Nitajie tarehe yako na ya mwenza wako nikwambie mpo vipi na hatima yenu, siri yake n.k

Nitajie tarehe yako na ya mwenza wako nikwambie mpo vipi na hatima yenu, siri yake n.k

HADI SASA HAKUNA ALIYESOMESHA YA SODA 😀 watu 400+
 
Asante mkuu kwa hapo baina ya wewe na yeye kwanza kabisa elewa kuwa wewe ni mwenye asili ya moto wa mkaa na yeye ni moto wa nyasi kimtizamo nyie mnaendana vizuri sana na ni perfect match na yafuatayo ni maelekezo yenu;-


Kwa mtizamo unavyoonekana mnaendana kwa asilimia 75 si haba tabia zenu zinafaa kuoana vema pia tambua mahusiano yenu
Unaonekana kuvutiwa na matumaini yake na anaonekana ni mtu mwenye kukupa matumaini na vile yeye ni mtu wa kusafiri au kutoka unakuwa ni mvuto zaidi kwako ambaye pia unaonekana ni mtu mwenye kuliwazika ukipata visafari/mitoko midogo,
kwa pamoja mnaonekana ni wenye kujumuika katika kuwa na mahusiano yenye uhuru ya bila kubanana yaani kujinafasi na kukutana na watu wapya nyote ni watu wenye mapenzi makali ya moto na wenye kuvutiwa katika tendo la ndoa.
Kama kuna mtu wa kumfanya yeye kutulia na kuwa muaminifu na mtulivu basi ni ambae unaonekana kummdu vema ingawa unasema mahusiano unayasimamia wewe bila wewe hayapo fahamu ni kwamba asili yake huyu ni mtu wa kupokea na kujifunza kwa muda kisha baadae huanza kurudisha fadhila hadi uzeeni.
unamuweza unaonekana ni muongozaji mzuri kwenye maswala ya mahusiano ni kiongozi bora na kitu ambacho kinamfanya kuvutika zaidi na wewe.
Pia unaonekana ni mtu wa kujisifu kiasi na mwenye kujiamini nae ni mtu wa matumizi makubwa na mwenye kuja kukuletea furaha hata kama ni masikini atakuja kukuletea mafanikio makubwa maishani kindoa mnaingia katika mlango wa 2 mlango wa pesa na mafanikio.
Ni mtu yupo radhi kukukamilishia chochote.
Hivyo vumilia sasa hivi baadae utapata matunda na kama niliyokwambia hayarelate basi jua ni mtu tarehe yake haipo sahihi

Sehemu za hisia:
Sehemu zako za hisia zaidi ni maeneo ya moyoni na kifua lakini kwa yeye ni mapajani ikiwa utamtomasa vema mkiwa mmekaa pamoja ni mtu mwenye kupenda michezo ya mafuta(18+) hivyo huona raha sana.

Rakims
Asante
Nimekuelewa vizuri mkuu
Umepatia Kila kitu

Kuna muda mwenzangu anakua ni mtu wa hasira za karibu na kibri

Tumejaribu kutoleana maneno machafu mara kadhaa mpaka kufikia kutamkiana tuachane (sio mara Moja)

Ila baada ya muda Kila mmoja hukosa amani na kuishia kurenew Tena penzi na linakua moto sana

Na huwa namshuku sana kuhusu uaminifu wake kwangu ( Kwa Sasa Yuko masomoni mkoa tofauti na wangu)

Hii inaminisha nini kwenye hili penzi?
Na Nini nikifanye Ili penzi lisiingie dosari ?

Nashukuru na pole Kwa kazi ngumu ndugu Rakims
 
hapana mkuu sio kukupima ila uyu alikuwa mpenz kitambo nilikusudia kumposa lakin aliposafiri zanzibar kusalimia ndo akakutana na uyo mume kama miezi mitatu wakaoana yani gafla tu na alifanya siri me niligundua wiki mbili kabla ya ndoa basi niliumia sana mana nilimpenda sana nilikuwa njian kumchumbia lakini kwa maelezo ya hatima yetu uliyotoa leo basi imekuwa kheri sijajutia kumkosa mana nilikuwa bado namlilia kumbe hasara kwangu tu na leo ndio nimejua baada ya kutuelezea kiufupi yote uliyoeleza ni sahihi kabisa tuliishi hivyo..usinielewe vibaya mkuu sijakupima bali kujua tu kwa jinsi nilivyokuwa namlilia kumkosa na kuumia moyo je, kama ningemuoa tungekuaje?kwa maelezo uliyotoa kutuhusu ni mulemule tulivokuwa kwenye mahusiano
bila shaka umenisoma apo juu mkuu Rakims
 
Wewe ni mwenye asili ya upepo na yeye ni mchanga hamuendani hata kidogo mtaachana mkuu,
Ingawa unaonyesha mwanzoni utaweza kwenda nae vizuri lakini yeye mkizidi kusogea utaanza kuona kama anakuhisi huna msimamo nae hiyo ni kutokana na yeye kutizama zaidi maisha yenye msimamo na ndoa kwake ni jambo la msingi sana na kuu katika maisha yake sasa ya wewe ambaye ni mwepesi kusimama katika serious relationship itakushinda kwa maana ni mtu wa kupenda mambo mapya katika maisha yako ya kila siku yeye ni mtu wa kutaka ndoa na wewe unaonekana ni mtu wa kutaka mahusiano wewe ni mtu unaweza kupata upendo kidogo kwake na pia yeye ni mtu hupenda mtu anaeweza kumdhibiti jinsi anavyotaka sasa kwa wewe mwenye kupenda vitu vya nje kiasi kikubwa hamtaendana na ataanza kukuomba muachane the moment kahisi usaliti.
Asante mkuu ila naona umebase sehemu moja tu kwenye mapenzi vipi sehem nyingine maana wengine huko juu umechambua vipengere vingi.

Ulisema utakazia zaidi sehem kama..

Tabia zake
Sehemu yake ya hisia
Jinsi ya kumfanya azidi kuwa karibu na wewe
Mtizamo wake kwako
Mtizamo wako kwake
Unachopenda akufanyie
Udhaifu wake
Na vingine vya ziada

Mimi naomba uniangalizie zaidi kwenye hizo sehem nilizo weka italics ingawa ulishasema mimi ni upepo yeye ni mchanga..

Ila pia hujaniambia mimi ni upepo wa aina gani na yeye ni mchanga wa aina gani..

Kama itakuwia ngumu kurudi kuangalia post mimi me 17/5 herufi I yeye ke 21/5 herufi H in relationship
 
Nyota zipo 12 katika nyota hizo kumi na mbili kuna makundi manne ya nyota yanayoziunganisha ukiona nyota kundi moja mfano nyota za maji sio zote ni maji aina moja kuna maji aina tatu ambayo ni Kaa,Nge na samaki zote ni maji na pia sio zote ni maji ya namna moja hapo kuna maji ya bahari,maji ya kisima na maji ya moto hivyo ni vitu vitatu tofauti sio watu wote wenye nyota za udongo wataendana na nyota hizi za maji mfano mchanga mweupe wa baharini huwezi kuupata kwenye maji ya moto maji ya moto utayapata kwenye chuma au chombo cha moto ndio huyabeba na maji ya bahari mwenzie ni mchanga wa bahari mkuu usisome kitabu kimoja au viwili na google kisha ukaweka hoja nzuri kwenye thread ya jambo usilojua ni bora ungeuliza kuliko kuhukumu.

Ungesema kwa ninavyoelewa mimi ni kwamba hao wanaendana kisha ungeeleweshwa sio kufanya ujuaji sehemu ambayo hujui ndani zaidi ndio maaa napenda kutumia jukwaa la intelligence maana pale watu hujibu kwa nguvu ya hoja na fact za kutosha huku mpo shalo sana kwenye Quotes.

Rakims
Shkamoo
Itoshe kusema kuwa uko vizuri
Na mi niandike yangu... ntajibiwa kweli?
 
Mkuu Rakims mimi ni Me nimezaliwa April 10 jina langu linaanzia na L
Yeye ni Ke amezaliwa january 12 jina lake linaanzia na N
Msaada wako mkuu

NB: amenizidi miaka miwili
 
Mimi ni mwanaume
Me :herufi linaanza Z tarehe 27/January
Ke: herufi inaanza A tarehe ni 13/April

Rakims nisaidie hapa
 
"Mimi ni Me, naitwa N, nimezaliwa tarehe 22/12.

Yeye Ke, anaitwa J, amezaliwa tarehe 2/8"
 
Asante
Nimekuelewa vizuri mkuu
Umepatia Kila kitu

Kuna muda mwenzangu anakua ni mtu wa hasira za karibu na kibri

Tumejaribu kutoleana maneno machafu mara kadhaa mpaka kufikia kutamkiana tuachane (sio mara Moja)

Ila baada ya muda Kila mmoja hukosa amani na kuishia kurenew Tena penzi na linakua moto sana

Na huwa namshuku sana kuhusu uaminifu wake kwangu ( Kwa Sasa Yuko masomoni mkoa tofauti na wangu)

Hii inaminisha nini kwenye hili penzi?
Na Nini nikifanye Ili penzi lisiingie dosari ?

Nashukuru na pole Kwa kazi ngumu ndugu Rakims
Punguza tu ego kwake na pia ubabe kwenye mapenzi maana unasifa ya kutengwa na wale wenye kukupenda kwa ajili ya ukali
 
Mimi ni mwanaume
Me :herufi linaanza Z tarehe 27/January
Ke: herufi inaanza A tarehe ni 13/April

Rakims nisaidie hapa
Mtafurahia mengi katika mahusiano yenu na kufokeana sana.
Wewe mawazo yako na fikra zako ataweza kupokea vema na yeye shauku yake ya kufanya ngono na hisia zake za mlipuko zinaonekana kuhimiliwa vizuri na wewe ni watu ambao kila mmoja hatataka kumfunga funga au kumbana mwenzie katika mahusiano yenu na kila mmoja atakuwa ni muelewa kwa mwenzie katika hitaji la kupewa uhuru,adventure na maslahi ya nje.
wala nyote mnaonekana sio wenye kupenda kutawaliwa kwenye mahusiano na vyovyote vile mahusiano yenu lazima yeye ndio atataka kuwa kiongozi na mwenye kukutawala kama upo radhi kutawaliwa basi kuwa nae.
Na kama tatizo la nani ndio mume ndani mtaweza kulisolve na umuache yeye ndio awe mume ndani na wewe ni mke badala ya kunyume chake kama utaweza kuvumilia basi dance with it.
Lakini kama utataka mashindano na wewe ndio uwe mume thabiti hapo utakuwa umepamia. Huyo ni aina ya wanawake wanaotaka wao ndio wawe wanaume ndani no matter how good actress they are in the beginning

Rakims
 
Habari zenu wana ndoa na wenye ndoto za ndoa,

Yawezekana umewahi kusikia kauli maarufu sana inasema;
"Kosea yote usikosee ndoa"

Katika thread hii nitakupa maana halisi na siri iliyojificha nyuma ya kauli hiyo hivyo ukiweza kunitajia tarehe yako na ya mwenza wako na herufi zenu za mwanzo,mchumba,mpenzi na mwanandoa nitakupa taarifa zako na zake na siri zake kimapenzi hivyo utakachojua hapa ni kitu kitakachokusaidia kuimarisha mahusiano yenu au kuyaharibu kabisa.

View attachment 2185484

Yafuatayo nitakutajia;
  • Tabia zake
  • Sehemu yake ya hisia
  • Jinsi ya kumfanya azidi kuwa karibu na wewe
  • Mtizamo wake kwako
  • Mtizamo wako kwake
  • Unachopenda akufanyie
  • Udhaifu wake
  • Na vingine vya ziada
MATOKEO:
Kwa asilimia 90 nitakayokwambia ni ya kweli kama sivyo basi kuna mmoja kati yenu alidanganya tarehe kwa mwingine,

MFANO WA KUANGALIZIWA
Ili niweze kukuangalizia vizuri andika hivi;

Mimi mwanaume Jina langu (Herufi ya kwanza);
Nimezaliwa tarehe: 14 December mwaka****
Mwezi wangu Jina lake (Herufi ya kwanza)
Kazaliwa tarehe: 24 April mwaka ******

(Kisha unaweza kusema upande gani nikazie zaidi japo sio lazima)

MEMBER WA KWANZA
Ke 24/4 P

Me 14/12 E

Matokeo yake:

MTIZAMO WAKO KWAKE;

Wewe ni mtu mwenye tabia za maji na yeye ni mtu mwenye tabia za udongo kwa mjumuiko huu unaonyesha kabisa nyinyi kuendana ni vigumu na hata kama mnapendana vipi itakuwa dhoruba tu ndani.

Kwa mtizamo anaonekana yeye ni mtu wa kupenda utawala na ukubwa kwa kuongoza mambo/kupelekesha- ambapo wewe unaonekana sio mtu wa kupelekeshwa na hautakubali hilo.

Pia, wewe ni mtu wa kuhitaji mabadiriko,anuwai,matukio ambapo hayo humfanya yeye kujihisi tofauti na wewe kwa kuwa yeye ni mtu wa ambaye hujifanya ni mjuaje na incharge wa mambo yanavyokuwa yanakwenda katika miliki yenu na kujiona ni mtawala mzuri wa tabia za nyumbani na hujiona ni mwenye hekima na heshima na imani zaidi kuliko wewe. Yeye anakuwa ni mtu wa kutaka kufanya mambo ambayo teyari yana uhakika na kutaka kufanya mambo yenye uhakika, wakati wewe unakuwa upo teyari kufanya chochote kinachowezekana.

Na pia wewe ni mtu wa kusema chochote kinachokujia na nimtu wa kumdondoshea maneno tu randomly yanayokujia kichwani kwa fikra yako ambayo humfanya kuanza kujawa na hasira taratibu. Pia kuna tatizo la pesa katika mahusiano yenu, hiyo ni sababu wewe unataka kuzalisha pesa kwa yanayowezekana leo hali ya kuwa yeye anawaza kuhusu mambo ya kesho (ukifa unaniachaje). Mna muda mfupi sana kwenye mahusiano yenu.

MTIZAMO WAKE KWAKO:
Mapenzi yenu yanaweza kwenda kama tu ataweza kujikaza vizuri kuwa na wewe au kukuvumilia kwa maana mtizamo wake kwako wewe ni mtu ambaye huvumiliki. wote mnavutiwa zaidi kwa muonekano wa mwenzi wake, kwa tamaa zake yeye alizonazo katika kufanya tendo anakuwa anavutiwa zaidi na ufanyaji wako.

Lakini ni mtu inamuwia ugumu katika kuvumilia tabia yako ya kupepesa macho na kutizama mambo mapya(wanawake wa nje) wewe ni mtu wa kuchukulia kila jambo poa poa na rahisi rahisi inapokuja katika maswala ya mahusiano na tendo la ndoa wakati yeye ni mtu muda mwingi anataka kuwa serios kwenye mahusiano na kutawala. hali ya kuwa wewe ni mtu ambaye hutaki kutawaliwa kimapenzi na mtu yoyote hakuna baya kwenu lakini ni watu wenye kupishana mara kwa mara uhawara kwenu inakuwa ni starehe kuliko ndoa. maana mnaweza kukaa kwenye uhawara miaka ila mwezi tu ndoa ikawa ndoana.

Mahusiano yenu ya ndoa yatakuwa ni vichekesho tu.

SEHEMU ZAKE ZA HISIA:
Sehemu zake za hisia ni shingo na koo ndio maeneo ambayo kuna hisia zake kubwa za kiwazimu ikiwa;- utagusa eneo hilo,kumbusu na kutomasa eneo hilo hata kama umekaa nae basi utampandisha kwa kasi sana hisia zake na hasa ukiwa umekaa karibu nae ukawa unamgusa hapo chochote unachosema kinaingia kwenye akili yake na roho yake moja kwa moja kuhusu wewe.

Ukimbusu eneo hilo vizuri na kumng'ata kichokozi akiwa kalala chali na kwenye koo lake basi utaona maajabu. Fanya mbinu hii pia itakuongezea umaarufu kwake. Mfanyie massage hii ili kuweza kumfanya siku yake yote ajihisi yupo kwenye raha:

(1)Akiwa kalala kwa mgongo wake muwekee mitetemo kwenye shingo yake karibu na mizunguko ya masikio yake kwa kutumia vidole vyako tumia miondoko ya taratibu sana kwa maana sio punda huyu kama kina fulani huyu anataka vitu sensitive rudia hivyo hadi uone vipele vimesimama kwenye mikono yake. (Be very gentle kuzunguka sehemu ya pipe za hewa kwenye shingo vinginevyo utamniga).

(2) Kumbuka ni mtu mwenye kupenda zaidi kufanyiwa hivyo akiwa kalala kwa tumbo lake hivyo fanya hivyo hadi kukaribia eneo la muunganiko wa uti wa mgongo lakini usitoke nje ya shingo maana umeme utakatika halafu ataona unamtembezea wadudu.
Ukianza kuona vinyweleo vimesimama na vipele basi jua chini hali si shwari wacha niishie hapa na Ramadhan hii nisije nikafanya mambo magumu masaa yamebaki machache.

Ikiwa utamgusa au kumfanyia manjonjo sehemu za shingo yake basi ni mtu mwenye kupata hisia za kiwazimu na wewe ikiwa atajua kucheza na mapaja yako yako basi ataweza kukupeleka mbali sana kihisia hisia zako siwezi kukwambia sana kwa maana wewe unamtizamia yeye.

UTAMVUTIA VIPI:-
Yeye kwanza sio mtu wa papara ni mtu anapenda kama ni utafiki ama mahusiano basi yaanze taratibu kama vile unajenga nyumba mapenzi kwake anataka uanzie msingi kwanza hivyo inakutaka kuwa ni mtu mwenye subira kuweza kummudu kimapenzi na subira wewe muda mwingine ni kitu huwa,

Mbinu;
kwanza kabisa kama ndio unaanza nae basi hakikisha kuwa unakuwa ni mtu wa kwanza kumtafuta na usiende nae kwa pupa kama hujagusa katika kujifanya ni mtu mwenye subira sana basi moja kwa moja hutampata kwa maana kama ni wa dada wazamani huyu atakwambia nisubiri miezi 9 nikufikirie.

Muonyeshe kuwa upo radhi kuwepo muda wote pale anapokuwa anakuhitaji na ujionyeshe kuwa wewe ni mtundu mtundu. Yeye hupenda mtu anaekuwa taratibu taratibu na kama unaweza kumsababisha kucheka cheka basi huna muda mrefu unayoyataka utapata. Pia utaanza kumuona nae ni mtu anautundu utundu na kupenda utani utani na anapenda mtu mwenye kumvutia kwa yale anayoyafikiria akilini kwake yaani unatakiwa kujipendekeza kuuliza unataka niwe vipi?

Tabia zake za kero ndogo ndogo ni mategemeo yake uzifurahie na ujifanye kucheka anapoongea upumbavu au jambo lisilo na maana kwako.

Na kama akisema kwa utani ukajibu kwa utani basi moja kwa moja anakufungulia moyo wake na kuona hakuna mtu kama wewe duniani hapa na anaweza kukuganda kama kupe pia utani wa kimwili kama kumgusa mwili na kumminya minya ni vitu anapenda kama ni mke wako basi jaribu leo hata akinuna ukifanya hivyo anakaa sawa. Ni mtu kama unataka kumtoa basi anapendelea sehemu za hadhi ya juu kidogo na anapenda sehemu anayoenda kuwe kuna watu wanaojua nini wanafanya hasa wapishi. Mnunulie kinyaji kisichokuwa na kilevi ndio mapenzi yake kama sio mlevi lakini kama ni mtumiaji basi utakuta ni mpenzi wa wine.

Mazingira ya nyumbani ukimpikia hata chochote tu hujihisi special sana na hataskia la mtu kuhusu wewe valia mavazi ya kupika unapomuandalia chakula na hakikisha muonekano wako uwe ni safi mfanyie hivyo hata mara moja kwa mwezi utaanza kuona anatoa machozi

Ikiwa mazungumzo yanachelewa basi jitahidi asikushinde kimaongezi na wala usikwame katika kuzungumzia mnayoyapenda hasa akianza kuongelea pesa muhimu tabaka hili ni mwanamke mwenye kupenda pesa na kuigiza hajali pesa.

Pia tengeneza account mbili tatu za bank ili akitizama aone kabisa ni mtu mwenye kushughulika na mambo ya saving hata kama huna pesa atatambua ukipata utatunza.

Usihodhi mazungumzo. anapoanza kuzungumza usimkatishe na usiwe mzembe katika kutoa sifa akifanya kitu hata cha kipuuzi nyumbani,kwenye gari yake,mapambo ni watu wenye kupenda kusifiwa wanapofanya mambo madogo.


Rakims
Me herufi I 30/9

Ke herufi H 07/3
 
Back
Top Bottom