali ya kuwa yeye anakuwa anaonekana ni mtu wa hisia kali na mihemko ya tahadhari.
Nyie hamtakuja kukaa pamoja na kuelewana maana wewe utakuwa ni mtu ambaye hutoi ulinzi na usawa kwake ambao unaweza kubalance wivu alionao na kisirani chake cha chini chini, Bila hata wewe kujua utajikuta unalaumiwa kuwa unamuumiza au kumtesa na hali ya kuwa wewe hutaelewa ni wapi unakosea na hii itakuwa inatokea mara kwa mara na kama utaingia kwenye ndoa nae utakuwa ukidhaniwa kuwa unamnyanyasia mapenzi.
Na utakuwa ni mtu wa kujaribu kutafuta faraja ya hisia zako nje na nyumbani
utakuta ni mtu wa kujiliza liza na kulalamika na kujaribu kujilazimisha kuvumilia ili muwe pamoja lakini yeye kwako kitakacho mponza ni hisia zake kukupenda wewe ambae hutakuwa unaelewa hisia zake na wewe utaona hakuelewi.
Mnapendeza zaidi mkiwa marafiki na ni bora zaidi.
Ndoa kwenu ni sawa na pata potea.


SEHEMU ZAKE ZA HISIA:
Kama nilivyoelezea awa li kuwa hawa watu wa maji bahari hisia zao zaidi zipo kwenye maziwa hivyo tafuta njia nzuri ya kucheza nae hapo basi utaona anakuwa maridhia kwa vitimbi vyako na utaweza kumkamata yote kwa yote wewe na yeye kwenye ndoa ni mateso sana kwa maana moto unahitaji upepo kukolea na maji yanahitaji ardhi kuweza kukaa nyie kwenye ndoa kila mmoja atizame uelekeo mwingine au kama unaweza basi uoe zaidi ya mwanamke mmoja.
Still bado kwako ni mtihani ukiwa nae kindoa

Duh Ahsante mkuu umeelezea vyema mpaka nimeogopa ubarikiwe[emoji1488]
 
Narudia Tena

Me : tar 20/8 jina J

Ke: tar 3/11 jina S

Tupo kwenye mahusiano
 
Back
Top Bottom